Wadau nina miaka kumi sasa kuna uvimbe mdomon nimetumia dawa ya kusukutua mouth wash lkn tatizo bado lipo nimeendea hospital lkn tatizo halipon nini tatizo na kama ni ngoma nimepima sana tu jaman...
Habari jf, nimekuwa nikijiuliza maswali lukuki pasipo kupata majibu stahiki kila siku, ni imani yangu sasa kupitia Madoctor aidha wahusika wenyewe(wajawazito) waliyomo humu wanijuze au watujuze ni...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Jamani Wataalam wa Afya kwa muda kadhaa nimekuwa na matatizo ya Meno.
Ni hospitali gani Nzuri naweza kwenda kwa matibabu?
Usiniambie Muhimbili....wao kazi...
Habari wakuu,
Naomba ushauri wiki yatatu sasa mwilli wangu unawasha na kutoka vipele mwilini naona sasa bado unaendelea hii inawezakuwa dalili yaugonjwa au ni allergy Kuna kitu nimetumia au...
Habari wadau mimi huwa nafanya mazoezi ya gym kwa muda mrefu tuu, kilichonileta hapa ni kuomba ushauri wakitaalamu kwa muda wa kama siku tano hivi mfululizo nimekuwa nikisumbuliwa na kuuma kwa...
Habari wana JF,
Duniani siku hizi kuna maradhi mengi sana, na changamoto kubwa imekuwa jinsi ya kupata tiba sahihi (hasa za asili) kwenye tatizo lako. Japo kwenda hospitali ni muhimu ili kucheki...
Habarini zenu wanajamvi.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kuna muda nimepima magonjwa yafuatayo ; uti,typhoid,amoeba,malaria, nilipima haja kubwa na ndogo kwa pamoja, katika maabara kama tatu...
Huu ugonjwa usikie tu.... mimi ulimkuta kaka yangu nikawa namcheka na kumshangaa eti anashindwa kunywa maji na kula vizuri.
Ukiona mtu kaugua huu ugonjwa kwanza kichwa hakina balance maana muda...
Kitengo cha Utafiti wa Dawa Asilia cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kimegundua dawa za asilia za aina tatu za kutibu magonjwa ya kisukari na kibofu cha mkojo.
Kitengo hicho ambacho kazi yake...
Je, tiba Ni ipi mtoto anapochelewa kutambaa?
Ana miezi Saba lakin hatak kutambaa, kabisa.yeye hupendelea kukaa tu.
Naomba msaada wa tatizo hili kwa wajuvi wa mambo.
Nina tatizo la allergy kwa sababu nikipata vumbi tu napata mafua, pua zinawasha na macho pia, nikitumia dawa yoyote yenye priton naumia sana kifuani upande wa kushoto pamoja na mkono wa kushoto...
Ni baba wa watoto 3 tangu ameoa amechepuka mara 4.
Kwa sasa ametulia kama miaka 2 bila kuchepuka.
Ila kuna tatizo ameliona yeye ni mnywaji wa konyagi na bingwa.
Akinywa pombe hizo halioni...
Habari JF doctors.
Mwezi uliopita tarehe 28 nilichoma sindano ya uzazi wa mpango kwa mara ya kwanza.Kinachonishangaza huwa naenda bleed kwa siku 4 ila mwezi huu nimeanzaa kubleed tarehe 13 mpaka...
Nina tatizo la kuumwa kichwa kwa upande mmoja nikimeza dawa ya maumivu bado haiponi, na imefikia kiwango ya kwamba ikianza kuuma zaidi naishiwa nguvu hv, pia najiskia kuchoka mda wote na...
Salaam wana Jf
Naomba msaada jamani!
Nina umri wa 26, shida niliyo nayo napata maumivu makali sana nisipo fanya mapenz kwa muda mrefu.
Maumivu yanakuwa katika mirija inayotoa mbegu kutoka...
Wakuu,
Bila shaka hamjambo, naomba kujua hivi dawa ya misoprostol isipofanya kazi baada ya kuitumia, ni muda gani unatakiwa kupita ndio urudie kumeza? Wife kameza haijafanya kazi, ujauzito ni wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.