Habari wanajukwaa, karibuni tuelimishane juu ya mtindo wa maisha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza.
Utangulizi
Kwa mujibu wa shirika la Afya duniani (WHO), mitindo ya maisha isiyo bora ndio chanzo...
Habari za Leo wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu,Nina mpenzi wangu ambaye ana ujauzito wa miezi mitano kwa sasa , ila usiku akilala Maziwa huwa yanatoka wakati mwingine hata akiwa...
katika kutembea njiani mara kumbukumbu zikapotea nikahisi kama sio mimi huyu, kama vile nimekuwa mtu mwingine na kumbukumbu zikanitoa kwenye uhalisia kuwa nimekua mtu mwingine na niliwaza mambo...
JIHADHARI NA NENDA HOSPITALI UKAPIME UKIONA MSTARI MWEUSI KWENYE KUCHA ZAKO.
Ni vizuri mara uonapo mabadiliko yeyote yasiyokuwa ya kawaida katika mwili wako, kwenda kwa daktari na kufanya...
Habari zenu wapendwa?
Napenda kuwashukuru wana JF wote kwa ushirikiano wenu na upendo wenu wa dhati kwangu. Mwaka Jana mwezi wa 12 nilileta uzi wangu nikiomba ushauri juu ya HIV.
Ilikuwa ni...
Wadau najua humu kuna wataalam wa kila aina. Je faida ya nyanya chungu kiafya ni zipi, nimetokea kuwa mpenzi sana wa nyanya chungu (zile chungu kabisa) napenda kujua kama zina faida yoyote kiafya...
Wana jf, naamini siku zote ninyi huwa ni msaada mkubwa kwangu, kupitia jukwaa hili nimewasaidia baadhi ya wana jukwaa na ninyi pia nimesha wahi pata msaada wa maelekezo toka kwenu kwa ambayo kwayo...
Nimefuatilia mijadala ya hii kinga iliyozinduliwa juzi sasa sijaelewa je wale ambao wanaishi na virus vya h. I. V je wao watajisikiaje na je kuna dawa imepatikana juu yao au laa?
Kwa kipindi kirefu sana tangu nipo shule ya secondary nilishawahi kukumbwa na tatizo kama hili maranyingi sana najua na wewe unaesoma huu Uzi nadhani umeshawahi kupatwa na tatizo kama hili yaani...
Habari wakuu nimekuwa nikititimia dawa za antibiotics takribani miaka miwili sasa lakin hivi karibuni naona zinaniletea madhara nataka kuacha kutumia kwan naona hari si shwari. Hivi karibuni...
Wataalamu naomba kujuzwa ni muda gani baada ya mwanamke kupata ujauzito huanza kuona mabadiliko ya nje kama vile kutema tema mate, kubagua vyakula n.k. na inawezekana dalili hizi zikaanza kutokea...
Wakuu naombeni msaada wa jinsi ya kutumia hii dawa ya CIPLO kwa ajili ya typhoid.
Nimemtuma mtoto duka la madawa,kaleta imeandikwa 1×2 sasa apa sielewi ninameza vipi
Mchumba wangu ana ujauzito ndo upo kwenye trimester ya kwanza ila amekuwa analalamika kupatwa na hizi shida
- Tumbo kuwaka moto
- Vichomi
- Mdomo unakuwa mchungu
- Halafu analalamika kichwa pia...
USIACHE KUSOMA UJUMBE HUU UNAWEZA UKAKUSAIDIA USIUPUUZE
****************************************************
Tafadhali mjulishe mkeo kuhusiana na hili, , Hii ni tahdhari muhimu kutoka wataalamu...
Habari naomba mwenyekujua anisaidie ni kweli herbal slimming tea inasaidia kupunguza uzito? aliye wahi kutumia ama alieshuhudia mtu natumia na kapungua anisaidie nahitaji kupunguza.
Habari Wakuu?
Mimi naomba watalaam haswa kama ni Dr uniambie vidonge navyoweza kumeza ili niweze kuongeza testosterone. Naomba nijue vidonge vizuri ambavyo vinapatikana maduka ya dawa hapa...
Wana JF, heshima kwenu wote,
Imekuwa 'fashion' siku hizi kuona watu wengi kupenda kula nyama iliyosindikwa haswa kwa wale ambao wana kipato kinono au hali yao kiuchumi haijayumba.
Nyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.