Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

The process of praying should always be commenced by a period of meditation which clears the mind of the garbage of thought, and makes one ready to receive information from higher planes. To...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Dear doctor, Is it true that hermaphrodites ‘do sex on themselves’?
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Idadi ya watu wanaoambukizwa virusi vya ukimwi nchini Tanzania imeshuka kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha mwaka 2008-2009 kwa kulinganisha na mwaka 2007-2008...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
UNAWEZA KUDHIBITI U.T.I MWENYEWE..! U.T.I ni ugonjwa sugu unaosumbua sana watu wengi hivi sasa, wakubwa kwa wadogo. U.T.I...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Mtu akikaa siku tatu hadi saba bila kwenda kunya, je aweza pata madhara yoyote kiafya? Nini husababisha hari hii kutokea? Kama ni tatizo kiafya nini kifanyike?
0 Reactions
37 Replies
10K Views
MATATIZO YA KIBOFU YANAWEZA KUTIBIKA KWA CHAKULA! Matatizo ya kiafya katika kibofu cha mkojo yamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heart Attacks And Drinking Warm Water This is a very good article. Not only about the warm water after your meal, but about Heart Attacks. The Chinese and Japanese drink hot tea with their...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukimwi ni maradhi hatari sana yaliyogubika ulimwengu mzima. Maradhi haya nitisho kubwa sana kwa maisha ya binaadamu kwa sababu mpaka sasa mabingwa wa sayansi ya tiba hawajagundua kinga wala tiba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna binti wa kazi nimeletewa kutoka kijijini, ana miaka 22 hajavunja ungo, pia hakui sawa na umri wake, anaonekana kama ana miaka 12! ana tatizo gani? linatibika?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani wapenda ninatafuta vyitabu au makala kwa ajili ya kujua mambo ya mama mjamzito kwa sasa nina ujauzito wa miezi 2 ila nataka nitape vitabu ili niweze kutunza mimba vizuri kwanini naamini...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi hili linaelewaka kweli?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu kama kuna mtu anayejua dawa hii. "Ndoa inataka vunjika kwa kuwa purupushani zimezidi wife halali kabisa na weekend ni mwendo wa taulo friday evening to monday morning, wife analalamika...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu, naomba kuwasialisha hii mada; Pamoja na jitihada kubwa zinazoendelezwa na wadau mbalimbalia kwa mfano mashirika ya maendeleo ya kijamii, serikali, sisi wenyewe kama wananchi na kampeni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Over 33 million infected with AIDS virus - U.N. 3 hours 24 mins ago An estimated 33.4 million people worldwide are infected with the AIDS virus, up from 33 million in 2007, but...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimewahi kusikia kwamba Haemmorhoid haina dawa zaidi ya zile za kutuliza inapotokea kama Annusol. Je habari hizi ni kweli au kuna mtu anayefahamu kama kuna dawa ya permamanent ya Haemmorhoid?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1. Cucumbers contain most of the vitamins you need every day, just one cucumber contains Vitamin B1, Vitamin B2, Vitamin B3, Vitamin B5, Vitamin B6, Folic Acid, Vitamin C, Calcium, Iron...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
She first noticed an odd black patch on her baby’s stomach when she held him for the first time. However, doctors assured Sylvia Atieno that it was a birth mark that would gradually disappear...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
.....Inasaidia Kupunguza Magonjwa ya Moyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Man Trapped In 23-Year 'Coma' Was Conscious. An engineering student thought to be in a coma for 23 years was actually conscious the whole time, it has emerged. Skip related content Rom Houben...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, naomba msaada, hivi kuna dawa ya kupunguza usingizi? Kuna ndugu yangu yeye ikifika saa moja jioni tu basi hawezi kujizuia! Atalala mpaka asubuhi na hapo usiku katikati wala hastuki...
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…