Kwa mujibu wa taasisi ya FOPH (Kituo cha Afya cha Taifa) ya nchini Uswisi, uwezekano wa vitu hivyo kubeba maambukizi ni mkubwa endapo mtu aliyeathirika atashika kitasa cha mlango au simu huku...
Wadau Mwanangu anasumbuliwa na ugonjwa mguu wa kulia unavia maji inatengeneza kitu kama kidonda pembeni ya mguu, hakiumi ukitumbua hutoa majimaji kama usaha.
Hospital walinipa tube nipake...
Wakuu poleni na majukumu'
Jana jioni wakati nalima nilijikata kidole Cha mguu chini ya kucha zikatoka damu nyingi chini ya kucha ,Leo nimeenda kwa dactar kasema nisubir siku 4 nitakua na option...
Ni week sasa nimekua na lala na paka kitanda kimoja bila wasiwasi wowote.
Jana nilipata mgeni ghettoni kwangu, kilicho mshangaza mgeni wangu ni Kitendo cha paka kuja kulala pale tulipo lala...
Habarini wadau kama heading inavyosema. Kuna ukweli wowote kate ya sex ya mara kwa mara na upungufu wa nguvu za kiume?
Mfano kwa wiki mara 4 na bao tatu tatu.
Matumizi ya feni nyumbani ni salama kwa mzunguko wa hewa kati ya wanafamilia wanaoishi pamoja ambao hawajaambukizwa na virusi vya Korona
Lakini, feni zinapaswa kuepukwa wakati ambapo watu ambao...
Natumaini ndg zangu Ni wazima, poleni na majukumu ya kikazi na familia.
Nina tatizo liloanza siku ya 3 leo nasumbuliwa na maumivu ya kifua upande wa kulia nasikia maumivu zaidi nikifuta hewa kwa...
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la manunuzi ya vitamini C ili kukabiliana na janga la Corona. Nimesoma hapa tafiti kuhusu hili ila haziko wazi sana. Wanasema vitamin C imeonekana kuwa inapunguza...
Habari zenu wapendwa?
Naombeni ushauri wenu natokewa na vitu usoni vya duara vinakuwa kama vishimo nashindwa hata kuelezea yani vinakuwa Kama vikovu nashindwa kuelewa tatizo ni nini.
Mafuta...
Leo tarehe 3 mwezi Machi 2021 ni siku ya usikivu duniani. Hii ni siku ambayo inasherehekewa duniani na kampeni yake inaendeshwa na Ofisi inayojulikana kama “Prevention of Blindness and Deafness”...
Ni ujauzito wake wa kwanza. Ameenda clinic yake ya kwanza at government hospital (kituo cha afya) huku mkoani. Ujauzito week ya 8.
Wingi wa damu (HB).... 10.9
Blood group... hajapimwa!
Rh...
Historia ya Afya ya Familia ni rekodi ya taarifa za kiafya zinazohusu mhusika na ndugu zake karibu. Imeelezwa, ni muhimu kwa rekodi hiyo kuhusisha taarifa za Wazazi, Ndugu, Watoto, Bibi, Babu na...
Wakuu habari za usiku,
Mke wangu ananiambia maziwa yanamuuma na ni mazito hasa wakati wa usiku yanamuuma sana. Hajabahatika kunyonyesha wala hana hata mimba lakini hilo kwake ni tatizo.
Wajuzi...
Kabla ya kugusa barakoa, safisha mikono yako na Sanitizer au maji na sabuni.
Kagua barakoa kuona kama imechanika au kama ina matobo, usitumie barakoa ambayo imewahi kuvaliwa au imeharibika...
Habari zenu wakuu,
Kuna jamaa mmoja analalamika ana uvimbe shingoni na homa. Alifanyiwa ultrasound ya shingo mwaka jana mwezi wa saba akaambiwa kitalaamu ana multiple cervicle limphnodes enlarged...
UTAFTI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa mujibu wa utafiti huo, uliofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba...
Unakuta mtu anamtembelea rafiki yake, akitoka kuoga anakuta taulo kwenye kamba analichukua na kutumia, utamsiki “huyu wangu sana “. Watoto wakiwa boarding school, taulo linaweza kula vichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.