Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Nimeuliza hivyo sababu kuna watu wanafanya kazi mazingira hatarishi karibu kuhudumia wagonjwa wa ukimwi mfano manesi na madaktari. Siku zote wako hatarini 1.Je kuna dawa za kinga wanazitumia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Koradani hupatikana katika mwili wa mwanaume katika sehem za uzazi. Korodani hutumika kuhifadhi na kuzalisha mbegu za kiume na kike X na Y. Mwanaume pekee ndio anazalisha mbegu za kiume na kitaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada please mtoto hataki kula kabisa zaidi ya kunyonya. Ana mwaka na miezi 7 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kuna tatizo la heart failure kwa wanawake wanaojifungua nafikiri tatizo hili linasababisha vifo vya kina mama wengi sana lakini sijui kama mimi ndio nilikuwa silijua au wengi pia...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimekuja mbele yenu naomba msaada. Nimepoteza ladha ya mdomo lips zangu zinakuwa nyekundu sana hasa ya chini pia lips ya chini inakuwa kama imevimba na kufa ganzi mdomo hauna ladha...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Have you not heard? It has become much more easier to be infected with Aids and other blood and skin disease nowadays. What we have been known to grow up with, the habit of walking in to the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wakuu kuna Shemeji/Wifi yenu nimemtuma akachukue Vipimo eti kaniletea hii karatasi ya Majibu Hivi haya ndo majibu yake nayatolewa kwa style hii? Maana mimi najuaga lazima iwe Ile...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
habarini wakuu, Nina mdogo wangu ana mimba ya miezi minne sasa. Amekuwa analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na akikojoa unatoka mkojo kidogo na maumivu. Sasa leo...
0 Reactions
18 Replies
43K Views
Nikifanya shughuli yoyote inayohusisha matumizi makubwa ya nguvu kama vile kukimbia umbali mrefu, kubeba vitu vizito nk. mwili unachoka, nakosa pumzi, najihisi mchanganyiko wa kizunguzungu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Maumivu ya Chembe ya moyo hufahamika kama "angina pectoris" hutokea pale ambapo moyo unakua unapata hewa ya oxygen kidogo tofauti na mahitaje yake.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Chia seeds ni mojawapo ya vyakula vyenye kiwango kikubwa cha virutubisho. Mbegu za chia zina virutubisho mbalimbali ambavyo ni muhimu kwa afya ya mwili na ubongo. Mwili ni rahisi kupata...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Nimeona mara kadhaa watu wakijiona wapo salama kufanya ngono bila kinga kwa sababu tu wamepima na matokeo kuonyesha negative. Hiyo sio sawa, kwa sababu vipimo vya juu kabisa kwa ujumla vita-detect...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wanajanvi, Nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mwili kila nikivaa viatu vya raba pia nguo zozote zisizokuwa za cotton. Nasikia maumivu makali, napata ganzi mwili mzima. Ila nikivaa cotton...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa kitaalam katika hili, Mpenzi wangu bado ni bikira na ana umri wa miaka 23 amemaliza chuo anasubiri tu ajira sasa tumekubaliana kuanza kufanya mapenzi lakini kwa sababu bado...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Habari wanandugu JF, Jamani naomba msaada, Mtoto wangu amekuwa na tatizo la kupata blood infection mara kwa mara inayopelekea kupandisha joto mara kwa mara. Lakini tatizo jingine kubwa ni kuwa...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Naam! Habali za kazi ndugu wana jukwaa kama kichwa cha Habari kinavyosema. Kwa wale wataalamu, wa afya nilikuwa naomba kueleweshwa faida kiafya ya kula matunda haya, nimeona yanaliwa sana ila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Karafuu ina madhara na faida gani endapo ikiliwa.?
1 Reactions
46 Replies
73K Views
Habari wana bodi, Hivi karibuni nimepatwa na tatizo binti wa kazi kamdondosha mtoto wangu wa miezi minne. Alikuwa anambeba mgongoni, kwa maelezo yake, mtoto akadondoka. Kilichoendelea hapo mama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ever since antiretroviral treatments against HIV infection were introduced in 1996, scientists have eagerly been hunting for a cure for the disease. Although drugs can allow people who carry HIV...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Madokta wote na wasio madokta salaam. Nina mtoto umri 5yrs mwanzoni alikuwa akiongea vizuri kwa sentence isiyokatakata lakin hivi karibuni amekuwa na tabu sana, Neno moja linatamkwa kwa sekunde...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom