Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Hello JF doctors, naombeni msaada kwa anayejua hospitali nzuri DSM ninayoweza kupata daktari mzuri wa sonona! Msaada wenu ni wa muhimu sana kuinusuru afya yangu. Asanteni.
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. Natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu yenu Ninasumbuliwa na maumivu ya macho ,na hii hali hutokea pale ambao nikitembea kipindi ambapo jua hua Kali...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanawake baadhi hawapendi kununua “pregnancy test” kwenye maduka ya dawa, wengine pia mara nyingine hawamudu kununua kipimo hicho, na wengine wanapenda tu kujihakikisha vipimo vyao hasa kwa...
1 Reactions
11 Replies
14K Views
Kwa wale wadada warembo au yeyote anayefahamu mafuta/lotion nzuri kwa uso wenye mafuta mengi anifahamishe
0 Reactions
16 Replies
30K Views
Nasumbuliwa na maumivu ya kichwa karibu mwezi wa pili, Maumivu hayo yanakwenda sambamba na maumivu yashingo pamoja na masikio kwa mbali muda mwengine. Nimejaribu kwenda kituo cha afya cha karibu...
0 Reactions
3 Replies
990 Views
wakati wa kutailiwa huwa wataalamu wanakikagua kile kitundu kama kipo katikati au upande upi. swali langu, side ya hicho kitundu inamaana gani kukaguliwa. wasiokielewa iangalie mashine yako utakiona
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau habari za kuamka... Me napenda kujua, ikiwa umefanya mapenzi na mtu afu mmojawapo akachubuka wakat wa tendo uwezekano wa kupata Ukimwi upo hapo ikiwa mmoja ameshaathirika?? Nazungumzia ikiwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tuangazie afya ya akina mama (dada ) zetu hawa. Leo nitazungumzia suala la kutokwa na damu kwa muda mrefu au kuingia hedhi inayodumu kwa muda mrefu sana. Kuna magonjwa yanayosababisha hilo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
LEO kwenye safu yetu ya tiba kwa chakula tutaona jinsi ya kutibu gesi nyingi tumboni tatizo ambalo uwakumba wengi, wapo wanaodhani kuwa na gesi tumboni ni sababu ya vidonda vya tumbo si kweli...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
MAAJABU YA ASALI YA NYUKI WADOGO KM HUYAJUI PITIA DAKIKA 2 Asali ya nyuki wadogo/wapole(stingless bees' honey) imekuwa ikitumiwa toka enzi za mababu zetu kama chakula na tiba kwa maradhi...
1 Reactions
0 Replies
20K Views
Habari wanajamvi? Jamani kwa wale ambao mara nyingi tumeumwa ama kuona ndugu au jamaa au marafiki wakiwa wamelazwa utaona wanatumia ile inaitwa "kanyula" ili drip iingie kwa mishipa.Au kama...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu, Nilikua naomba msaada wa kujua dawa zipi ambazo zinaweza kutibu minyoo ambayo tayari iko kwenye damu. Maana nilienda hospitali nikafanya kipimo cha full blood picture...
0 Reactions
46 Replies
23K Views
Saratani ya Matiti ni ugonjwa maarufu sana katika kuwapata Wanawake japokuwa unaweza kutokea kwa Wanaume ila ni nadra sana ikilinganishwa na Wanawake Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)...
4 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwaka 2016 nilipost thread ndefuu kuhusu madhara ya punyeto, na si Kama wengine wanavyoposti tu Bali Mimi no shuhuda rasmi wa tukio lenyewe. Kwanza sipendi kulizungumzia hili wala kuposti kwenye...
11 Reactions
153 Replies
32K Views
Hii card nimeikuta kwenye mkoba wa mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne, ni ya nini?
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu ni mwezi Sasa Kila siku ninakula karanga robo kilo ,nimejikuta naongezeka mindevu Kama Osama Je ni nn kipo kwenye karanga kinachopelekea ndevu kujaa?
4 Reactions
18 Replies
3K Views
wakuu poleni na majukumu nimeleta uzi huu nikiwa naimani wahusika wapo ambao wanatumia jf Wilaya ya chunya ni moja ya wilaya kongwe Sana apa nchini lakini chakushangaza hospitali yetu haifanyiwi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Nina mpenzi wangu ana mtoto wa miezi 11. Kuna shida imempata wakati wa hedhi yake kwani anatoka mabonge meusi ya damu halafu usiku tumbo linamuuma sana upande wa kushoto chini ya kitovu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeandikiwa muhimbili ,je gharama ya mapokez Bei gan Cna ndugu dar nitawezaje ku survive
0 Reactions
2 Replies
896 Views
Habari zenu wapendwa, Natumai mwaendelea vema na kurudumu la maisha haya!! Ila mimi kijana mwenzenu maradhi yameuteka mwili wangu. Historia ya ugonjwa wangu ulivyoanza. Nimekuja hapa mbele...
9 Reactions
76 Replies
18K Views
Back
Top Bottom