Habarini ndugu zangu wana JF, nimekua nashea posti mbalimbali humu nami nikaona siyo mbaya leo kuandika yangu kwa Mara ya kwanza, kama kichwa cha habari kinavyosomeka, madhara ni mengi ya kutumia...
Kumekua na deaturi ya watu wengi kukinga maji ya mvua pindi mvua inyeshapo, na kufanya kama maji ya kunywa bila kuzingatia usalama wowote wala tahadahari. Mfano labda kuchemsha au kuweka dawa ya...
Naomba msaada kwani Mimi nasumbuliwa namaumivu ya kiuno mpaka chini ya tako kuelekea kwenye mguu tatizo huwa nini na matibabu yake dawa gani naweza kutumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini doctors now days wako na aibu sana. Unaweza enda hospital ukamwelezea labda nina kipele sehem za siri.
Lakini swali atakalo kuuliza ni kimeanza lini then kina usaha au hakina...
Naomba kujua je huu ni ugonjwa kwa mwanamke kutokupenda kufanya tendo la ndoa? je pia ni ugonjwa kutokusikia raha ya tendo la ndoa kwa mwanamke?
kuna matibabu ya matatizo hayo?
Angalizo mimi ni...
wanaJF naomba msaada nimetokewa na kiuvimbe kwenye kope ya jicho hakina maumivu ila kinanikera sielewi hichi kitu ni nini na kimesababishwa na nini.
shukrani.
Habari wana jamvi naamini hapa ni kisiwa cha maarifa naomba msaada
Nina mtoto ana miezi mitatu na Sikh u ila anashitukashituka akilala wakati mwingine analia sana je tatizo ni nini naombeni msaada...
Umesikia mara nyingi kuwa kunywa maji kwa wingi hasa asubuhi kuna faida kubwa sana za kiafya mwilini,lakini kunywa maji yenye ndimu na vuguvugu kuna faida maradufu na ni rahisi kufanya kila siku...
Wana jf nasumbuliwa na mawe kwenye figo,naomba mwenye uelewa anipatie msaada namna gani nitajitibu.nimeenda hospitali moja hapa jijini mwanza walinipa vidonge nimetumia kwa siku 45 kuwa ingeweza...
Message…Wapendwa nauliza ugonjwa wa kisukari unaweza kusababisha kushuka kwa kinga ya mwili?
Kufahamu kuhusu kisukari soma Vidonda Vya Kisukari: Fahamu Chanzo, Athari, Tiba na Kinga
Natafakari, hivi aliyetengeneza Chloroquine alikuwa anawaza nini hasa ile harufu bado naisikia dawa ile ili upone ni lazima ukimaliza dosage utapike ndipo upate nafuu.
Mara ya mwisho kutumia...
Habari wana JF.
Mzee wangu ameamka sauti haitoki, hawezi kuzungumza, ilianza kupotea taratibu tangu juzi, lakini leo asubuhil imekauka kabisa. Hana maumivu yoyote kooni wala sehemu nyingine...
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje...
Habari zenu wakuu
Nahitaji psychological treatment ila sijui pa kuipata.Mimi naishi dar
Kama kuna mtu anaeza nisaidia kunielekeza sehem/MTU napoeza pata hyo kitu naomba anielekeze au kama unaeza...
Hiv kwa wale wanawake wanaoingia period yaan mzunguko mrefu kipind cha cha siku 35 siku za hatar zinakuaga sawa na Kwenye mzunguko mfupi au wa kawaida?
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam ndg zangu na heri ya mwaka mpya. Nimekua napata maumivu mwilini ambayo sielewi sababu yake. Hasa misuli iliyopo nyuma ya bega au niseme sehemu ya juu ya mgongo inayounganisha mabega na...
Wana JF Doctor,
Nimekuwa na maumivu ya mgongo kwa muda mrefu na nimetumia dawa za maumivu bila mafanikio kwani hali hurejea kama awali baada tu ya kumaliza dawa.
maumivu ya mgongo katikati na...
Mm ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2018 ,, results phy_c bios_c and chem_c math_d ,, nilikuw naomba kujua ada za iyo course ya clinical medicine na mda wake kwa ngaz ya diploma
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.