Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wapendwa habari za saa hizi.. Nina mimba ya wiki sita naona matone ya damu kama brown. Nimeambiwa na doctor nitumie Duphastone na nipumzike siku saba, je itasaidia? Na kuna mtu alishawahi kupata...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sijawahi kukosa muafaka JF. Ndio maarifa yamebakia kupata bure kwa watu wema. Nina tatzo la meno kutoa damu kwenye fizi kwa muda mrefu sasa. Kiasi huwa nalazimika kuweka dawa kwa awamu mbili ndio...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
NImehangaika kutafuta mtoto mimi na mwenzangu kwa muda wa miezi kumi lakini bilabila japo mwenzangu nilikutana naye tayari akiwa na mtoto. Nimefanya sperm analysis majibu ni kama ifuatavyo÷...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu hongereni kwa mishughuliko ya hapa na pale.wakuu ! Mi nahitaji kujuzwa kuhusiana na hatua za ukuaji wa mimba hasa ni lini mtoto huanza kucheza tumboni.Kama kuna post yoyote inoyo jibu jambo...
2 Reactions
21 Replies
164K Views
ilikuwa Pnemonia ndio ilikuwa inasababisha kukohoa kidogo kutokana na kubana kwa pumzi lakini nilipoitibu sikohoi tena na nmeanza dozi ya TB. Hivi kuna uwezekano wa kuwa na TB halafu usipate...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Naomba msaada mtoto wangu ametokewa na jipu kichwani nini naweza kufanya kumsaidia tofauti na kumpeleka hospitali maana sipo vizuri kifedha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimepatwa na tatizo la kuwa na maumivu au tuseme kitu kama uchovu fulani hivi katikati ya tumbo na kifua. Mara nyingi hali hii inanitokea wakati wa mchana ninapopumzika katika shughuli zangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomba kuwasalimia na kuwatakia heri na baraka mwaka jana mke wangu alijifungua kwa njia ya upasuaji hospitali ya serikali, kwa maelezo yake miezi mitano baadae aliniambia madaktari walimwambia...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Napenda kujua nini hutokea pale ambapo mwanamke hukadiriwa kuwa atajifungua tarehe fulani kulingana na uhalisia halisi wa siku ya mwisho kuingia MP, lakini siku ikifika inakuwa tofauti (hajifungui).
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuwa na tatizo hili kwa muda sasa, huwa linakuja na kuondoka lakini kwasasa naona linataka kuwa sugu. Kuna wakati nikiwa nimelala tu usiku basi misuli inakaza kwa nguvu na kuleta maumivu...
0 Reactions
15 Replies
54K Views
Habari! Kutokana na title inavyojieleza hapo juu, nahitaji kufahamu hospital ya masikio hapa jijini Dar ambayo inapima kwa usahihi na kugawa vifaa vya usikivu ili kuongeza uwezo wa kusikia. Maana...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari, wadau naomba ushauri wa vidonge vizuri vya (calcium supplements). Nina tatizo mfupa wa mguu ulivunjika. Nataka calcium ili kusaidia kuunga faster. Balanced diet najitahidi kula...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Wadau nasumbuliwa na Tatizo la Maumivu ya Pingiri za Uti wa mgongo kuanzia kwenye Kiuno pingiri S1,L5,L5 kipimo cha MRI kimeonyesha jle Ute umeisha na pingiri kidogo zimekuwa Bulge Disk na...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Ni dawa gani, itanisaidia nishan'goa Sana, meno yataisha Kama kuna dawa inafahamika nisaidiwee nitanunua kwa gharama Yoyote
1 Reactions
60 Replies
50K Views
Habari wakuu , natumai ni wazima was afya, naombeni msaada ya tatizo hili yapata mwaka na nusu sasa na tatizo la kuwashwa au kuchinyota nyia ya haja kubwa , ngozi ya mwili kuwasha , kusikia njaa...
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi. Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Magonjwa yanayosababishwa na hiv/aids ni Yale Yale tunayoumwa kawaida kila kukicha Swali ni Je unajuaje kama hii sio homa ya kawaida au malaria ya kawaida bali ni dalili za HIV? au hizi tezi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Samahani naomba kujua ni dawa ipi ya kutibu Malaria inayoruhusiwa kutumiwa na Mama anayenyoshesha? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wanajamvi natafuta suppliment hii kwenye picha. Kama una information zozote inakopatikana tafadhali njoo PM tuzungumze. Nahitaji haraka iwezekanavyo
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Watalaamu nipo kwenye dozi ya TB ila sasa imepita wiki mbili sijawahi kulala kabisa mpaka nahisi kichwa kinaanza kuelemewa na kuzidiwa na usingizi ninao mwingi sana. Ila nikiwa kitandani nikisema...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Back
Top Bottom