Habarini wahenga wenzangu na msio wahenga pia. Leo nauliza ni vyakula gani hasa na vinywaji ambavyo mtu anayefanya mazoezi anashauriwa kuvitumia? Naombeni majibu kwa anayefahamu
1.anahisi mwili wa baridi sana lwa ndani hadi anaumia..anakosa nguvu mwili unalegea.
hali anayojiskua analia kama mtoto mdogo
2.anahisi hofu ya kufakufa mda wote.analia.usiku anaogopa hata...
Wakuu Salaam!
Mimi sio Daktari, but Nahitaji kujua vifaa tiba vya muhimu sana kwa kuanzisha Maabara ya Dispensari hasa maeneo ya Vijijini.Kuna kijiji kimoja nimeona wanateseka sana kwa huduma za...
Habarin wadau? NI Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu...! Nianze na kusema kumekuwa na matangazo mengi mitandaoni ya madawa ya kuongeza ukubwa wa maumbile na nguvu pia mtandaoni! Wengine...
Hili limekuwa linanitatuza sana yaani mda mwingi nakuwa natoa harufu mbaya hata nikienda choo kikubwa , kushindwa kwenda haja kubwa kwa kawaida mpaka kuladhimisha
wakuuu...
Madaktari na Wauguzi naomba mnipe elimu juu ya huu ugonjwa wa presha ya macho,
na je inatokana na nini hiyo presha na jinsi ya kujilinda nayo ni vipi?
Mama yangu kaambiwa jicho lake moja presha...
In this thread I’m going to take on a very controversial topic. And I will gladly like to read what you guys think.
No insults. No tantrums. Just a healthy intellectual discussion on a global...
Habar zenu humu ndan? Nlikuwa natani kufahamu uhusiano uliopo kati ya HIV na TB sababu vinakuwa vipo sambamba sana.
Utakuta mtu mwenye TB anaambiwa unauwezekano mkubwa wa kupata HIV sasa upi...
Habari wakuu,ninataka kujua upi ni umri sahihi wa mtoto kuota meno, nasikia habari kuhusu natal na neonatal teeth ila sizielewi vizuri mwanangu ana umri wa miezi miwili na nusu na ameshaanza kuota...
Kichwa cha habari chajieleza.
Nimeikuta mahali hii,
Kuna jamaa mwembamba na hajawahi kuwa na mwili japo ana hela na kila kitu. Sasa wanamshambulia eti hanenepi kisa anahusudu sana papuchi.
Je...
In the first study of its kind, academics managed to compare the known dangers of smoking to that of drinking too much.
They found the 'cigarette equivalent' of one bottle of wine – roughly 10...
Mimi ndimi comrade.
Hii mbanga imekaaje waseeee?
Eeebbaaanaae! Mimi sielewi hii hali inaletwa na nini, yani wakati wa mbungi napiga sana shoo lakini unaweza kuta natumia dakika 45 mpaka lisaa...
Ni hivi juzi nilienda hospital kwa dhumuni la kujua afya yangu.
Ajabu nilivyochukuliwa damu tayari kwa kipimo nesi yule alichukua muda mrefu kunipatia majibu hali iliyopelekea kuingiwa na hofu...
Imefikia hatua nawaogopa sana mabinti warefu na wale wenye maumbo makubwa kwa dhana kuwa nitaumbuka lakini nimegundua hata hawa wafupi habari yao si haba.
Baada ya tendo, wengi wameonesha...