Habarini wanajamvi, naomba kupata ushauri wa kitaalamu hapa.
Nina mzazi wangu kafanyiwa upasuaji mdogo kwa ajili ya kusafisha sehemu ya utumbo iliyokuwa imeathiriwa na fungus kwa mujibu wa vipimo...
Nimeugua Typhoid kwa kipindi kirefu yapata miaka minne hivi na nimetumia antibiotics nyingi kama ciplofalexin, cefriaxone,cefixime, azuma, chlorophenical, amoxicillin, doxy na nyingine nyingi...
Juzi nilikuwa pale Benjamin Mkapa hospital kutoa damu kwa ajili ya vipimo. Zaidi ya watu 5 wanalalamika maumivu kwenye mshipa wa damu sehemu iliyotolewa damu. Jamani uongozi wa hospitali ya Mkapa...
Ok naomba kuuliza, hivi vile vidonge vya uzazi wa mpango vinafanya kazi baada ya muda gani?
Naomba msinielewe vibaya, nimetembea na binti mtoto wa kiongozi wa serekalini tena chama cha upinzani...
BY Dk.Shita Samwel, Mwananchi
Kila inapofika Desemba mosi ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya Ukimwi Duniani.
Siku hii iliadhimishwa wiki mbili zilizopita kwa wadau kutoa elimu ya mambo...
Habari wa dau,
Naomba wataalamu mnijuze chanzo cha kizunguzungu cha mara kwa mara kwa mama mjamzito, mke wangu anasumbuliwa mara kwa mara na hali hii, ana ujauzito wa miezi takribani sita...
Mwenye anayejua tiba ya prostatitis (prostate bacteria information)
Kwa kutumia mitishamba
Ningependa waliotumia wakapona au mtu anayejua mtu aliyepona iyo dawa wachangie mawazo kuliko wauzaji...
http://woked.co/women-dna-man-made-love/
Kwa kiswahili ni hivi
Kuna cells(DNA) zimekua zikionekana kwenye ubongo wa wanawake ambazo hazitokani kwa baba zao jambo ambalo wanasayansi wakawa...
Ndugu zangu wa JF, natoa tena nafasi nyingine tuweze kuelimishana kuhusu magonjwa ya zinaa. Uliza swalili lolote kuhusu magonjwa ya zinaa mfano uume kutoa usaha, maumivu wakati wa kukojoa au...
Kuna hali fulani inakera aise, yaani unakuwa unahisi koo kukauka muda wote kiasi kwamba hata ukinywa maji ni Kama hayajapita kooni kabisa!
Wakuu hivi hali hii inasababishwa na nini hasa?
Na ni...
Waungwana nipo kwenye dozi, natumia PEP baada ya kuwa exposed na mazingira hatarishi ya maambukizi.
Kawaida nakunywa vidonge hivi mida ya saa nne usiku na leo nina siku ya 8 tangu nizianze.
Jana...
Sorry wakuu naulizaje eti kuna kipimo kinachopima Ukimwi kwa muda mfupi toka mtu atoke kufanya tendo la ndoa hatarishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Za Mchana Waatu Wa Mungu!
Naomba Nifupishe Swali Langu
Kinamama Hivi Nikweli Mwanamke Anaweza Beba Ujauzito Mwingine Baada Ya Kujifungua Ndani Ya Mwezi M1 Akikutana Na Mwanaume?
Samahan...
Hiki kipimo ni cha 2017 full blood picture
Na hiki cha chini ni cha 2019
Sasa naomba wataalam wa kufanya analysis ya vipimo hivi vya damu watoe ushauri kipi kiko kwenye hatar na nini...
Haya sasa wale Wanaume mliokuwa mnatucheka Sisi wenzenu tunaokula ' Viepe / Chips ' kuwa ni ' nyoro nyoro ' na kwamba nyie mnaokula ' Ugali / Nguna ' ndiyo ' Mashababi ' na mna Nguvu ni kwamba '...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.