Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wanajamvi,nilikuwa naomba ufahamisho,hivi ni kwann binadamu tunapga chafya?na je? wanyama nao wanapga chafya.
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Doctors call for fat crash test dummies after study finds obese are more likely to die in car accidents Last updated at 12:57 PM on 22nd December 2010 Obese drivers are more likely to die...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jf Dr. Kutokwa na machozi pale mtu anapocheka au kuwa na furaha sana ni tatizo au ni hali ya kawaida tu ? Naomba ufafanuzi ndg wapendwa.
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Wana JF doctor nisaidieni kidogo, i am away from home for 7 months now, my GF we meet thru phone, ila kuna hali inazidi kwangu kuanzia saa 10 usiku uume unasimama kweli unakuwa mrefuuuuu hadi 12...
0 Reactions
29 Replies
18K Views
Heri ya mwaka mpya madk wote ambao ndio wasaidizi we2 tukutwapo na matatizo,nilikuwa naomba kujuzwa hivi SIKIO hufanyaje kazi yake?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari hii ni kwa Hisani ya Facebook page ya Dr.Isangula Ni vema wana JF Tujadili mawazo ya Daktari huyu. Inapatikana katika http://www.facebook.com/note.php?created&&note_id=117205398345042...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wasalaaaam wana jf wote na poleni na shughuli za kila siku. Jamani naombeni msaada wa kitaalam, eti kati ya sigara na pombe kipi kinamadhara makubwa zaidi katika afya ya mtumiaji? Long term...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari zenu madk bingwa,nilikuwa naomba kufahamishwa,hivi ni kwann binadamu tunapiga miayo na je? wanyama wengine nao hupiga miayo
0 Reactions
5 Replies
6K Views
WanaJF nifanyeje niwe na bass maana cjui niliruka stage kipindi nabarehe maana sijawahi kuwa na bass la kunguruma kama simba,nimejaribu kumeza mayai mabichi ila wapi,plz anayefahamu dawa yoyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambozz Dem wangu bwana akitembea au kufanya kazi ngumu anatoa harufu flan sio nzuri maeneo ya makwapa. Sio kali sana lakini siifurahii kivile Nataka nimnunulie kama zawadi any medication...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
To reduce your risk of cancer, look no further than your fridge. "All the studies on cancer and nutrition point to eating plant-based foods for their phytonutrients and other special compounds,"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ewe bainaadamu, tazama video hii hapa chini uone jinsi ulivyoumbwa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna mgonjwa wa ngoma unamfahamu, iwe ni ndugu rafiki au jirani, Kama binaadamu yeyote yule msaidieni kwa kumtengenezea supu ya mbigili. (mmea wa mbigili una miba midogomidogo ya kijani kabla...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mke wangu ana mimba ya miezi 3 sasa juzijuzi usiku wa manane aliamka usiu akaona majmaji yanatiririka sehemu zake za siri. Nikahofu kuwa labda ujauziti umeharibika, nikampeleka hospitali akapimwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF habari za weekend? Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili! Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
naomba kuuliza wana JF eti faida za kupima ukimwi nini? au baada ya kujua mtu anaukimwi faida yake nini? maana naona watu wakishajijua wana ukimwi ndo wanaendelea kuusambaza kwa nguvu. ebu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
From Jocelyn Wildenstein, a US$4 million monster, to --who else?-- Michael Jackson, meet these ten plastic surgery addicts, terrible examples of really bad plastic surgery gone wrong.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Soma hapa ili upange na kuamua ni wakati gani wewe na mkeo mpate mtoto au msipate mtoto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Siku za nyuma nimekuwa nikigida ulabu kwa kwenda mbele. Kuanzia jana nimegundua kitu kisicho cha kawaida, vidole vhangu vimekuwa vikitetemeka kila nikishika kitu. Je hii ni dalili ya nini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Je ni kweli kuwa mwanaume anayelamba sehemu za siri za mwenzi wake ana hatari kubwa ya kupata cancer ya koo? Kama ni kweli kuna namna yeyote mtu anaweza kucheki kama ameshaanza kupata hiyo athari...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Back
Top Bottom