Wakuu salaam,
Hili tatizo la kutoka vidonda mdomoni, lina miez sasa huwa natumiaga vitamin B12 huwa vinaondoka baada ya siku kadhaa vinarudi
Hasa vinatokea kwenye ulimi na lips, hadi kula...
"Nimeachana nae mwanaume gani ana mbegu nyepesi kama maji"
Aliniambia mke wake..
Mke alidai,, "aliwahi kuwa na mwanaume kijijini alikuwa anafanya nae mapenzi hata Masai mawili na mbegu zake za...
Kwanza naomba nitoe shukrani zangu kwa wana JF, hasa waliotoa maoni na hata waliopitia (waliosoma) taarifa niliyoitoa jana hapahapa ndani ya JF Doctor.
Nasikitika kutangaza kifo cha Bwana Mdogo...
Habari wapendwa naenda moja kwa moja kwenye nasumbuliwa na tatizo la nakuwa na hamu ya kula lakini nikiwekewa chakula mezani nakula kidogo na kutapika.
Nimeenda hospitali nikacheki malaria Sina...
Mdogo wangu anasumbuliwa na maradhi haya mnayoona kwenye picha tokea akiwa na umri wa miaka nane (8). Na sasa hivi ana umri wa miaka kumi na nne (14).
Huvimba ngozi yake mikononi na kutunga...
Tunaelewa kuwa moyo kazi yake ni ku pump damu safi kwenda sehemu zote za mwili na kupokea damu chafu na juu pump iende kwenye mapafu.
Moyo unaweza supply yake ya damu, mirija yake inaitwa...
Habari zenu mabibi na mabwana!
Mwenzangu alijifungua kwa njia ya operation, sasa kwenye stori za hapa na pale juu ya kuongeza watoto wengine, amekuja na hoja kwamba ukijifungua kwa operation na...
Natumai hamjambo.
Mke wangu ana hilo tatizo.
Na namna nilivyofatilia nahisi inatokana na maambukizo kwenye via vya uzazi.
Hospital Alishaenda akapewa dawa za gharama Kuw ni fungus sugu, Lkn...
Wanabodi kuna mtu anasema ,Tanzania imebarikiwa san kuwa na MTI HUU WA MVUNGE.
Pia anasema huu mti kwanzia mizizi ,Magamba, Majani mpaka matunda yake ni TIBA muhimu kabisa.
Kwa mwenye kuufahamu...
Wakuu kwema,
Suala lililonileta hapa ni kuhusu mama yangu ambae anasumbuliwa na magonjwa haya mawili KISUKARI NA PRESHA.
Mwezi huu alikwenda hospitali ikawa presha iko juu sana na ikabidi...
Salam ndugu.
Nina mzee wangu ambaye ana tatizo la tezi dume. Nahitaji kujua gharama za upasuaji kwa wanaofaham.
Ningependa kujiandaa kwani hali ya kifedha sio nzuri na hana bima.
Natanguliza...
Habari za majukumu ndugu zangu. Ni matumaini yangu mko bukheri kabisa.
Kama kichwa kinavojieleza nimekua nikisumbuliwa na hili tatizo nadhani ni tangu nilipojitambua.
Kuna kipindi nikitaka...
Nina mtoto ana miaka miwili na miezi minne jinsia ni wakiume,hawezi kuunga sentensi anaita mama,baba na anko tuu lakini,kwa mtoto wa jirani ambaye ana miaka 2 na miezi mitatu yeye anaweza...
Mtt wng anaumri wa miaka 3 na nusu, lkn alipofikisha miaka 2 alianza kusumbuliwa na tatizo la kupumua kwa shida, na kukoroma km mtu mzima ucku anapolala, na mby zaidi anatokwa na kamasi...
Mimi ni mume na nina mke na mtoto mmoja na ninaipenda sana familia yangu kupita maelezo nampenda mke wangu sana maana ameniletea mtoto mzuri na sasa ana umri wa miaka miwili mwenye afya tele.
Mke...
Ukimnyonya busu mwanamke akiwa amepaka Lipstick jiandae kuwa na tatizo la figo (disorder),Uvimbe kwenye mapafu na Tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo...
Please wapendwa naomba msaada maana naona nimefika mwisho, Sitaki kuja nikaingiwa na mawazo ya kijidhuru au kupata pressure. Moyo wangu una majeraha makubwa sana nipo kazini but natamani hata...
Aseeeh anaefahamu tiba ya vile vikitu kama kinyama iv kinaota sehem za siri za mwanaume hasa kwenye shina la uume niliambiwa ukikifunga uzi kina katika ila chaajabu baada ya muda kina ota tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.