Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu JamiiForums Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso. Mwaka 2009...
3 Reactions
36 Replies
994 Views
Wadau nina shida na dawa moja lakini nimetafuta kwa hapa Tanzania haipo nataka kuagiza India naomba mwenye connection ya huko anisaidie au kama kuna mtu huwa anaagiza vitu huko anisaidie...
3 Reactions
11 Replies
526 Views
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu...
22 Reactions
84 Replies
2K Views
Naomba mwenye hints za maswali yanayoulizwa kwa KADA ya afya upande kwa CO (CLINICAL OFFICER)
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Habari wakuu msaada wenu tafdhali, Nimekuwa na tatizo la thyroids miez 7 sasa niko katika dozi. Hali imepekea kupungua sana kwa nguvu za kiume yaani shemeji yenu nikimuandaa hali uume...
5 Reactions
137 Replies
8K Views
Inaelezwa kuwa karibu watu wote wanaugua Surua na Tetekuwanga kwa nyakati tofauti katika ukuaji wao. Mara kadhaa nimeshuhudia wazazi wengi wakiwatibu watoto wao kwa dawa za Asili wakieleza kuwa...
2 Reactions
39 Replies
796 Views
Naombeni watalaamu wa Afya mnisaidie kunipa majibu ya Uterine prolapse kwa kiswahili.
3 Reactions
16 Replies
596 Views
Kutokana na mtindo wa maisha niliokua nao (ulevi) nilijikuta kwenye hatari ya kupata maambukizi ya VVU mara nne baada ya kufanya ngono zembe au kupata ajali ya kinga kupasuka etc. Kila baada ya...
2 Reactions
45 Replies
1K Views
Natumaini Jumapili ya Leo ni njema kwenu nyote ndugu, ni jambo la kushukuru. Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni mpenzi wa muziki sana, napenda kusikiliza na kutengeneza muziki. Sometimes...
2 Reactions
37 Replies
11K Views
1. Kusaidia Kutoa Gesi na kinyesi: Kujamba husaidia kutoa gesi na kinyesi ambazo mwili umekusanya, na hivyo kusaidia kuzuia matatizo kama vile uchungu au kuhisi kukojoa mara kwa mara. 2. Kusaidia...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuelewa kwa yeyote anayejua au kushudia matibabu ya Tezi dume bila upasuaji na mgongwa kupona kabisa na hayo matibabu yanapatikana wapi? Nitafurahi zaidi...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Katika sekta ya afya kuna mtaalamu Professor Janabi, ambae mara nyingi anaponda ulaji wa misosi ya kawaida lakini hadikiki akikemea dhidi ya bidhaa hafifu ama bidhaa haribifu kwa afya ama kutoa...
2 Reactions
2 Replies
177 Views
Ni mafuta yapi bora na yasiyo na madhala hieza kutumika wakat wa tend ikiwa na kinga ili usimletee mwenzio michubuko
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna hii hali masikio kupiga kelele kama vile kengele, muungurumo, etc Inaweeza kuambatana na masiko kuuma, pressure masikioni, kichwa kuumwa, etc. Kama uliwahi kupatwa na hili janga ukapona...
0 Reactions
12 Replies
376 Views
Habari zenu wakuu.. Kama kichwa kinavojieleza, kisayansi na kibaiolojia virusi wanasifa ya non living pale wanapokuwa nje ya seli ya kiumbe mwingine(host) na wanaweza kukaa muda mrefu bila kuwa...
10 Reactions
76 Replies
9K Views
Nipeni mawazo na msaada wenu, Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba. Tatizo ni nini wanajamii
2 Reactions
40 Replies
10K Views
Tarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini. Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative...
13 Reactions
82 Replies
4K Views
Wazee wa kuzingatia "Angle" uzi huu unawahusu. Serikali yetu kupitia wizara ya afya imekua ikitumia jitihada kubwa sana katika kuhakikisha maambukizi ya VVU yanapungua nchini. Moja ya jitihada...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium,chuma bt hata vitasa vya gari au gari yenyewe, hali hii hunitokea mara moja...
4 Reactions
47 Replies
16K Views
Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia. Vipele vipo kwapani na miguu Karibuni wakuu.
1 Reactions
3 Replies
208 Views
Back
Top Bottom