Uhali gani?
Hili swali nimeuliza na dogo hapa nimeshindwa kumjibu zaidi ya kuguna tu. nimeona nilete kwa madaktari wa jf huenda wakawa wanajua kisayansi kazi ya hizi manyonyo kwa wanaume ni nini...
Wadau naombeni msaada wenu jamani....
Mimi nasumbuliwa na maumivu mbavuni na muda mwingine naskia kama mfano wa kupeuwa ndani kwa ndani upande wa kushoto na maumivu kwenye kitovu na kichomi...
Habari zenu wadau,
Naomba mnisaidie. Nimewahi kusikia kuwa kuna uwezekano wa kuweka meno ya bandia yakawekewa vyuma yanakuwa siyo ya kutoka tena na ni imara. Naombeni mnijuze, Je hicho kitu ni...
Jamani kuna mtu wakati naongea naye amenishtua kidogo pale aliponambia kwamba; anashangaa kila akimaliza kula anahisi kama hajashiba. Kiukweli binafsi sijawahi kusikia kitu cha aina hiyo, sasa...
Jamani, yapata siku 5 nasumbuliwa na maumivu ya ufidhi wa chini upande wa kulia
So sijajua tatizo ni nini au inasababishwa na kitu gani.. But kwenye usafi wa kinywa nipo vizuri sana nasafisha...
Unapokuwa na kitambi maana yake ni kwamba unawaambia watu kwamba wewe huwa unakula kula kula hovyo bila kufuata mpangilio. Kwamba wewe huwa unalewa hovyo hovyo bila kuwa na kiasi. Kwamba wewe huwa...
Ukuaji wa ubongo wa mtoto huanzia tangu mama akiwa mjamzito. Matukio yanayotokea nje yanaweza kuleta athari chanya au hasi.
Matukio hayo ni kama migogoro ya baba na mama mjamzito, kutumia pombe...
Kuna jamaa mmoja kila mara hujipiga piga usoni na kujipapasa kana kwamba kuna wadudu wanamshambulia. Haiwezi kupita sekunde ishirini bila kurudia kitendo hicho. Najiuliza huu ni ugonjwa gani na...
Naomba kuuliza je ni salama kutumia Vitunguu swaumu vya kisasa kama tiba?
Je, njia gani nyingine ya kutofautisha Vitunguu swaumu vya kisasa na vya asili zaidi ya kuangalia ukubwa wake?
Mwanamume mmoja nchini Uingereza amesemekana kuwa na kesi "mbaya zaidi" duniani ya ugonjwa wa Kisonono.
Alikuwa na mpenzi mmoja nchini Uingereza lakini alipata bakteria hiyo baada ya kujamiana na...
Wadau kuna bibi mmoja yuko Kasulu anatibu magonjwa hayo. Anatibu aina zote za Kansa kwa miti shamba tens gharama nafuu; malipo ni baada ya kupona. Kwa maelezo zaidi ni-pm. IT IS TRUE.
Kahawa ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi wa jamii zote duniani kama kiamsho kwa asubuhi.
ZIFUATAZO NI FAIDA ZA KAHAWA
1. Kahawa inaweza kukuongezea nguvu mwilini.
Kikombe cha Kahawa...
Habari jana jamvi!
Naombeni msaada wa tatizo la mgongo, kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu kwenye mgongo Chini kidogo ya mabega, maumivu huwa yana kuja na kupotea na kuja...
Katika hali ya mazoea ya muda mrefu, imeshakuwa ni jadi kwa vitafunio hivi wakati wa chai kufungwa ndani ya magazeti unapokwenda kununua kwa baadhi ya watayarishaji, mfano mama lishe.
Nionavyo...
Habari zenu wana jamii forum? hivi je kuenda haja ya choo kilaini ni tatizo au kawaida kiafya? Mimi hua mara nyingi naenda choo kilaini na ni nadra sana napata choo kigumu. Je hili ni tatizo au...
Toka tuzaliwe na tumeanza kutembea mikono yetu hutumika sana kuchukua, kunyanyua na pindi tunapotembea mikono huwa na movement flan hivi ya kwenda mbele na urudi nyuma ila cha ajabu ni kwamba...
tumezoea kuona mwanamke akiwa na mimba changa wakati mwingine huwa na tabia ya kula vitu vya ajabu kama udongo,ndimu,nguo n.k lakin 'nimejulishwa' pia kuna wakati mwanamke akiwa na mimba basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.