Habarini!
Nashuhudia hii tabia ya haka katoto kangu ka miezi mi5 ya kuchekacheka na kutabasamu kila anapokuwa amelala. Amekuwa na tabia tangu mapema sana, yaani tangu alipokuwa na mwezi mmoja. Ni...
WanaJF kuna tafiti nyingi sana zimefanywa kuhusu binadam na vitu vinavyomzunguka lakin kwa upande wa maswala ya utoaji taka mwilini hasa hasa kunya ni tafiti chache sana zimefanywa na nadhani...
Kuuliza siyo ujinga kwa kawaida mtu unatakiwa kwenda haja kubwa (Kunya) mara ngapi kwa siku?
Je wewe huwa unajisaidia mara ngapi kwa siku?
ili uonekane unaumwa unatakiwa kukaa siku ngapi bila...
Habari za mda huu GT.
Kuna ugonjwa unaitwa ENDOMETEIOSIS.
Kwa kifupi, huu ugonjwa unasababisha mwanamke kutoka na hedhi kwa muda mrefu pia anapatwa na maumivu wakati wa tendon la ndoa, na...
Kujitenga ni kwa ajili ya watu wenye dalili za Korona pamoja na ambao hawana dalili lakini wamepima na kuthibitika kuwa wana virusi vya Korona
Hatua za kuchukua ni kama zifuatazo:-
Kaa...
Hali zenu wana jukwaa,
Kwa Muda mrefu nimekuwa najiuliza na kuuliza watu mbali mbali na hata kufanya tafiti fulani,lakini bado sijaelewa.
Kuna mapacha wanaofanana kila kitu kiasi hata wazazi...
Habarini wanajamvi,
kuna hili tatizo ndugu yangu analo la kujitafuna nyama za pembeni mdomoni tunapewa dawa za kusukutua kwa mdomo na za fangasi zinagoma ningependa kujua nini ni shida na je...
Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie.
Hizi...
Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni...
Habari zenu wanajf wote,
nafikili kila mmoja anaendelea salama na shughuli zake.
Ndugu Wanajf kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu ya kwamba mwenzenu nasumbuliwa na ugonjwa wa Rheumatic...
Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo?
Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa...
Kiwango cha juu cha homoni, ambayo husababisha kuongezeka kwa kiwango cha magonjwa ya asubuhi katika kipindi cha wiki mbili za kwanza za ujauzito wakati mwingine unaweza kupata ugonjwa wa asubuhi...
Habari wakuu,
Nina mpenzi wangu ana hii changamoto, kila apatapo mshtuko tu, anaanza kutokwa damu ukeni. Alishaenda hospitali akapewa tiba, lakini naona tatizo linajirudia. Pia kama kuna...
Habari zenu wana JF.
Mimi ni Muathirika wa tatizo la Vidonda vya Tumbo Almost Mwaka sasa lakini kutokana na kuutibu huu ugonjwa bila mafanikio nimepata comment mbali mbali ambazo nyingine...
Wakuu
Sehemu ya mbele ya kichwa yaani fore head ama tuite kipanda uso panauma sana siku ya 4 sasa shida ni nini? Na wala sina Mafia Nina kikohozi tu kidogo ..napata tabu kufanya shughuli zangu...
Unashauriwa kuwalinda wanyama kama vile unavyowalinda binadamu
Usiruhusu wanyama kushikwa na watu nje ya kaya
Ikiwa mtu ndani ya nyumba anaugua, mtenge mtu huyo na wanyama kama utavyomtenga na...
Watu wengi wanasubiri waugue ndo waanze mazoezi, hiyo ni kosa kubwa sana.
Kwanza ukishaugua mwili utakosa na kuishiwa na nguvu, viungo vitauma yaani kila sehemu ya mwili utakuwa hoi.
Dawa ni...
Inawezekana kupata SARS-CoV-2 kupitia macho
Daktari wa kwanza duniani kufariki dunia kwasababu ya ugonjwa wa Covid-19 alikuwa daktari bingwa wa macho Li Wenliang: na tangu wakati huo, macho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.