habari wana jf:
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni...
Wakuu habari,
Naomba msaada,
Kuna dada yangu amejifungua wiki iliyopita
lakini mtoto mguu wake umepinda ya kwamba pindi akianza kutembea atakuwa anakanyagia kwenye kifundo kwa pembeni.
Naomba...
Habari wana JF,
Kulikuwa kuna post moja juu ya habari za mwanamke kufanya mapenzi na maiti kisha kupata mimba iliyopostiwa na JamiiForums nami nikawa na maswali mengi nikaona nilete hoja mbele...
Doctor, if you can help, I am experiencing severe itching down my testicles. kwa kweli nimepata tiba waapi, pharmacy nimepewa tube nipake waaapi. Kama ni kufuli nabadilisha kila siku moja...
Habari za muda huu wana ndugu, kama kichwa kinavyojieleza nina mtoto wa mwezi moja na wiki kama tatu sasa kitovu chake kimejaa hewa yaani ukikibonyeza unasikia sauti kabisa kwamba ndani kuna hewa...
HABAR WANAJF
Ninasumbuliwa sana na mafua ila kila ikifika usiku nakohoa sana yaan inakua tabu
yaani hii inanitokea usiku siku ya tatu hii
msaada tafadhali
Nasumbuliwa na mafua kila ninapoamka kila siku. Lakini ikifikia mda wa mchana au jioni yanapotea. Nikiamka siku ya pili tena vilelevile.
Naomba ushauri. Tatizo ni nini hasa, na suluhisho lake.
Naomba msaada juu ya hili tatizo la wale Dada zetu waliotoboa masikio lakini wakaota nyama kwenye masikio yao. Je kwa operation, hizo nyama zinaweza kupotea moja kwa moja?. Kuna dada mmoja...
Habari zenu wadau,
Nimeona niwashirikishe hili ndani ya wiki hii nzima takribani nimekumbwa na tatizo la miguu na leo imeanza bega kuuma sana.
Mpaka swala la movement linapungua.Kama kuna yeyote...
Madaktari wa humu ndani poleni kwa kazi kubwa ya kutuelimisha sisi.
Ninaomba kufahamu ninamtoto mmoja ambaye inasemekana bega lake lina tatizo kwa ndani sasa madaktari wanashauri afanyiwe x-ray...
Kuna njia ya kutumia brace ili kupanga meno vizuri mdomon , Kwa wale ambao mlishatumia hii njia mtupe uzoefu na ushauri kama kuna hasara zipi, ni mda gan ulivaa brace, ni wapi hapa Tz huduma hii...
Wanajanvi naombeni kupata ukweli halisi kuhusu hizi mbegu za kiume na kike X and Y, wataalam wanatuambia kuwa mwanaume huyo mbegu X na Y na mwanamke hutoa Mbegu sina ya X pekee, sasa napenda kujua...
Katika kuhabarishana kinachoendelea kuhusu HIV ni kuwa wenzetu katika nchi zilizoendelea wameanzisha utaratibu wa kuwapa raia home test kit ili wa kipimo wenyewe nyumbani.
Kit inakuja na maelezo...
Habari zenu wana JF siku hizi nimekua kama nina katatizo kamenianza sijui ni tatizo au uginjwa yaani nikiwa naongea na msichana nikitoka baada ya muda natokwa na ute wa shahawa na muda mwingine...
Vipo vitu vingi sana ambavyo mwanaume anatakiwa kutumia au kufanya ili kuongeza mbegu unaweza kusema namna bora ya kustawisha mbegu za manaume ili ziwe na rutuba nzuri. Miongoni mwa vitu hivyo ni...
Nchi jirani wetu wote wana matatizo na ni threats kwa afya za watu wetu.
Kuna Congo, Burundi na Uganda zote hizi haipiti muda utasikia magonjwa yamezuka na ndo hapo tunapoanza kuhaa na kuzuia na...
Wakuu hili jambo limenishtua kidogo maana rafiki yangu kamsafirisha mumewe kwenda nje ya nchi kufanya huo upasuaji. Sitaki kuzungumzia kilichopelekea kuchukua uamuzi huo, hofu yangu ambayo nataka...
Yapata mwezi mmoja sasa nawashwa koo na kukohowa isivyo kawaida baada ya kuingia chumvini.
Siku chache baada ya kuingia chumvini kwa binti mmoja alinitaarifu kuuwa alienda kupima afya na kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.