Habari zenu wakuu poleni na mihangaiko ya kila nina tatizo la kusikio yaani tunaweza piga stori fresh ila kwenye kuongea na simu ndio napata shida sasa kuna jamaa kaniambia hapo Mnazi kuna...
Tuna mtoto wa mama mdogo Ana tatizo la mifupa yake na mwili wake upo dhaifu tumejaribu kuuliza tukaambiwa tujaribu kuuliza kuhusu mti mvunge ni tiba nzuri. jamani naomba kwa mwenye kujua jinsi ya...
Leo nimefika kituoni kwangu nikiwa na kitambulisho changu cha Taifa, nimesita kidogo kufika RCH station kwa ajiri ya kupata chanjo as bado nilikua sijaamua.
Nimefungua Computer yangu, nikapitia...
Tupo wanne tumetokea kuelewana na kuwa marafiki wakubwa. Rafiki yetu mmoja amefanikiwa kujenga nyumba nzuri tu ya ghorofa, anaishi na mume wake na mabinti zao wawili.
Weekend moja alitulika...
Naomba kuuliza ndugu zangu kuna jambo hapa silielewagi kabisa..
"Hivi kama unafanya mapenzi na mwanamke kwa style ya kusimama halafu ukammwagia (mbegu za kiume) huku akiwa amesimama muda huo huo...
Kheri ya mwaka mpya all human beings
Hakika Mungu ni mwema. Ni mwaka mpya wa afya njema na amani. Mwaka nauanza kwa kwenda kupata chanjo ya "hepatitis" kama sijakosea spelling. Ni hatari sana...
Nani anaujua mti unaoitwa Pygeum tree, magome yake hutumika kutibu tezi dume. Nimepita mtandaoni picha za kule zinanichanganya kwa sababu zinakuja species tofauti.
Naomba anayeujua kwa kina na...
Ndugu wanajamvi habari za leo?
Kuna dada hapa amejifungua lakini mtoto lakini kwa bahati mbaya mtoto amefariki. Sasa amepata shida matiti yamevimba na yanauma sana.
Hivi anaweza kutumia dawa...
JF Doctors, heshima kwenu.
Katika pitapita zangu niliweza kujifunza kuwa chanjo/ vaccine hutolewa kwa mtu ambaye ni negative yaan mtu ambaye bado hajaathiriwa na ugonjwa husika. Nikiwa na maana...
Binafsi nimepata chanjo ya uviko-19 nchini Tanzania; lakini sijapata mpaka sasa maudhi madogo wala makubwa na hivyo namshukuru Mwenyezi Mungu kuniepusha changamoto walizopata wenzangu wachache...
nikienda haja kubwa napata maumivu makali sana,na damu zinadondoka matone mfululizo,kuna uvimbe sehemu ya haja kubwa,naomba ushauri nitumie dawa gani,ni wiki moja tangu tatizo lianze...msaada...
Kuna uwezekano wa mwanamke kuepuka kushika mimba akiwa na tabia ya kujisafisha kwa maji punde tu baada ya tendo?
Wataalamu njoeni kabla hakijaumana [emoji28]
Wadada wengi wa bara la Afrika asili yao ni ngozi nyeusi yenye kungaaa sana almaaluf " chocolate colour " Lakini kutokanana maendeleo ya sayansi na teknolojia waafrika wengi hujikuta wakitamani...
ZIKIWA zimesheheni protini na madini kadhaa kama vile chuma, kopa, maginizia, manganizi na zinki, mbegu za maboga zinakuwa mbegu bora na muhimu kutafuna kila wakati kama wewe ni mpenzi wa...
UJUMBE KUTOKA HOSPITALI KUU YA TAIFA
Tafadhali mjulishe mkeo kuhusiana na hili, , Hii ni tahdhari muhimu kutoka wataalamu wa afya [ LUTH ] kwa wanawake wote wawe watoto wachanga, wasichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.