Tukiwa katika zama ambazo magonjwa ni mengi, kupokezana kilita kiafya imekaaje? Maana unakuta watu midomo ipauka na kukatika tunazungusha kilita bila tatizo.
Kiafya hapo vipi?
Habari wakuu, nina ndugu tangu ana shida eczema(pumu ya ngozi) naomba kujua wapi tutapata speciliast mzuri na bei zao maana hatuna bima.
napatikana Dar
Salam wanajamvi, moja moja kwenye hoja. Nina bwana mdogo ni HIV+ kwa sasa ana miezi 3 tangu aanze kutumia dawa za arv, kwa upande wa afya anaendelea poa sana, coz kabla hajaanza dawa alidrop...
Habari zenu!
Tafadhali naomba msaada wa ushauri. Nina ndugu yangu (wa kike - miaka 50) ambaye ni mwathirika wa UKIMWI (miaka kama minne sasa toka apime). Shida ni kuwa huwa hataki kunywa dawa...
Habari
Kuna haya matatizo mawili ambayo hayajazungumziwa sana na mimi ningeomba kueleweshwa au shuhuda mbalimbali za namna ya kupona maana haya matatizo ya aina hii yanaonekana kusumbua watu...
Habari wana JF,siku za nyuma nishawahi kuandika hapa uzi unaohusiana na tatizo langu la kutokushika mimba mbali na kuwa sijawahi kutumia dawa yoyote ya uzazi wa mpango nimehangaika kwa...
Wakuu habari ya siku,naombeni maana nimekuja kwenye jukwaa mahususi,niende moja kwa moja kujieleza,mim(Me)ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno hasa wakat wa kuamka(muda wowote ktk maana ya nikilala...
Habari wakuu,
Naomba anayefahamu zinakopatikana dawa za anxiety disorders anisaidie.
Ninasumbuliwa na tatizo la bipolar disorder na anxiety, linanifanya nakuwa na hasira sana hata kwa vitu...
Mungu ameumba miti na mimea kwa ajili ya binadamu.Kila mti au mmea una makusudio yake.
Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi,vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika...
Nina ndugu yangu anaishi mkoa Tanga wilaya ya Mkinga ameumwa na Paka tumetafuta dawa hadi Hospitali ya Bombo hatujapata, tukaambiwa tujaribu Hospitali ya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam...
Wasalaam Wapendwa..
Naamini niko kwenye jukwaa sahihi..
Niko kwenye ndoa changa..Tangu tufunge ndoa na my lovely wife hatujawahi kuenjoy tendo la ndoa..She's a virgin..And every time when i try...
Mi msichana miaka 25 nasumbuliwa na maumivu kwenye titi la kulia linauma nikilibonyeza upande wa kulia na nikilalia nahic ugumu flani hiv wa chuchu tofauti na jingine laweza kua tatizo gani mana...
Wapendwa habari zenu poleni na majukumu ya kila siku,nimekuja mbele zenu nina tatizo naomba ufafanunuzi na ushauri.
Nina mpenzi wangu amepata tatizo ghafla na sasa ni takribani miezi tisa sasa...
Asalam wanataaluma
nina pata maumivu makali ya misuli ya sehemu za mwili zifuatazo
i> mikono- mikono inauma hata nashindwa kunyanyua ndoo ya maji kidume mwenye ndevu zangu. kwa mfano nikirusha...
Habarini wakuu, Nina mdogo wangu kachaguliwa diploma in Clinical medicine sasa tunahitaji tufahamu duka linalouza vifaa vilivyohorodheshwa kwa upande sijui hayo maduka yako wapi. Naomba msaada wenu
Habarini!!
@Jf Doctor
Naomba msaada wa ushauri kabla sijaenda hospital kwa ajili ya vipimo na kumuona daktari..
Nipo Dar Es Salaam mwaka wa 7 sasa, nimekuwa nikipata hili tatizo, kila...
naomba ushauri wana jf, katika familia yangu tumejaaliwa kupata mtoto wiki tatu zilizopita. ila mtoto tumbo linajaa gesi na mtoto anasumbua sana usiku wote. naomba ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.