Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari wataalam
1 Reactions
2 Replies
2K Views
nimeambwa kuwa inazalishwa tanzania na kuuzwa nchi mbalimbali afrika. naomba kujua inapatikana katika maduka gani hapa tz. tazama video hapa chini...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari kwenu wakuu wenza kwenye jukwaa la Watanzania na pia Afrika mashariki yote. Natumai muko wazima katika afya na pia mumesalimika. Zimepita siku nyingi sana sijazungumzia chochote hapa jamii...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF Nauliza kwa yeyote anaeujua mti uitwao MKADAMONI naweza kuupatia wapi? Nina shida nao mimi nipo Dar es Salaam ndugu zanguni. Ahsanteni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za leo ndugu zangu, Naomba msaada kwenu Doctors wa kufahamishwa dawa nzuri ya mafua kwa mtoto mchanga wa wiki mbili toka amezaliwa. Mafua aliyonayo mwanangu hayatiririki Ila yanamsumbua...
3 Reactions
15 Replies
11K Views
Mimi ni ME nina miaka 23, maumbile yangu (uume) yanakuwa madogo sana yakiwa yamelala ila yanakuwa makubwa yaki erect. Je kuna tatizo? Maana nakosa kujiamini pale ninapokuwa faragha muda maumbile...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwema wakuu? Jamani nasumbuliwa na fungus wa vidoleni mikononi,nimetumia dawa nyingi lakini siponi, naomba anaejua dawa aniambie Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie kunielekeza kuhusu hii picha ya Ultra Sound na naattach na maelezo yake. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Watafiti nchini Marekani wamebaini kwamba kutokula kwa masaa 16-18 au kufunga kula kila baada ya muda fulani katika wiki hurefusha maisha na kuzuia magonjwa. Katika makala iliyoandikwa katika...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wana JF, naomba kufahamu upungufu Wa kinga mwilini unachukua muda gani kuonekana? Punde baada ya kuupata? Na ipi ni dalili kuu kuliko zote? Na kwenye kipimo huonekana baada ya muda gani...
5 Reactions
126 Replies
181K Views
Habar
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ana ujauzito wiki 23, anavimba saana miguu especially akikaa kwa muda mrefu. Vipimo vya presha vinaonyesha ipo normal. Naomba msaada, je ni nini sababu? Je ni nini tiba?
0 Reactions
6 Replies
6K Views
MAELEZO YA KISAYANSI KUHUSU KULALA KUPOOZA. Kwa mujibu wa Ryan Hurd kwenye makala yake ya "The sleeping paralysis report" kulala kupooza ni hali impatayo mtu pale muingiliano wa taswira za kwenye...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda muda huu wanajamvi. Ni matumaini yangu kuwa mnajiandaa vema na maandalizi ya kuupokea mwaka. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya masuala...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu poleni na majukumu naomba msaada wa mawazo juu ya hili. Leo katika harakati zangu za kuusaka mkate wetu wa kila siku nimevamiwa na kung'atwa na mbwa jike anaesadikika ana watoto wadogo...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nauliza kuhusu gharama za matibabu kwa masikio yenye uwezo mdogo wa kusikia. Sikio langu moja linanisumbua. Mliowai kupatwa na tatizo hili mlikutana na changamoto gani? Msaada tafadhali
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana JF, Nina swali kidogo juu ya Mimba ambayo inayotungwa katika Mirija Ya Uzazi, hii Mimba huwa haikui je huchukua Muda gani kupasuka Yenyewe? Na Mtu mwenye shida hii huchukua Muda gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jinsi Ubongo unavyobadilika kukabiliana na Mazingira. Ubongo wa binadamu umejengwa/umeumbwa kwa namna ya kumwezesha aendelee kuishi/kuwepo (survive) katika nyakati ngumu au kipindi cha hatari...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Leo ni Siku ya Homa ya Mapafu (Pneumonia) Duniani. Siku hii inaadhimishwa kila tarehe 12 Novemba kila mwaka. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinasema ugonjwa huo uliua watoto 808...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HOMA ya mapafu ni aina ya maambukizi yanayoathiri mapafu. Ni ugonjwa ambao unaua watoto wengi hasa katika nchi zinazoendelea duniani. Mapafu yanajumuisha mirija mikubwa ya hewa (bronchi) ambayo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom