Samahani ndugu zangu, kuna hili swala linanichanganya sana.
Mimi nimekuwa na kawaida ya kufanya mapenzi mara kadhaa kama ilivyo kawaida ya mwanaume, lazima upizi ili tendo ulifurahie.
Tatizo...
Habari za majukumu wakuu bila shaka mko poa
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu
Sisi Wanaume tunakutana Na changamoto kubwa sana hasa ktk kuwaridhisha wapenzi wetu
Kama tatizo hilo unalo ndugu...
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda...
Habar zenu wataalamu kwa tatizo linalomsumbua mtu kama huyu . la kuongeza mbegu za kiume na ubora wake . je afanyaje kutibu ila alikuwa ni mtu wa kupiga nyeto sana kila siku hata 4 kwa siku...
Kama kichwa cha habari kinaposema hapo juu nimekuwa nikipinga punyeto huu ni mwaka wa 11 sasa kwa kweli siyo kwamba nilikuwa napiga punyeto nilikosa wanawake hapana nilikuwa na mademu wengi tu ila...
Nasumbuliwa na kiuno kinakua kinakaza ata nikikaa nikija kuamka nikianza kutmbea naskia maumivu ! nikaenda kupima nika ambiwa nina uti ya 25 ndo first time kuugua uti nimepewa dawa ila naona akuna...
Naomba wale wote ambao wamewahi kutumia madawa na mizizi ya kimasai na hawa waganga wa kienyeji wasioisha ili kuongeza urefu na unene wa pampu pamoja na perfomance ya kitandani waje hapa jukwaani...
Swali langu ni hilo,tunasikia mengi mitaani,Mara fulani alikufa kwa sababu alinaniii na nanii,Mara mara fulani kavimba mapu... kwasasa kananii na Mwanamke ambaye ameporomosha mimba,wataalam...
Nahitaji Kujua Dawa Zitakazo nisaidia Kutibu haya Magonjwa niliyonayo Nimeenda Hospitali Kupima Nikakutwa wadudu wa H pylori,Typhoid Vile nina Kikohozi Baada ya Hapo Daktari Ameniandikia...
Jaman naomben msaada! mwanangu ana wiki mbili ananyonya kwa shida kisa mke wangu mziwa hayatoki inavyotakiwa! ni nini sababu? na tufanyaje ili kutibu tatizo?
Habari za kutwa wadau wote wa jf.
leo asubuhi nimeamka nikajikuta na ujasiri wa kutoka home na kwenda zahanati kupima ukimwi lakini nilienda kwa staili ya kucheki magonjwa baadhi ya damu lakini...
Wataalaam naomben mnielekeze dawa ya KIENYEJI ya UTI SUGU Coz nmetumia kila aina ya madawa ya hospitalin lkn sion mabadiliko
Huu ni mwaka Wa tatu inanitesaga tu
Wanasema "sharing is caring" so, nkaona kuna umuhimu wa kushare hili.
Leo tutaangalia dawa ambazo jamii yetu hupenda
sana kuzitumia lakini bahati mbaya baadhi ya
dawa hizo hazitakiwi kupewa kwa...
Habari wana jf!Kama title ilivyo,yaani nikinywa kinywaji chochote cha barid napata maumivu makali sana katika jino langu la mbele juu.Tatizo litakua ni nini?
JF Dr. Naomba mnisaidie hili,
Mume wangu alianza kusikia maumivu kwenye kichwa cha uume anapokojoa baada ya siku kama nne maumivu yaliendelea kupanda juu, baada ya siku kama tatu maumivu yalikoma...
Mimi na mke wangu tumebahatika kupata watoto wawili, wa kwanza 10 April, 2015, wapili 02 Feb,2019. Mtoto wa kwanza alizaliwa na 3.74 kg na wapili amezaliwa na 4.1kg. Tangu amejifungua tu mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.