Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari zenu Wana JF, Nina mdogo wangu (sio wa damu) anasumbuliwa na kinachodaiwa kuwa ni fangasi. Kwa maelezo yake ni kwamba Hali hiyo imekuwa ikimsumbua tangu akiwa mdogo. Kwanza anapatwa na...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto, sijawahi kutoa...
7 Reactions
62 Replies
8K Views
Wana bodi, mdogo wangu kila siku anakunywa maziwa ya mgando " tindi" lita....naomba kuuliza anaweza pata madhara gani?
1 Reactions
6 Replies
18K Views
1. Jitahidi kufanya mazoezi kila siku wakati wote wa ujauzito.Vitu kama kutembea,kuogelea na mambo mengine madogo madogo kama haya huimarisha misuli hivyo kukufanya uwe tayari kuhimili changamoto...
2 Reactions
6 Replies
6K Views
Upungufu wa damu hutokea pale mtu anapokuwa na kiwango kidogo cha seli nyekundu za damu au ikiwa mtu na kiwango kidogo cha himoglobini. Himoglobini au protini ni sehemu muhimu katika kuongeza...
3 Reactions
9 Replies
43K Views
Habari za muda huu wajenzi wa taifa hili, Leo asubuh nimeamua kuanza mazoezi ila baada ya kukimbia umbali mrefu kidogo nikaanza sikia maumivu makali ya moyo, je hili linaweza kuwa ni tatizo kwa afya?
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimesikia watu wengi Sana tangu kipindi Cha korona kianze wanalalamika miguu kuuma, na maumivu ya mwili bila sababu! Je, inaweza kuwa dalili mpya ya korona? kwamba labda mili ya watu Sasa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ongezeko la saratani kwa wasichana latisha TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI), imebainisha kuwapo ongezeko la saratani ya matiti kwa wasichana nchini, kunakochagizwa na matumizi holela ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu yani kwa kaz ninazozifanya inanifanya nakua active sana.. 1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wana jf natafuta dawa hiyo hapo mimi ni muhanga wa tramadol niko dependant so dawa yaweza nsaidia ni hiyo lakini Tanzania hamna zipo kenya au uganda. ila kuna baadhi ya pharmacy zipo sasa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF naomba msaada wa kujua ni kipimo gani huweza kupata majibu kwa magonjwa tofautitofauti mwilini kwa kutumia damu. Hii ni kwa sababu nasumbuliwa na maumivu makali ya mgongo kwa...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Jamani nina tatizo kubwa kweli naombeni msaada kama kuna anayejua namna ya kutatua; Ni hivi, mwezi wa tatu mwaka huu 2010 jumamosi moja niliamka asubuhi na kukuta sehemu ya ndevu zangu imenyolewa...
2 Reactions
172 Replies
57K Views
Habari Wana Jf Nina Ndugu Yangu Ni mwaka wa nne Sasa anasumbuliwa na Ugonjwa wa Lungs fungal infection ( fangasi kwenye mapafu) ameteseka Sana na huu ugonjwa kauza kila kitu lakin bado mambo ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kondo la uzazi kuwa mbele badala ya nyuma je kitaalam hii imekaaje na mjamzito anaweza kujifungua salama yy na mtt wakawa salama
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hapa tumbo linapoamzia upande wa kushoto naskia kuna kitu kizito kinanikandamiza, mkandamizo huo unapanda mpaka juu kifuani, halafu sehemu hiyo nikibinya na kidole panauma. Hii yaweza kuwa...
0 Reactions
5 Replies
991 Views
Bwana yesu asifiwe wapendwa, Napenda kuuliza.iv n wapi hapa Dar es salam nitapata daktari bingwa wa kutibu mfumo wa uzazi wa magojwa ya wanawake. Tafadhali kama ulishawahi sikia ama ulisha...
1 Reactions
25 Replies
20K Views
Nimetokwa na vidonda puani. Viko ndani ya pua linaweza kuwa ni tatizo gani? Na tiba yake ni nini? Msaada pls
1 Reactions
0 Replies
7K Views
  • Closed
Wadau nianze kwa kuwapa pole za mihangaiko ya kutwa mzima ya leo. Nina ndugu yangu anaumwa ngoma yupo stage ya mwisho. Amepelkwa hospital nyingi kila hospital unapiga rufaa kwenda hospital...
3 Reactions
60 Replies
11K Views
Wakuu habarini!, Mwaka Jana niliungua TB kwa bahati nzuri niliweza nikatumia dawa kwa miezi 6 nikapona. Lakini baada ya miezi kama 5 hivi,kihoozi kilirudi mpaka sasahivi nakoa tu..nimejaribu...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari wana Jf, Naomba kuuliza hii ndimu inayouzwa kwenye pakti ambayo ipo kama chumvi ni nzuri kiafya?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom