Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wakuu habarini. Nina swali napenda kujuzwa kwa mwenye elimu kidogo juu ya ukimwi, nilipenda kufahamu ni mazingira gani ni rahisi zaidi mtu kuambukizwa ukimwi pale ambapo yule asie nao kufanya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi ni kwa mujibu wa utafiti wa Kisayansi kuhusu maradhi ya Kupooza Watu warefu wako kwenye hatari ndogo ya kukutwa na tatizo la Kupooza kuliko watu wafupi, na linawezekana zaidi kama watu hawa...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
SIRI YA TENDE KWA AKINA MAMA WAJAWAZITO NINATOA FAIDA KWA WENYE MIMBA YA MIEZI 8. Kwa wale akina dada zangu wenye Mimba aka Uja uzito wa miezi 8 pendeleeni kula Tende japo kwa siku Tende 6...
1 Reactions
5 Replies
48K Views
Nimemkuta huyu mpenzi wangu akiwa na mtoto mmoja na sasa ni kipindi cha miaka saba sasa. Cha ajabu tulitumia miaka mitatu tulikuwa tunafanya kila kitu lakini aligoma kabisa kusex na mimi...
23 Reactions
277 Replies
33K Views
Sote tunajua sukari ni tamu na ni miongoni mwa bidhaa zinazotumika kwa wingi kila siku katika nyumba zetu. Lakini licha ya umuhimu wake, sukari ni hatari kwa ustawi wa afya wakati inapotumiwa kwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Hodiii wanajukwa,heri ya mwaka mpya,Mimi ni mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka minne nilimzaa kwa kisu. Mwaka jana June kuanzia tarehe 23 nilianza zoezi la kumtafuta mdogowe. Baada ya zoezi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Yaani kifua kinaniuma, kilianza kama miti miwili inanichoma kwa muda fulani halafu inaacha! Hospitali wamekuwa wakidai nipige x-ray za kifua nazo zinaonyesha hakuna tatizo! 😥😥😥
1 Reactions
33 Replies
3K Views
SALAAM WAKUU. Mimi nimeajiriwa Kampuni X ambayo nafanya kazi kwa masaa nane saa 2-10 Jioni. Ila Kwa Neema ya Mungu nimepata kazi ya Online Kampuni Fulani kwa mkataba wa miezi Minne hivyo hii...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili. Madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as...
2 Reactions
104 Replies
60K Views
Jaman wana jf tafadhali mnisaidie kuna mtu kaning'ata mpaka kidonda,JE MENO YANA SUMU?NINI FIRST AID NA TIBA YAKE?
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Habar wana jamii wenzangu!?kama kichwa cha habar kinavyosema hapo juu, mim ninafany kazi wiki nzima isipokuwa j'pili, kutokana na kazi ninazozifanya nakosa muda wa kupumzika. Kibaya zaidi sipati...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Jamani nasumbuliwa na koo kuna kitu kinanikaba nilikwenda hospitali niliambiwa minyoo nilipewa dawa za minyoo hazikunisaidia naombeni ushauri wenu watalaamu.
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Genophobia (Fear of Sex) Hofu ya ngono au urafiki wa kijinsia pia huitwa "genophobia" au "erotophobia." Hii ni zaidi ya kutopenda tu au chuki. Ni hali ambayo inaweza kusababisha hofu kali au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
30 Most Popular Herbs for Natural Medicine Aloe Vera – Antibacterial, anti-fungal, antiviral, wound and burn healer, natural laxative, soothes stomach, helps skin disorders. Basil – Powerful...
16 Reactions
52 Replies
47K Views
Naombe msaada huo maana hospital tumeenda na amepewa dawa ambazo hadi zimeisha mguu upo vilevile. Labda kuna ambae anajua hali hii hutokana na nini. CHANZO CHA MGUU HUU KUVIMBA. Kwa maelezo yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawasalimu wakuu Kuna ndugu yangu ameumwa Amoeba, Malaria na UTI Sasa anatumia dozi lakini dozi zinaisha kesho Ila Kama siku tano nyuma anawashwa ngozi akijikuna vinatoka vipele vidogo vidogo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Unapopata tatizo la kiafya...hamu yako ni kupona haraka, hivyo harakati na juhudi za kutafuta tiba huwa kubwa......ni katika hamu hiyo ya kutaka kutibika kwa haraka utapokea ushauri na maelekezo...
11 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari za wakati huu wana jf Naomba kuuliza kwa anayejua dawa ya kumfanya mtu aache matumizi ya pombe sigara na vilevi vingine
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu mimi nakula sana, matokeo yake nina kilo 120 na nimfupi kwa hiyo niko kwenye risk ya kupata magonjwa. Ninasikia njaa kila baada ya lisaa. Nakula kitimoto kama kilo 2 na ugali sahani moja na...
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Msaada wakuu nikiwa ktk tendo landoa mke akiwa juu anapampu Sasa katika kupampu akatoka nje ya uume akajikuta kaikalia nkapata maumivu makali uume ukalala. Sasa mpaka muda huu inasimama Kiasi...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Back
Top Bottom