Poleni ndugu watanzania na majukumu ya kila siku,poleni na tozo na maumivu ya kushikiliwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Nasisitiza Mbowe Siyo Gaidi.
Hongereni kwa kupokea chanjo ya...
Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote. Nilioa miaka 5 iliyopita, baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa HIVna...
Habari zenu wana JF,
Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina...
Wadau nina mgonjwa kapalalaizi tumeenda Muhimbili imesemekana ana uvimbe kwenye ubongo uliosababishwa na TB (kifua kikuu).
Mwenye kujua dawa ya kuyeyusha huo uvimbe anisaidie, hata mawazo pia...
Chanjo ni maandalizi ya kibaolojia yanayolenga kuchochea uwezo wa mwili kajitengenezea antibodies na immunity(kinga) zinazosaidia kukabiliana na ugonjwa husika bila yenyewe (chanjo) kusababisha...
Habari zenu wakuu,
Kuna visa nimekutana na wakaka ambao wamezaa Watoto Wengi na hawahitaji Watoto zaidi mpaka ikabidi nijiulize hili. [emoji23][emoji23]
Huyu wa kwanza hajaoa anamiaka 30...
Salamun wapendwa wa jf jamani nimekumbwa na ugonjwa nisio ujua jina lake nina kama siku saba kila asubuhi kati ya saa 11:00 na 1:00 asubuhi tumbo hunivurugika.
Yaani unakuwa unahisi kama kuna...
Habari 👋🏾
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta...
Natumai muwazima nyote,nimekuwa nikisumbuliwa na vidonda vya koo kwa mda wa miezi 4 nimejaribu dawa nyingi bila mafanikio na ilianza kama mafua lkn kwa naona vidonda vinazidi kutapakaa kwenye...
Hello jamani hivi mtu akiwa anafanya mazoezi ya kuruka kamba yanasaidia kukata weight? Au tumbo. Please.
Wewe unataka kufanya mazoezi au unataka kukata certain parts of the body?
Hakuna mazoezi...
Wasalaam jf
Naombeni mnisaidie nini shida
Nilianza period 14th July up to 18th July nikakutana na Baba chanja tar 21 na 26, period cycle ni 28 days. Hadi leo sijapata period nimepima mimba sina...
Msaada na ushauri wenu wataalamu wa afya.
Ninamtoto sasa anasiku saba kitovu hakijakauka na kinatoa majimaji nadhani ni kama dalili ya usaha.
Naomba msaada nifanyeje pia elimu kama kinga na...
Wakuu nawasalimu
Narudi kwenu ndygu zangu.
Kijana wangu yule ambaye alikuwa na lymphoma nilileta uzi humu ila nimeutafuta sijauona labda kwa vile siko sawa,akapitia chemotherapy,ugonjwa unarudi...
Habari zenu wakuu...
Unaposikia dalili zifuatazo usisite kutumia mchanganyiko huu....
1.kukohoa sana
2.mafua (pua kuwasha kama pilipili na kuhisi pua kua wazi muda wote
3.tonses
4.kukohoa damu...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA
Habar madaktar?Nauliza hivi,Mwanamke mwenye MIMBA anaweza kuendelea kupata hedhi kama kawaida?Kama inawezekana tatizo nini?Naombeni MSAADA
NAWASILISHA
---
Je, kama...
Kati ya vitu sijawahi elewa ni hii kitu,
Nijuavyo mama mjamzito anaunganishwa na kijusi tumboni kupitia umbilical cord ambayo hutumika kumpa mtoto mahitaji yote muhimu kama vile, Nutrients...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza swali moja, Endapo mwanamke atakutana na mwanaume kati ya siku ya 11,12,13 au 14 Na kisha siku ya 15 na 16 akakutana na mwanaume mwingine, yupi ana uwezekano mkubwa...
Wakuu habari za majukumu leo katika pitapita zangu nimekutana na huyu mtoto sio siri amenigusa kwa hali aliyo nayo anateseka kwa maelezo ya wazazi wake huu ugonjwa anao tokea amezaliwa na hivi...
Wataalamu habari;
Naomba ufafanuzi kwa nini chanjo mbalimbali za sindano zinachomwa kwenye bega na mara nyingi la kushoto na siyo kwenye tako? Kuna faida gani kuchoma chanjo kwenye bega kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.