Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Jamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie, Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kuanza period yangu na nikapata mimba. Je, hapo mtoto anaweza kuwa wa jinsia gani?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wasalaam wapendwa. Nina kama mwaka mmoja sasa nina tatzo la lips zangu kugeuka rangi na kua nyekundu hali zilikua nyeusi kwa rangi yake ya asili. Ilianza kwa muwasho ndani ya lips kwa ndani na...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wadau naomba mnifahamishe kama kuna dawa ya kuzuia ndevu kuota au kufanya zichelewe kuota.
1 Reactions
69 Replies
51K Views
This 100 year old heart surgeon isn’t the only one, Kim A. Williams, M.D., incoming president of the American College of Cardiology has also adopted a vegan diet. World renowned figures...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Natumaini mmeamka salama, naombeni msaada ni alternative gani niitumie kupunguza ukubwa wa uume,maana imekuwa kero kwa gf even if namwandaa vyema before sex ila analaumu nina maumbile makubwa...
2 Reactions
27 Replies
9K Views
Habari zenu wadau? Mi kuna mtu nimemsikia anasema kwamba ukichukua Panadol 2 ukatia kwenye soda 1 (Coca) ukanywa kwamba inasaidia kusimamisha uume kwa muda mrefu sana, kwamba kwa wakati ule...
1 Reactions
87 Replies
72K Views
Nimekua na tatizo la kujaa gas mara kwa mara , imefikia kipindi nakula ili tuu nikamilishe ratiba ila tumbo linakua limejaa yaan full. Nilijaribu kupima vidonda vya tumbo nikaambiwa sina, mara...
2 Reactions
31 Replies
9K Views
Wakuu naomba wenye majibu ya kisayansi wanisaidie kwenye hii mada. Watu wengi wakila chakula cha jana au juzi-kiporo, iwe wali, ugali, ndizi au kingine chochote kile hutokea mara nyingi kupatwa na...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wapendwa. Jaman naomba kufaham hii dawa inamadhara? mfano mtu akitumia ili kuongezeka kiasi hawezi kupungua baadae au atazidi kunenepa zaidiii na effect zake ni nini?
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Jinsi ya kumsaidia mtoto aweze kutambaa, haswa kwa wale watoto ambao wameshafikisha umri wa kutambaa lakini hawataki kutambaa wala kusimamia vitu. Namna ya kumsaidia unatakiwa kumpa mtoto muda...
4 Reactions
6 Replies
12K Views
Wana JF, Kuna hali huwa inanikuta ya kuhisi mawengemawenge na kama akili haikuwi sawa hivi. Kwa mfano nikitoka nyumbani kuja mjini ndio nikikuta magari,pikipiki,watu wengi inanikuta sana hali...
0 Reactions
11 Replies
42K Views
Jamani haka katoto kanavyopenda kula godoro ni shida, yaani pamoja na kukachapa ila haijasaidia kabisa, yaani ukiangalia pembeni tuu utashangaa kamdomo kamejaa godoro, sasa najiuliza nini vile...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, Twende moja kwa moja kwenye mada husika Madokta, wataalamu na wazoefu wa maswala ya uzazi naombeni ushauri wenu mimi ni mjamzito wa miezi minne sasa,lakini tatizo ama hofu...
2 Reactions
45 Replies
25K Views
Ilianza Kama tonsensi ikaisha ikaja michaniko ya ulimi kidogo nikatumia dawa nayo ikaisha.. sahivi nimekuwa nikisikia ganzi usoni,mbavu Kama zinabana japo sahivi zimelegeza kidogo na Kuna muda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimetokwa vipele hivi sijui shida nini maana kama tetekuwanga nilishawahu kuugua nikiwa mdogo na kama wasemavyo tetekuwanga hairudi mara mbili. Haviumi ila vikitumbuka vinawasha.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Dk, naombeni msaada nimeambiwa nina pressure ya macho maswali yangu ni kuwa:- Je, inasababishwa na nini inaweza kupona Nini dawa yake kuna tiba mbadala. Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana Jf kama mada inavyo jieleza hapo juu nimekua nasumbuliwa na meno hasa haya magego kiasi kwamba nikinywa kitu cha baridi nasikia yanauma na mda mwingine upepo ukiingia mdomoni tu...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Wanajamii hivi tatizo la kuuma kwa moyo na kwenda mbio huwa lina sababishwa na nini na dawa yake nini? Maana huwa linanijia kwa mda na hupotea yani moyo unakwenda mbio mpaka naisi kama nakufa...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba kuuliza! Ni nini kinachosababisha nywele kuwa nyekundu kibaiolojiya!!au kama ni ugonjwa ni ugonjwa gani?
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom