Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Naombeni msaada wanajamvi, mnisaidie: ni vyakula gani ukila unaongeza uwingi wa shahawa/sperms na zinakuwa zenye nguvu, naomba mnisaidie. natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Watu wengi huwa wanasema chipsi mayai ni hatari je ni kweli ni hatari kuliko miguu, utumbo, pamoja na vichwa vya kuku wakisasa? au kalmati, ndizi zilizokaangwa kwa mafuta na vitumbua? Au nyanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyama nyeupe ni ipi? Hii ni nyama ambayo ikichinjwa inakua na rangi nyeupe kabla ya kupikwa mfano halisi ni nyama ya kuku, bata, mbuni, ndege wote na samaki aina zote. Nyama nyekundu ni ipi...
4 Reactions
5 Replies
4K Views
Mwanamke anaweza akapata HIV direct kutoka kwenye mwili wake mwenyewe kipindi cha ujauzito? Nasikia kuna case kama hizi zinatokea duniani kuwa mwanamke kupimwa na kukutwa na HIV kipindi cha...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wana jamvi. Naomba msaada wa haraka. Baada ya kujipima HIV na kipimo (vile vyeupe) Ndani ya dakik 10 ilionekana positive ila asubuhi viliweka mistari 3 (Vililala mpaka asubuhi) Naombeni...
4 Reactions
171 Replies
125K Views
Habari za humu ndani wakuu? Wanasemaga kuuliza sio ujinga. Eti ukijulikana una tatizo la moyo kwenye mishipa au kitu chochote kinachopelekea moyo kuwa na tatizo ni lazima ufanyiwe upasuaji au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza Madaktari na wataalamu mnisaidie kwa hili. Juzi niliugua nilipata mshtuko wa moyo nikaenda hospital. Baada ya kupimwa Pressure, Kisukari, sikuwa na gonjwa hata moja lakini baadae...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari, Mwanangu wa miezi mitano anapandisha joto usiku tu,tulienda hospital alipimwa malaria na UTI hana ila walisema damu chache. Tulipewa dawa atumie lakini tatizo bado lipo. Tunaomba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hakuna ubishi baadhi ya wanaume hutumia wallet (pochi) kuhifadhia fedha, kadi za matibabu na za benki, bila kujua madhara wanayoweza kuyapata endapo watazikalia. Akizungumza na Mwananchi katika...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo ten tumekuja na mafunzo kwa wanawake, kuna baadhi ya wanawake ambao wana harufu mbaya sana katika sehemu zao za siri, sasa nimeitengeneza video hii kwa ajili ya kuwaelimisha njia ya kujitibu...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa sukari. Nahitaji kumnunulia mashine ya kupima. Ipi ni aina bora ya mashine ya kupima sukari lakini inayouzwa kwa bei nzuri/nafuu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Naomba kuuliza, kwa wataalamu, maana ninyi ndio wataalam. Je, baada ya PEP naweza kutumia rapid test kujipima ama lazima niende hospitali? Je, kati ya rapid test na uni-gold ni kipimo ganj kiko...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu nasumbuliwa na tatizo la nyongo na ni kwa kipindi kirefu sana, huwa na tumia dawa za kienyeji za kutapika nyongo but huwa tatizo linarudi palepale baada ya muda fulani. Huwa nyongo ikipanda...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
[emoji1593]Wataalamu wa matibabu wanaonya kuwa kutibu madhara ya sumu hii huhitaji teknolojia ambayo ni ghali mno na kuwa sio nchi nyingi zina uwezo wa kuyatibu. [emoji1593]Kwa hiyo ukipata sumu...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Hali hiyo ya Jogoo kuwika pasipo kawaida imentokea siku za hivi karibuni. Imezoeleka mwanaume yeyote akiamka asubuhi jogoo huwika lazima na baada ya muda fulani hali...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau hivi majuzi nilishikwa na kama kichomi fulani hapa juu ya tumbo yani katikati ya tumbo na kifua sikulala kabisa usiku wake. Sikuwahi kutokewa na hali hii hiyo ndiyo ilikua mara ya kwanza...
2 Reactions
132 Replies
212K Views
Ukweli kuhusu chumvi na maajabu yake: Stori kuhusu chumvi: Tunapata chumvi nyingi kwenye vyakula vyetu siku hizi. Chumvi nyingi itasababisha shinikizo la damu, uvimbe, matatizo kwenye kibofu...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
MAKONDA AFANIKISHA SAFARI NA MATIBABU YA AHMED ALBAITY CHINA NDOTO na shauku ya kijana Ahmed Albaity alieteseka kwa zaidi ya Miaka 10 Kitandani kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu leo...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu hodi humu, Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa tendo la ndoa? Mimi ni mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapokuwa...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Halo JF Doctor. Nina tatizo la kutoka mafuta yaliyoganda yenye harufu kali. Mafuta haya hutokea ktk matundu mawili mwisho wa ulimi karibu na koo. Huwa kuna tundu la kulia na kushoto na nimejua...
1 Reactions
17 Replies
38K Views
Back
Top Bottom