Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Ivi kuna ukweli juu ya ugonjwa wa ngozi au ndio yale ya UKIMWI na Waafrica? HAKUNA UGONJWA WA NGOZI ★____________★_____________★ Kwanza kabisa huwa mnaibiwa na hawa madakitari wa ngozi na...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kikazi. Naombeni msaada wakuu wangu hivi tatizo la kipanda uso linasababishwa na nini? Na je kuna tiba ya kuliondosha tatizo hilo? Mwenye kujua naombeni msaada wakuu...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kwa yeyote mwenye ujuzi wa tiba asili naomba anijuze jinsi ya kujitibu henia ya utumbo (enguinal hernier) bila ya upasuaji maana inanisumbua sana na nashidwa hata kukimbia.
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Habari Wananchi wenzangu, poleni na pilikaplika za kutafuta riziki. Naomba kwa wataalamu watusaidie ukweli kuhusu huu ugonjwa wa kansa ambao kila siku unatutenganisha na wapendwa wetu japo kuna...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba msaada anayejua tiba za jadi au mtaalamu anayetibu mtu aliyepata kiharusi upande mmoja wa mwili, (aliyetupiwa jini), wataalamu Tanga au Pemba. Msaada tafadhali
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba yeyote mwenye dawa ya kuondoa mvi anijulishe kupitia humu malipo hayatakuwa na shida.
0 Reactions
102 Replies
50K Views
Salaam, Nahitaji kujua kama mwanamke akipata mbegu za kiume akaweka kwenye bomba la sindano na kujidunga ukeni anaweza kupata mimba? Hapa nazungumzia ile ya kinyumbani sio ya kwenda hospital na...
6 Reactions
128 Replies
23K Views
Habarini viongozi Ni kama mara mbili hivi sasa nimekuwa nikishituka kwa kasi sana na kuhisi kama nimepigwa na shoti ya umeme. Je..!! hili hunitokea mimi tu au pia kuna mtu amewah kupatwa na hii...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu wasalam Mtoto wangu mchanga mwenye siku 13 ana uchafu kama utando mweupe kwenye ulimi wake. Vile vile kuna kama viupele vidogo katika ulimi. Mtoto ananyonya vizuri na hajaonesha dalili ya...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Kwa maelezo mafupi tu hii inaenda mwezi wa pili ameshindwa kuingia period lakini tumepima mimba mara tatu lakini majibu yanaonesha hana mimba. Je, Inaweza kuwa tatizo gani wajuzi wa mambo? Msaada...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari Watanzania, Kuna huu Mmea ambao unapatika Mikoa yote ya Tanzania na kila Mkoa wanaita kwa jina lake la Asili kwahiyo unawezakuta hapa ukaitwa kwa zaidi ya Majina 100. Huu mmea 👇 ndiyo...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
Wanasayansi wa Australia wanasema kwamba sumu ya nyuki wanaotengeneza asali ina uwezo wa kuharibu seli hatari za saratani ya matiti katika maabara. Sumu hiyo na kemikali aina ya melitin -...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Leo nimeamka asubuhi koo linawasha. Baada ya muda nikaanza kohoa na kukamatwa na mafua makali sana. Binafsi sipendi mafua na kukohoa. Ila napenda sana kupiga chafya. Ikabidi nianze harakati za...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu wana JF, rejea mada husika. Mimi ni kijana wa umri wa kati ya miaka 25&27 uzito wangu ni k 94 urefu ni fut 6.2, majira ya jumatatu alasiri nilikunywa kahawa kikombe kimoja na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina mtoto wangu hapa kama miezi miwili iliyopita mtoto wangu alikula nyama ya kondoo sasa kumbe nyama ya kondoo imemkataa kabisa hali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto anaumwa anaharisha, mafua na pia ana kikohozi kikavu ila hachemki NB: Mtoto ana umri wa miezi mitatu, jinsia yake ni ME
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naenda kwenye maada moja kwa moja mimi mwenzenu yamenipata haya nilioyaeleza hapo juu nnaomba msaada namna ya kumlea mtoto huyu wa mwezi mmoja asije akazulika Mwenye elim kuusu hili anisaidie...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Watu hao juu huwa na wembamba mzuri na kukwepa magonjwa ya moyo,pressure na sukari,kwani hufanyeje fanyeje hadi kulinda miili yao?ili na sisi tuwe nayo.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Amani iwe juu yenu. Wakuu Hali yangu si nzuri nataka kujua hizi dalili za ugonjwa gani ? 1) kichwa kuuma maeneo ya utosi 2) kupoteza hamu ya kula 3) kupata kichefuchefu Cha kutaka kutapika 4)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom