Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Dear wadau, Nina maumivu makali sana ya kichwa na usiku ndio yanaongezeka zaidi. Nimeshaonana na madaktar wa kawaida na specialist na kufanyiwa vipimo hadi MRI bila nafuu. Umri haionyeshi tatizo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana hivi ni kweli soda aina ya Coca-Cola inaweza kumsababishia binti asipate ujauzito pale tu atakapoitumia endapo atakuwa amekutana na mwanaume siku za heri za ujauzito?
1 Reactions
10 Replies
12K Views
Siku ya pili leo uume unadondosha usaha tatizo msaada wakuu.
0 Reactions
23 Replies
5K Views
habar wakuu naombeni mnishauri, tangia jana nmekula vitunguu swaumu vitatu na punje zaidi 40 kwamara moja, lakini masaa matatu baadae hapa kifuani nahisi kuna kitu kimekwama kama kinataka kutoka...
2 Reactions
41 Replies
14K Views
WATOTO 1000 wanaozaliwa kila siku nchini watatu wanazaliwa wakiwa na matatizo ya ulemavu wa kichwa kikubwa na mgongo wazi idadi ambayo imeelezwa kwa mwaka inafikia watoto 4800. Takwimu hizo...
3 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za wasaa huu ndugu zangu Nahitaji kufahamu kuhusu supplements za kugain weight maana niko underweight mno. Kutokana hali ngumu kiuchumi Kwa kweli kupata diet kamili yenye masotojo yote...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu, mbona kila siku zinavyozidi kwenda naona uume wangu unapungua ukubwa, kengele nazo vikokwa vya ndani kama vimejibonda bonda nakingine zaidi shahawa zangu sasa zimekuwa nyepesi kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwanini mwanamke wanaweza kuwa HIV bila kuwa na UKIMWI ? Je, umewahi kusikia mwanamke ana HIV positive ila mwanaume (mpenzi) hana maambukizi ya HIV ? Au mwanamke alipobeba mimba (ujauzito)...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
1)Kuana aina ngapi za dawa za kuongeza Uume? 2) Je hapa Tanzania zipo? kama ndiyo zinapatikana wapi? 3) Nini madhara yanayosababishwa na kutumia dawa za kuongeza Uume? 4) Kuna limitation ya kiumri...
3 Reactions
1K Replies
749K Views
Tatizo langu ni pale ninaposhikwa na haja ndogo, nikichelewa kidogo tu inatoka bila ruhusa yangu, na inajirudia hata nikitoka muda huo huo msalani narudi tena. Hapa unatoka (kidogo) kwa maumivu.
1 Reactions
2 Replies
819 Views
Juzi jumapili nilikwenda kupima HIV katika maabara moja hivi! Yule lab technician alinipima moja kwa moja kwa kutumia kipimo cha unigold!! Mimi nafahamu kuwa kwanza hutumika SD Bioline HIV 1/2...
2 Reactions
31 Replies
18K Views
Kama unatumia pre-natal hizo za kopo, kuna haja ya kutumia hizo Folic Acid ndogo hapo? Naombeni wazoefu mnijibu.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau naomba anayejua sayansi hii, ni lazima kila nikikojoa nijambe?
4 Reactions
80 Replies
16K Views
Wearing underwear to bed is bad for your health, according to a gynaecologist. Dr Alyssa Dweck said wearing pants in bed can increase the risk of infection. She told Shape magazine: “I often...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauliza ni umri gani mtoto mdogo anafaa kupewa maji ya kunywa?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Je ni kawaida mtoto akiwa anataka kunyonya kila wakati? Mwanangu ana mwezi mmoja tu lakini kasi yake ya kunyonya kila mara inatisha,je hii ni sahihi? Alafu kulala kwake ni mara chache mno Uzuri ni...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
TEXT NECK SYNDROME huambatana na 1. Maumivu ya misuli ya shingo 2. Maumivu ya kichwa 3. Maumivu ya bega 4. Ganzi sehemu za mikono endapo tatizo litapokuwa kubwa CHANZO CHAKE Mikao mibaya...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari waganguzi wetu kama kichwa cha chapisho kinavyosema, mimi ni kijana ninamke na ameshika mimba yake ya kwanza kwasasa mimba ina mwezi wa tatu na kila anachokula anatapika mpaka sasa anahisi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kuna mtu ambae ni HIV+ anaishi China, anatumia dawa za kitengo. Amekuja likizo Tanzania aliwafahamisha ndugu wa karibu tatizo lake. Wakati huo CD4 level zake zilikuwa kati ya 450-480. Ni bahati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Elimu kuhusu mama mjamzito wakati wa mimba hadi wakati wa kujifungua. Uliza swali lako madactari watatoa majibu. PV Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
9K Views
Back
Top Bottom