Mafuta asilia yenye manukato
Uhusiano kati ya matiti yasio ya kawaida ambayo humea miongoni mwa wavulana na utumizi wa mafuta ya mti wa lavender na ule wa chai umetoa uzito tofauti baada ya...
habari wakuu nna tatizo lakupat maumivu wakati wakukaa ila sio muda wote nimejichunguza kuna kijipu uchungu karibu na njia ya haja kubwa ila hakijaiva na nikikigusa hakiumi inaweza kuwa ndio...
Mtoto wangu tangu azaliwe sijui ana janga gani alikuwa anapata choo mara moja kwa week nilimuuliza Dokta akasema haina shida sasa hivi ameanza kula misosi bado hapati choo fresh ukizingatia...
Nilitoka kusex na mke wangu mara baada ya kumaliza akaniambia anahisi tumboni mwake kama kuna tundu na maji yanaingia.
Je hii inaweza ikawa dalili moja wapo ya ujauzito?
Katika uzinduzi wa kiwanda cha Phillip-Morris, Morogoro, Rais wetu Dokta Magufuli, alirudia kuyakosoa mafuta ya kula yanayoletwa nchini kwamba hatujui kilichomo ndio maana tunapata ma kansa...
Nina tatizo la kuwashwa haswa nikipigwa na jua na kuamka huku nikiwa nina alama za kuchanjwa mgongoni na mgongo kuuma.
Haya matatizo yanatokana na nini?
Mdomo ukliwa umeathiriwa na bakteria kufuatia kutumiwa kama njia ya kufanya mapenzi
Saratani imeendelea kuwa tishio hapa nchini huku hofu ikiendelea kuikumba jamii kutokana na wataalamu wa afya...
Ma-daktari na waelevu mliojaa humu JF naomba mnisaidie coz nina tatizo, mnamo mwaka 2010 niliwahi kufanya operesheni ya korodani yangu ya upande wa kushoto baada ya kugundua kuwa imeanza kuvimba ...
Lips za mdomo wangu umekua mweusi kwa juu na chini alafu umefanya mstari mweusi pics umepasuka pasuka kama vile mnywa gongo.
Ni muda wa mwezi sasa nisaidieni nitumie dawa gani sina amani kabisa.
Moja kwa moja kwenye swali.
Hivi hospitali, ambazo wanauwezo wa kupima kundi la damu la mtu.. Na bima ya afya ya taifa yani NHIF inakubalika katika hospitali hiyo. vipimo hivyo nitaweza kupatiwa...
Moja ya mambo ambayo huwa nayo makini sana napokuwa na barafu wa moyo wangu ni kuangalia sehemu zake nyeti kwa umakini mkubwa. Huwa sometime napenda tu kumwona ameiachia wazi then mimi napaangalia...
Habari
wana jF nilikuwa naomba msaada wa maelekezo juu ya hospitali nzuri ya
masuala ya uzazi mke wangu anatatizo upande wa uzazi sasa nahitaji akafanyiwe vipimo
kuhusu uzazi Je ni hospitali ipi...
nipo arusha kwa siku kadhaa sasa.leo asubuhi hapa ofisini kuna jambo lilitokea mbalo kwa kiasi flani lilihatarisha hali ya utulivu ,amani na utengamano ambayo ilikuwepo ofisini. ndugu yetu mmoja...
Habari za jioni ndugu zangu. nilisafiri kwenda kijiji flani nikatumia maji sio salama. sasa nkapata typhoid yaaani imekataa kupona. nmepima mpaka ukimwi sina.
Tatizo nn?