Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Salaam Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari. Msaada, asanteni
1 Reactions
47 Replies
1K Views
Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni? Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
6 Reactions
83 Replies
4K Views
Kimsingi kulia ni jambo linalofungamanishwa na HISIA. Na mara zote si LAZIMA iwe ni huzuni tu hata katika Furaha ya dhati huwa tunatokwa na machozi. Na hii utaiona Kwa wanyama wote kwani wao pia...
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Wakuu poleni na Majukumu na tuendelee kupambana, nimekuja kwenu kijana wenu nipate msaada wa changamoto inayonisibu kwa sasa. Nmeugua vidonda vya tumbo tangu mwaka jana nligundulika baada ya...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Sitaki maelezo, ufafanuzi wala ushauri nasaha. Nahitaji moja kati ya majibu haya mawili; 1. Sipati 2. Napata Okay?
3 Reactions
18 Replies
565 Views
Habari wana JamiiForums. Nimekuja mbele yenu kuzungumza na wale wenye tatizo la tumbo kuunguruma, Mimi ni moja wenu na tatizo hili limenisumbua kwa muda sasa lakini hivi karibuni nimepata nafuu...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Masturbation ina faida kadhaa kwa afya na ustawi wa mtu binafsi, lakini ni jambo la binafsi na inaweza kuwa na athari chanya na hasi pia. Kwa hivyo ni vyema kutambua faida zake na kuishi katika...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Madaktari wa jamii forum na wengine wenye uelewa wa maswala ya afya kwa ujumla wake. Kuna mtoto wa ndugu yangu ana huu ugonjwa wa sicle cell unamsumbua sana kila baada ya muda anarudi hospital...
6 Reactions
6 Replies
338 Views
Habarini wapendwa, naombeni msaada wenu, kipindi cha nyuma mimi niliwahi kusumbuliwa na tatizo la umeng'enyaji chakula, nilikuwa najisaidia choo kigumu sana, nikaambiwa na doctor kuwa nina tatizo...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Habari wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada. Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina...
5 Reactions
62 Replies
2K Views
SABABU ZA MWANAUME KUKOSA MBEGU ZA UZAZI TATIZO la mwanaume kukosa mbegu za uzazi kitaalam huitwa ‘azoospermia’ au ‘medical condition’. Ni tatizo linaloathiri wanaume wa rika tofauti. Katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Nahitaji kumnunulia kijana mmoja neck support (nimeattach picha). Alipata ajari sasa shingo ameambiwa na madr inatakiwa apate neck support na kwao hawako ok at the moment...
1 Reactions
4 Replies
214 Views
Fenesi: Ulijua kuwa tunda hili linaweza kutibu aina tatu ya saratani na maradhi ya moyo? Fenesi au kwa jina la kisayansi (Artocarpus heterophyllus) ni tunda la kitropiki ambalo hukua Asia, Afrika...
1 Reactions
1 Replies
526 Views
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, Shalom. Bismillah rahman rahim. Kitani hutibu magonjwa haya; -Uvimbe wa tumbo la chakula, -Kujaa Gesi Tumboni, -Vidonda vya tumbo, -Maambukizi kwenye...
0 Reactions
0 Replies
474 Views
Wakuu nasumbuliwa na korodani lakin kila nikienda hospital hawaonj. Wanaishia kupiga ultra sound na kunipa ant pain. Lqkin mm naamini ugonjwa upo maana tqtzo lilianzaga na UTI. baadae ikafika kwa...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Ni 23 yrs natarajia kuanza kutafuta mtoto lkn nimekuwa Kuna hisia zinanifanya nipate wasiwasi juu ya kiumbe nitakaemleta duniani..swali je can the ugly parents have beautiful babies?..sikuamini...
8 Reactions
23 Replies
609 Views
Ni zaidi ya Miaka 10 sasa naona hizi Product zao lakini nimekuwa naogopa sana kuzitumia. Naomba ushuhuda kwa mliowahi kuzitumia kama ziliwasaidia? Na Je zimethibitishwa na Mamlaka husika?
2 Reactions
56 Replies
1K Views
Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Wakuu nina passion na mazoezi.
4 Reactions
66 Replies
1K Views
Habari JF Doctor na wana jamii wote. Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini...
2 Reactions
661 Replies
382K Views
Back
Top Bottom