Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habarini za majukumu wanajf nahitaji msaada wa mawazo nasumbuliwa na dry coughing wiki sasa, nimeenda Aga khani hospita kupima vipimo vyote viko sawa bado cha makohozi tu. Dawa ninazo kama...
1 Reactions
24 Replies
17K Views
Habari wananzengo, Mdogo wangu amekuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Ulcerative Colitis tangu 2016 hadi leo. Ugonjwa huu unahusisha kujisaidia damu pale uendapo chooni. Tulimpeleka Aga Khan Hospital...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Madhara ya unene uliopitiliza (obesity) Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyo hitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na...
5 Reactions
1 Replies
4K Views
Njiti, vidonge na kitanzi? Uchumi wa familia unaendana na available population ya familia husika ni vizuri kujipangia utaratibu na interval ya watoto unaotaka sio unateremsha tu. Naombeni wakuu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Je, mwanamke anaweza kupata hedhi katika siku za mwanzo za ujauzito wake? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
781 Views
Habari zenu wadau, Naomba msaada wenu wa mawazo katika hili. Ndg yangu alikuwa ananiambia kuna wakati anahisi mapigo ya moyo hayaendi sawa, yanakuwa polepole, imepita kama wiki mbili hivi, leo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu ana tatizo la fangasi za mdomoni miaka miwili sasa amejaribu kutumia dawa za madukani lakini haziishi. Ameshatumia dozi zaidi ya nne lakini wapi. WanaJF tusaidiane labda kuna...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje. === Same Cases...
0 Reactions
181 Replies
34K Views
Naomba kujua mama mjamzito anatakiwa kuwa na wingi wa damu kiasi gani au kawaida iweje? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
13K Views
NINI HUTOKEA TUNAPOKUNYWA "ENERGY DRINKS"? "ENERGY DRINKS" ni vinywaji vinavyotajwa kukuongezea nguvu utakapotumia,na matumizi yake yameongezeka kipindi hiki. Mwaka 2014 shirika la afya duniani...
6 Reactions
47 Replies
56K Views
Hakikisha unapata chanjo ya homa ya mapafu: chanzo hizi hupatikana mahospitalini. Kabla hujapata chanjo ongea na Dactari wako akupe ushauri. Hakikisha watoto wanapata chanjo ya homa ya mapafu...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu habari, Mimi ni mwanaume. Takriban mwezi sasa nimekuwa nikiumia sehemu unapoishia uti wa mgongo hasa ninapokuwa nimepanda baiskeli au pikipiki. Pia napokuwa nimepanda gari halafu ikapiga...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Saratani ni kundi la Magonjwa yanayoweza kuanza takriban kwenye kila Kiungo cha mwili, seli zinapokua kuliko kawaida bila kudhibitiwa. Ukuaji huo unaweza kuvamia viungo vingine vya mwili vilivyo...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mimi mgeni kwenye hii forum, ila ningependa kupata dondoo kadhaa kuhusiana na magonjwa mbalimbali na afya kwa ujumla. Ningependa kuanza kupata ufahamu kuhusiana na ugonjwa wa homa ya in.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimewahi kusikia kwamba mtu anapoanza kuchanganyikiwa yaan kuwehuka, asiruhusiwe kukimbilia sokoni au jalalani, yaan azuiwe kadri inavyowezekana asifike maeneo hayo, akishafika maeneo hayo...
1 Reactions
1 Replies
765 Views
Gastric trichobezoar'' ni ugonjwa ambao ni nadra sana kutokea, ni hali ya kuwa na uvimbe ulioundwa na nywele ndani ya njia ya kumengenya chakula. Mtu hupata shida ya kumeza, usumbufu wa tumbo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
ana miezi miwili tangia ajifungue (kwa operation) lkn tangia jana ameanza kulalamika anasikia baridi kali na kutetemeka hata kama amevaa masweta mazito...pia mshono wake kuuma ..je itakua ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Homa ya Mapafu au kama ilivyozoeleka kwa wengi Pneumonia (Nimonia) ni ugonjwa hao umesababisha vifo vya maelfu ya watu duniani kote. Mara nyingi Ugonjwa huu husambazwa kwa vijidudu, fangasi...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo fulani ambalo hakuwa nalo tangu mwanzo anaweza kufanya nini ili kuepuka hii haibu japokuwa kwasasa limekuwa kama janga la taifa. Anakosa hamu ya tendo la ndoa...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Nilikuaga nasumbuliwa na kifua nikapiga X-ray wakaniambia nina TB, so wakanianzishia dozi since June mwaka jana tarehe 14. Nikawa nahudhuria kliniki kila baada ya wiki mbili kuchukua dozi na kila...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom