Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari ndugu zangu. Ndugu yenu ninasumbuliwa na hali ambayo siielewi hivyo kama kuna mtu amewahi kupitia changamoto kama hii anipe muongozo. Mimi ni jinsia ME Umri 33. Ninapokuwa na ratiba mpya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Baada ya kupitia maandiko kadhaa, nimejifunza kuwa mwanamke aki-conceive mwezi unaofuatia katika mzunguko wake ata bleed kama kawaida!!(sina uhakika kama ni wote)
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Ni muda mrefu sasa tatizo hili (headache) linanisumbu, yaani huwa kinaniuma sana hasa nikitembea kipindi cha jua likiwa normal au kali. Ukizingatia na Dar yetu kipindi hichi cha jua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mpenzi wangu anasumbuliwa na fangasi na tumejaribu dawa mbalimbali lakini imekuwa ikimrudia mara kwa mara. Mara ya mwisho tumetumia Cotrimazole ya kupachika lakini hali ya kuwashwa ukeni naona...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mama ambaye amejifungua mara ya kwanza anaweza kuhitaji msaada katika kunyonyesha. Msaidie ili aweze kuwa mtulivu na makini kwa kazi hiyo. Msaidie kwa kutumia mablanketi na miito ili aweze kukaa...
2 Reactions
394 Replies
105K Views
Hello, Nina mpenzi wangu who is HIV+ for years now while I am HIV-. Alipata ujauzito miezi kadhaa iliyopita, nikampeleka Agakhan Hospital ili aweze kuanza clinic ya mama na mtoto, kama kawaida ni...
26 Reactions
499 Replies
52K Views
Nina maumivu makali ya misuli shingo kukakamaa na mabegani mpaka saivi maumivi yamesambaa mpaka mikononi na mgongoni maumivi makali nina zaid ya miezi mi3 msaada jamani nishafanya vipimo vingi na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari ya asubuhi wakuu. Nimejifungua hivi karibuni, tatizo nililo nalo matiti hayatoi maziwa kwa ajili ya mtoto. Nawaomba kwa mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Natanguliza shukrani...
1 Reactions
53 Replies
13K Views
Naomba kujua side effects za hizi dawa
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Hope mpo wazima wanajf Ipo hivi.. Nilikuwa nasumbuliwa sana na tatizo la kifua upande wa upumuaji, kwa mazoea yangu basi nilihisi ni Asthma coz hyo ndio homa ambyo inanisumbua mara kwa mara na...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu kiujumla wanaJF Moja kwa moja... Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la maumivu ya kiuno, ambayo amekuwa akidai sometimes huwa yanazunguka mpaka maeneo ya kwenye tumbo Kama kuna mtu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake Nawasilisha
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Spinal Disc ni disk zinazokaa kati kati ya pingili “Spinal Vertebrae” za uti wa mgongo. Kuna wakati disk hizo hutoka sehemu yake na kusogea pembeni tatizo ambalo linajulikana kwa majina kadhaa...
3 Reactions
3 Replies
10K Views
Je Kujikuna ni Zawadi Itolewayo na Ubongo? Je Ni Kwanini Unahisi Raha na Adha Unapojikuna? Salaam Wadau! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Unapohisi muwasho kwenye mwili wako ni dhahiri...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za Jumapili wapendwa. Kama kichwa habari kinavyojieleza, kuna dada wa rafiki yangu amepata hili tatizo la Cancer. Alianza kuumwa mwaka jana June alikwenda hospital wakampa rufaa ya kwenda...
7 Reactions
44 Replies
8K Views
Habari Naomba kuuliza kama nimejamiana na mtu mwenye ukimwi itanichukua mda gani mim kuziona dalili kama nitakua nishaukwaa?
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Ukisikia tamu chungu au sikio la kufa halisikii dawa ndio huku sasa. Toka mwezi July sikio la upande wa kulia linauma. Kichwa kinauma muda mwingi ajili ya kuvaa earphones kila wakati ila sikomi...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Niko karibu na mwambao wa Pwani, maji ni ya kisima na yana hali ya chumvi, je yafaa kunywa? Kiafya ikoje?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naitwa Hussein nipo Arusha, ninasumbuliwa na allergy ambayo nawashwa sana koo na wakati mwingine natokwa na kwenye fizi nimekuwa natumia Predinisolone. Tangu 2014 zinanisaidia kidogo, je nifanye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Week iliyopita nilienda maabara kufanyiwa vipimo vya mkojo na kukutwa na UTI kidogo, hii ni baada ya kuwa nasikia maumivu kwa mbaali baada ya kumaliza kukojoa nilipofika maabara...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Back
Top Bottom