Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

UVIMBE WA UTANDU WA UBONGO NA UTI MGONGO NI NINI? Huu ni ugonjwa unaothiri sehemu inayofunika ubongo na uti wa mgongo, yaani utandu. Ubongo unafunikwa na sehemu au tandu tatu nyembamba za seli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je, unajua historia ya magonjwa ya familia yako? Pengine unajua tu kuhusu mambo makubwa. Usishangae kwa mfano, kugundua kuwa nyanyako mkuu na dada zake watatu wote walikufa kutokana na saratani...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Kipigo ni nini? Pia huitwa ugonjwa wa kuvamia bongo. Hutokea wakati ambapo mishipa ya damu ubongoni mwa mtu huziba na kupasuka na kufanya baadhi ya seli (Cells) za ubongo kufa. Hizi seli za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TB au Kifua Kikuu ni ugonjwa wa kuambukiza ambao husababishwa na viini viitavyo ‘tubercle bacilli’. Wengi wetu tuna viini vya TB mapafuni mwetu lakini hii sikumaanisha kwamba tutauguza huu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Monday, 15 November 2010 11:00 By Bernard Lugongo As countries worldwide join hands to mark ‘Diabetes Day’ on November 14, the trend of the disease in Tanzania is still worrisome...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
WANASAYANSI wamegundua kuzuka kwa jamii nyingine ya mbu wanaoeneza malaria ambao wanatoa changamoto kwa wataalamu wa afya duniani, sasa kutakiwa kubuni mbinu mpya za kujikinga na ugonjwa huo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakunga mbona huyo jamaa analalamika katoa matatizo ya waziriwake hamjamsaidia mpaka anakuja kulalamika kule kwetu jameni mfanyieni ungwana hi FJ kaziyake kusaidia watu samahani kama nimewakwaza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rafiki yangu anatatizo la kupiga punyeto yaani anadai hayawezi kupita masaa sita hajapiga punyeto naombeni ushauri nimuambie madhara yake, na afanye nini kuepukana na tatizo hilo. Ahsante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
i have this friend of mine who has been suffering with fungi problem for quiet sometime now.. he told me that he does everything right, like washing his feet well and with care, wearing a clean...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sigara na marijuana ni miongoni mwa sababu zinazochangia kupungua kwa nguvu za kiume. Saababu zingine ni msongo wa mawazo, hofu au mashaka. Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume lakini si...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Matatizo ya akili husababisha tofauti jinsi mtu anavyo fikiria na kufanya mambo Fulani kulingana na uwezo wake wa kawaida. Pata habari kuhusu jinsi chanzo na dalili.Angalia cha kutizama, jinsi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hypoglycaemia A 'hypo' is when the blood sugar levels fall below normal. It's short for hypoglycaemia, which means low blood sugar. A hypo may occur: after an insulin injection after taking...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauliza inakuaje mtu anakuwa anaendelea kuingia period wakati ana mimba? kuna frend wangu alikuwa ananisimulia mpk mimba imefika miezi mi5 bado alikuwa hajajigundua kama ni mjamzito coz alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wa afya! Mwanangu kaotea meno mawili ya mbele ndani ya fizi; ana umri wa miaka 5 na hajawahi kutoa meno. Nifanye nini na je kuna madhara gani mbeleni?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
UKIMWI Unaweza kufanya nini? Tanguliza kwa kujikinga unapofanya ngono Nenda ukapimwe iwapo una virusi vya Ukimwi Jua yote unayopaswa kujua kuhusu magonjwa...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Madaktari nisaidieni. Hivi mtoto anapopatwa na severe birth asphyxia anakuwa na nafasi gani ya kukua na kuwa mtu wa kawaida bila madhara yoyote?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Quit Smoking Cigarettes or you are into trouble. The dreadful effects are smoking are very well known to all but to quit smoking is not an easy task. It has some side effects too. But enduring the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanawake wengi hujiuliza “Na je, kama nina mimba?” wakati mwingine maishani. Kama unajiuliza kama una mimba una maswali mengine Chunguza Beehive’s pregnancy & parenting kupata ujumbe zaidi...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
In my clinical practice in nutrition and weight management, I've always considered unmanaged stress to be an important piece of anyone's problem with unhealthy weight. That's why I routinely...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Whoever coined the phrase "the whole is greater than the sum of its parts" might as well have been talking about the nutritional potential of food. "When we eat certain foods together, their...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…