Hellow ,,
Tunaelekea kufunga mwaka ,niwatakieni kila la kheri
Ninaomba ushauri ,nimekuwa napenda kutafuna mbegu za maboga nyakati za usiku(kama mlo) na nikitafuna saa 1 saa 2:30 nakuwa nasinzia...
Jaman naomben ushauri nadhani nimeathirika UKIMWI
Miez mitatu iliyopita nilitembea na Mke wa mtu aisee siku ya kwanza kumpeleka guest nilivaa condom wakati wa kugegedana lkn katikati ya show yule...
Hello wakuu! nimekuwa mfuatiliaji wa makala mbali mbali zinazohusu jinsi ya ku control too much acid inayotusumbua watu wengi. Rafiki yangu mmoja ambaye ni medical doctor aliniambia kwa kirefu...
Wasalaam ndugu zanguni
Kwa muda wa siku tano mfululizo nimetokewa na hali ya kumwaga mbegu za kiume usingizini pasipo kuota ndoto nyevu bali nikishtuka usingizini ( katika hali ya usingizi huo...
Yaani nahisi nimelaaniwa. I'm too addicted to this shit
Juzi nlikuwa kwenye sherehe fulani ile muda wa menu naenda kunawa si nikakutana na Mtoto beautiful, juicy, sweet, slimy mwenye macho ya...
Habari zenu bandugu?
Leo nawapa siri kubwa sana ambayo baadhi yenu wachache tayari mnaijua japo hamjaizingatia sana.
Siri ya maji ya moto
Chukua maji lita moja yachemshe yachemke ipasavyo...
Habari zenu wadau, poleni na majukumu
Mimi nina tatizo nilikuwa naombeni mnisaidie japo kwenye maelezo itakuwa ni shida ila nina imani mtanielewa, ngoja niende kwenye point moja kwa moja.
Mimi...
Chakula chenye nyanya nyingi kinaweza kumsaidia mwanaume kutoa mbegu za kiume zenye ubora, utafiti umebainisha. Afya ya wanaume ambao hunywa vijiko viwili vya nyanya ambayo imesagwa kwa siku...
Wakuu heshima kwenu,
Naomba kuuliza kama kuna member ana ushuhuda/uelewa ama experience na products (dawa) ambazo kampuni ya Global Allience huwa wanaziuza.
Je, Kuna mtu yeyote humu aliwai...
Habari Wakuu,
Nina mtoto wa miezi 3...ana utando mweupe kwenye ulimi wake kama maziwa hivi....tumempeleka Hospital amepewa Dawa but hauishi.
And sometimes akicheua huwa anacheua maziwa mengi sana...
Habari,
Naulizia madaktari wanaofahamu dawa vizuri, hii dawa inaitwaje kwa hapa Tanzania na naweza kuipata?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu,
Jinsia yangu me umri 30
Ni mda Sasa Nasumbuliwa Na Dalili Hizi:
Hii hali nna miaka nayo 6 ila sasa imekua siriasi
Kuna kipindi niligoogle hizi dalili, nikatumia dawa za...
wakuu nimekua nikisumbuliwa na vichomi mara kwa mara maeneo ya chini ya kitovu kwa pembeni (kwenye mitoki) upande wa kulia na kushoto yani huwa kinachoma upande mmoja baadae upande mwingne...
Habari wadau,
naamini mnaendele vema na majukumu ya kila siku na hatuna budi kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake juu ya maisha yetu ya kila siku,
Mimi ni mtanzania ninaishi kijiji cha Bugarama...
Nipo hapa Zanzibar naona kuna ligi ya kuagiza supu ya pweza kati ya wanawake na wanaume. Hapa kwa muuzaji kuna wanawake wengi kuliko wanaume.
Naomba siri ya supu ya pweza kwa wanawake? Sijui kama...
Wasalaam,
Wataalamu wa afya: Mie nina mdogo wangu wa kiume ana miaka 22 kwa sasa.
Tatizo|Sijui sio tatizo hana tabia ya kutoka jasho hata pale atakapofanya mazoezi au kazi ngumu hata iwe juani...
Habari zenu wanajamvi,
Nina mpenzi ana miaka 23, tumekuwa katika mahusiano kwa miezi 7 sasa. Tunafanya mapenzi vizuri tu ila nilishamuambia mimi sihitaji mtoto na yeye so awe makini kucheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.