Wadau wa jf Dr Niko Arusha nahitaji kufanya vipimo vya tumbo nauliza hospital ya Mount meru iko vizuri kwa vipimo hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF siku tano zilizopita kuna kitu kilinichekesha sana nilicheka mno adi nikahisi nguvu zimeniishia baadae nikaanza kuhisi kama chembe inaniuma upande wa kulia ndani ya kifua changu...
Mtoto wngu anadoa usoni chini yajicho"na ameshatumia dawa kadhaa zatyub navidoge lakini doa bado alijaisha wala kupungua'nalinazidi kukua kidogo kidogo' kwahiyo kwa anayejua dawa yakulimaliza doa...
Wakuu..
Poleni na kazi..
Samahani sana kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu ninepata ajali ambayo imepelekea kutoa meno 2 ya mbili kulia na kushoto wanayaita chonge nazani kila upande..
Sasa...
Habarini ndugu zangu!
Nina tabia ya kunyonya matiti wakati wa kujaminiana tena hupenda kuzing'ata ng'ata chuchu hivii kwa mtindo wa kumtekenya mwenzi wangu wakati wa kumuandaa. Japokua niko...
Mtoto wngu anadoa usoni chini yajicho"na ameshatumia dawa kadhaa zatyub navidoge lkn doa bado alijaisha wala kupungua'nalinazidi kukua kidogo kidogo'Kwahyo kwa anayejua dawa yakulimaliza doa hili...
wana JF mi ninasumbuliwa na tatitzo la vidonda vya tumbo, naomba mwenye kujua suluhisho la hili tatizo kitabibu zaidi anipe msaada wake maana nateseka sana
Habari za weekend..
Niende kwenye mada direct, swali langu linaenda moja kwa moja kwa wale wanawake wenye jinsia mbili, wengi wao watu hawa wenye jinsia mbili unawezakuta jinsia moja haifanyikazi...
Wakuu, msaada wenu tafadhali,
Ikipita wiki bila kumfanya mwanamke kichwa kinaniuma sana, nateseka sana.
Yaani nimekuwa na kibarua cha kutafuta Malaya kila wiki wa kuwafanya kama demu wangu...
kansa ya korodani huchangia kwa asilimia moja ya kansa zote zinazoathiri wanaume
kuna dalili chache sana mpaka kansa inapofikia kiwango kikubwa, ndio inaypfanya utambuzi mapema uwe muhimu.
" lance...
Wakuu habari zenu
Ni siku mbili sasa tangu tatizo hilo linipate nimekosa laha kabisa. Awali ya yote juzi kabla ya kukumbwa na maswaibu hayo nilikutana na rafiki yangu wa kike(girl friend wangu)...
JE, UNA MIAKA 40 AU ZAIDI? ZINGATIA HAYA KWA AFYA YAKO
Hongera, miaka 40 na kuendelea si mchezo! Kadri miaka inavyokwenda utakuwa unapata mabadiliko
katika mwili wako na hata kisaikolojia...
Baada ya kusoma comment zenu zenye kunithamini na wengine kunipa R.I.P basi nami nikaona bora nianze kuchunguza hapa kwake huyu jimama langu. Mzigo ndio huu nimeuona kwa maeneo yake ya SIRI ambayo...
Nilijifungua mtoto alifia tumboni ila tangia nimemaliza 40 niliona siku zangu ila mwezi huu sijaona je, mzunguko haujakaa vizuri au? Naombeni mniambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mda huu wanajamvi
Napenda kuuliza ni kwango gani cha maji kinahitajika katika mwili wa binadamu? Kumekua na info kwamba mtu mzima anywe maji yasiyopungua 3ltrs per day(hii ikiwa ni maji...
Kwenye salun nyingi siku hizi kuna hii huduma ya scrab. Tukiangalia kwa upande wa afya mara nyingi mtu akitoka kunyoa especially ndevu kunakuwa na vijimichubuko flani, baada ya kunyoa akienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.