Trevor Mundel, Head of Pharma Development at Novartis Pharma and a member of the Pharma Executive Committee (PEC), speaks at the Reuters Health Summit in New York, November 8, 2010...
Vitu vitamuvitamu kama keki, kuku wa kukaangwa, vibanzi ni vitamu lakini je vinafaa? Mwili wako hauwezi kuwa katika hali nzuri ya kiafya kwa kuvitegemea hivi vyakula pekee. Kula vyakula...
Wana JF naombeni mnijuze ni wapi hapo DSM naweza kupata maziwa haya kwa ajili watoto.
Nikipata wanapouza ya jumla itakuwa vizuri zaidi. asanteni kwa ushirikiano
Unahitaji kupata usaidizi dhidi ya matumizi mabaya ya pombe na dawa zengine. Bonyeza ili upate maelezo zaidi kuhusu uvutaji wa sigara, unywaji pombe na madawa ya kulevya.
Tumbaku na uvutaji...
Matumizi ya miti shamba na tiba za kienyeji yameongezeka sana. Kwa kawaida, watu hutumia tiba hizi kwa magonjwa ya kudumu ambayo dawa za kawaida zimeshindwa kutibu. Watu pia huzitumia kwa ajili...
Tuberculosis rates highest in 30 years
(Reporting by Kate Kelland; Editing by Steve Addison)
Cases of tuberculosis in Britain reached their highest level for 30 years in 2009 with 9,040 cases...
Kwa muda mrefu maboga yamekuwa yanajulikana kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumika kama dawa, vilevile chakula hicho kina protini yenye nguvu ambayo inaweza kupambana na magonjwa mbalimbali...
UFAHAMU WA UKIMWI NA MBINU ZA KUJIKINGA KWA MTAZAMO WA KIISLAMU
IMETAYARISHWA NA: SHEIKH MUHAMED SULEIMAN AL-TIWANY
IMAMU WA MSIKITI WA IBADHI SOKONI CHAKE-CHAKE PEMBA.
YALIYOMO
Utangulizi...
tiba inayopatikana katika Kitunguumaji
Kitunguumaji ni aina ya mboga ya yungiyungi. Ni mboga yenye harufu kali inayochangamsha. Anaeikitumia kitunguu maji ajihadhari kukitumia baada ya...
Wanajamii, naomba mnisaidie kama kuna mtu anafaham wapi ninaweza kupata tiba au tiba ya hili tatizo
mama yangu akitembea, visigino umuuma, na akikaa vinauma kwa ku''pwita", alikwenda hospital...
The colder weather is beckoning us back to our kitchens. Break out the spices to bring warmth, robust flavor, and a bounty of health benefits, including higher energy, increased immunity, and...
Kwa muda mrefu sasa nakula chakula kidogo sana matokeo yake sinenepi, kama unanijua uwezi kunitofausha wakati nipo shule na sasa ninavyofanya kazi naomba kusaidiwa mawazo.
Alcohol 'More Dangerous than Heroin'
Alcohol is more dangerous than illegal drugs like heroin, ecstasy and crack cocaine, according to a new study.
Researchers rated alcohol the most dangerous...
What I am fond of concerning fitness centers usa habit is that it is speedy but not trouble-free, for persons of us who don't boast tons of instant to pay out going to the gymnasium. This is an...
Experts Target The Source Of Human Worry
Scientists have for the first time pinpointed the "worry centre" of the brain in a discovery that could lead to new, more effective treatments for...
Wapendwa nana JF;
Nakumbuka mwaka jana au juzi Morogoro mjini kulitokea varangati kubwa sana baina ya wazazi na walimu wa shule za msingi baada ya watoto kupewa dawa za kichocho na wengine...
ource: Yahoofriends
A professor at CCNY for a physiological psych class told his class about bananas. He said the expression "going bananas" is from the effects of bananas on the brain...
Kwanza nawaombarazi kwakua hapa simahala pake lakini naimani kuwa wengi hupitia sana hapa
Nduguzangu mimi na mwanangu huwa anasumbuliwa na kifua kwa muda mref juzi hopitali
wamegundua kuwa ana...
wanajamii nawasalim wote kwa ujumla nikiwa naimani tumejaliwa kuiona siku hii nyingine tena, jamani mie nakabiliwa na tatizo la kutokwa na vipele mara baada ya kunyoa ndevu na hata studio pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.