Kumekuwa na matangazo mengi kuhusu matibabu ya nguvu za Kiume kwa kutumia food supplements kama Agu, Mult Macca na nyinginezo. Nahisi wengi wetu tutakuwa tumezitumia na kuona ubora wake. Kwa kuwa...
Jana muheshimiwa Rais alisema hakuna tofauti kati ya ubongo wa mwanamke na ule wa mwanaume.. Naafiki kauli yake lakini wanasayansi wanasema kuna tofauti.
Kuna mmoja ameniambia ubongo wa mwanaume...
Habari wanajamvi,
Bila kupoteza muda niseme kwamba nimekuwa nikiishi na tatizo ambalo kwa sasa naona linahatarisha mahusiano yangu.
Nilikuwa na mahusiano yaliyodumu kwa miaka minne na kwa...
Wazee wa Pochi NENE mpo?
Wavulana wengi wana tabia ya kuweka mkoba (WALLET) yenye inchi nusu au zaidi ikitegemeana na wingi wa vitu vilivyopo kwenye mkoba huo kwenye mfuko wao wa nyuma wa nyonga...
Nimegundua nina tatizo sugu la kutafuna kucha kiasi kwamba sikumbuku ni lini nilitumia wembe au nail cutter, je hili ni tatizo gani na nawezaje kukabiliana nalo?
Pia nina mazoea ya kunawa pale...
Habar wana jf nisaidie ndgu yangu alianguka na baiskel akaumia mkono kiganja kikavimba na akawa na kidonda kidogo.
Sasa alipata matibabu ya kawaida leo ni siku ya 7 tangu aumie sasa leo kazidiwa...
Wataalam wa afya nawasalimu.
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, kuna mtu nae mfahamu mke wake ni mjamzito. Wakati anaanza clinic dispensary moja ya serikali hapa Dar alipimwa kila kitu...
Habari
kuna suala nimeskia watu wanasema chumvi ya mawe kwa wanawake walio jifinguaa ina matumizi mengi sana.
Je, hivi chumvi ina kazi gani tena maana nasikia ni dili?
Asanteni
wakuu wiki tatu Sasa nyumba haikaliki ni kelele zisizo na mwisho
Uzuri mimi ni mumini mzuri wa tiba asilia hivyo nikaona nilitafutie hili uvumbuzi kiasili tena kienyeji kabisaa.
Nisiwe na maneno...
Habari zenu wadau,
For sometym nimekuwa naona watu wakijua mtu anabusha basi akikatiza mitaa ile wataanza kummock dat person in different ways including kujambisha (hopefully tunajua when i say...
•Kuwa na umri wa chini ya miaka 20 au zaidi ya 40
•Kuwahi kutoka kwa mimba hapo awali
•Kuwa na uzani mdogo sana au mkubwa sana wa mwili
•Kufanya kazi saa nyingi na zamu za usiku
•Kuwa mweusi...
Habari za sasa hivi,
Hivi tatizo la midomo (mdomo wa juu na wa chini) pamoja na meno kidogo kufa ganzi kila siku husababishwa na nini? Na tiba yake ni ipi?
Iwapo utagundulika kuwa na vidonda vya tumbo epuka matunda jamii ya Citrus kama limao na machungwa, Sigara, Pombe, Vyakula vyenye viungo vingi, pilipili, kafeni kama vile kahawa, chokoleti. Pia...
Habarini za majukumu ndugu zangu.
Nasumbuliwa sana na mgongo, niliwahi piga X-ray na imeonyesha pingili hazina mpishano mzuri kutokana na ukaaji chini muda mrefu. Dr alinishauri niwe navaa mkanda...
Ndugu wataalamu wa afya, husika na kichwa tajwa hapo juu.
Kutokana na zuio la Serikali juu ya uuzaji na utumiaji wa pombe aina ya viroba hapa nchini, vijana wengi wa Kitanzania sasa wamejikita na...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI
Wakuu nawasalimu.
Wakuu nasumbuliwa sana na hali ya kichefuchefu, kila mara baada ya kula nahisi kichefuchefu sana. Nimejaribu kutumia dawa za...
Kuwa makini unapochagua mtu wa kumuomba ushauri. Zingatia uzoefu wa huyo mtu kwenye jambo husika na ukaribu mlionao
Kuwa wazi juu ya unachotaka kushauriwa, elezea vizuri chanzo cha tatizo lako...
Habari wana jf, nimekuwa na tatizo linalonisumbua takribani miaka minne sasa, kucha zangu za vidole vya miguu zinaota kwa kuchimba nyama kitu ambacho wakati mwinginw hunisababishia maumivu makali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.