Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

kwa wenye umri wa miaka 30+ nguvu za macho zimeanza kupotea, kuziimarisha tumieni mara kwa mara samaki wadogo toka baharini (hasa bahari za maji chumvi hususan bahari ya hindi) smaki wanaoshauriwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam! Wakati nakojoa (haja ndogo) nasikia maumivu makali sana,na rangi ya mkojo ipo kama ya brown! JF doctors naomba msaada wenu. Asante.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Every culture has its own food specialties that are rather unusual to others. Here we have picked out 10 food dishes that are strange and maybe repulsive 10. Ducks tongue. This specialty is...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kujua, mwanamke kupukutika nywele kunatokana na nini ? Nywele zinaniisha kichwani mwenzenu... nimejaribu mafuta ya aina zote yenye kuotoesha nywele - haisaidii! Madaktari nisaidieni kabla...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Naomba mnisaidie nina ndg yangu amepimwa last wk kaambiwa anatatizo la sukari ilikuwa 7 jana kaenda kupima kaambiwa 18 ninaomba mnisaidie atumie vyakula vya aina gani isiendelee kupanda ?
0 Reactions
8 Replies
16K Views
Hello there, hope you are all well. I have come here to seek for an advice. I am planning to start providing counselling services in TZ (mainly on social issues) but I need to know what are the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Friday, 3rd December, 2010 Sabiny girls during the Wednesday night circumcision ritual in Bukwo district. By Frederick Womakuyu SOME cried. Some were confused. Others still...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi mpo, salam aleikum...! Leo naomba kupata ushauri wa kidaktari (kitabibu) Nini chanzo cha vijambo na kucheua? KUna dawa ya kupunguza/kukomesha kucheua na kujamba? Hilo tu ndio...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
'Tiba ya malaria ibadilishwe' Imeandikwa na Hellen Mlacky; Tarehe: 16th December 2010 @ 06:13 TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imependekeza dawa ya Artesunate...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leukaemia treatment 'cures' man of HIV A bone marrow transplant has successfully cured a man of both leukaemia and HIV © © design56 - Fotolia.com An HIV positive man who received...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
:angry: Wandugu, naombeni msaada, mimi ni kijana wa miaka 32, lakini kichwa changu kwa sasa kina shambuliwa na mvi ile mbaya, naogopa kuwa kama EL kabla ya wakati. Wana JF naombeni msaada.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana JF! Mtoto wa jamaa yangu amekuwa diagnosed with allergic disorders. Daktari amesema yupo na alergy ya "dermatophadoides" , "cladosporium", "cat fur", "corn foods", "sweet potatoes"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KLABU ya Lions ya Dar es Salaam itaendesha kambi ya uchunguzi wa maradhi ya moyo bure kwa muda wa siku tatu ambapo wagonjwa 100 watakaogundulika wana matatizo makubwa watapelekwa nchini India kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani eeh, mi nimekuwa nikisikia Maneno maneno kwamba ukitumia kahawa kwa sana unapata matatizo ya Moyo,, na mimi bila Kahawa Asubuhi bado hujaniambia yaani kila siku,, nanatumia Strong Cofee...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Serikali imeweka bima ya afya kwa ajili ya watumishi wake, vivyo hivyo mashirika ya NSSF/PPF etc wameweka ajili ya wanachama wake. Natumai wanachama kuna kiasi wanakatwa na kupewa kadi. Shida ni...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
bofya hapa kujua kuhusu food poisoning Food Poisoning: eMedicine Gastroenterology halafu ukatazame jinsi gazeti hili lilivyoeleza kuhusu FP.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani hii hainiingii akilini.....kuna mwanamke mmoja anayeishi Arusha maeneo ya Maji ya Chai amekuwa akibeba mimba miaka mitatu badala ya miezi tisa,anasema alipopata mtoto wa 5 ndipo matatizo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mimi ni mwanamke niliyeolewa na nina mwaka mmoja kwenye ndoa. Katika siku zote ninazoishi na Mume wangu ni siku chache sana nafurahia tendo la ndoa maana mara zote napata maumivu makali wakati wa...
0 Reactions
47 Replies
22K Views
wadau,Timu nzima ya AfroIT kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Afya,tupo mbioni kukamiliusha hatua ya kwanza ya tovuti ya afya.Tovuti ambayo itakuwa inakuletea mambo mablimbali yanayohusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi kuna wanawake wenye vipara?, maana mimi sijawahi kuona mwanamke mwenye kipara. Kuna nadharia kuwa vipara vinatokana na mtu kutumia sana ubongo wake katika kufikiria mambo magumu na kwa kina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom