Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kafanyiwa LEEP lakini Sasa alipoingia hedhi damu inatoka nyingi na siku zinapita tu hedhi haikomi. Leo anaenda tena Kwa Daktari wake,je humu kuna wajuzi wa chochote kuhusu hii condition...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nini sababu ya mtu kukojoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa?? nini tiba yake(dawa)??
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wanawake wanaougua magonjwa ya figo hukabiliana na matatizo ya uzazi hasa kushindwa kushika mimba na hata kuharibika kwa mimba. Kutokana na hali hiyo madaktari hulazimika kuwasaidia kukomaza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Waungwana naombeni ufafanuzi wenu juu ya tetesi/hoja kuwa kuchanganya asali pamoja na limao kwa wakati mmoja inaweza kupelekea kifo kwa mtumiaji kwa kigezo kuwa Mchanganyiko huo hugeuka kuwa sumu...
0 Reactions
164 Replies
101K Views
Nisaidieni mwenzenu jamani nimepata manzi mzuri balaa kaumbika idara zote nilikuwa sijui kumbe ana kipaji cha kukoroma,huu mwezi nalala kwa taabu sana najikuta mkesha..Saa hizi nipo kwenye ule uzi...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Hi People.. nahitahi tu kujua eti hapa Bongo ear surgery huwa inafanyika ili kuweka sawa visikio vilivyojitokeza sana.. Nina ndugu yangu anapata shida sana mpaka naona aanakuwa affected...
0 Reactions
9 Replies
910 Views
Mabibi na Mabwana habari zenu? Niende mmoja kwa moja kwenye suala langu. Suala lenyewe ni kuhusu kiwango cha kasi katika kuongezeka watu wenye matatizo ya akili, binafsi nimejaribu kuwaza na...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Baadhi ya watu wamekuwa wakijenga hoja kuwa kuishi, kutembea au kusoma karibu na minara ya simu kunawaweka watu katika hatari ya kupata kansa au matatizo mengine ya afya. Lakini mpaka sasa hakuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natanguliza heshima kwenu. Nimefanya kipimo cha MRDT (Malaria Rapid Diagnostic Test) kwenye zahanati mbili tofauti. Katika zahanati ya kwanza nilichajiwa sh. 2000 wakati katika zahanati...
0 Reactions
27 Replies
14K Views
mke wangu anasunbuliwa na maumivu ya tumbo ambapo huwa linawaka moto,huchomachoma,kuuma chini ya kitovu,kwenye kiuno na mgongo na wakati mwingine huwa kama ametoneshwa.
1 Reactions
4 Replies
844 Views
Habari, Kwanza kwa faida ya wale wasio elewa blighted ovum ni tatizo ambalo huwakuta wakina mama la kuharibika na hatimaye mimba kutoka. Naomba kwa wale wenye utaalam,uzoefu na wabobezi kwenye...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Samahani wataalamu wa afya rejea kichwa cha habari hapo juu nimetumia SP siku ya ijumaa nlikua na malaria 4, sasa nauliza baadae naweza nikanywa pombe manake nna kiu mbaya na nimepata mwaliko...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Inasababishwa na nini? Je, yapi madhara yake?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za jioni wapendwa,kama mada inavyojieleza hapo juu,nasumbiliwa na UTI huu ni mwezi wa pili sasa unaenda.nimemeza dawa zote nilizoshauriwa na dakitari lakini bado haijapona.niliandikiwa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi ninahitaji msaada wenu kuna vinyama kama vipele ila sio vipele vimetokea kwenye shina la uume , nilikuwa nataka kujua tatizo nini na tiba yake nini
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari za Jioni wana Jukwaa, Katika harakati za kupunguza uzito nimeamua kununua baiskeli ili niwe naendesha maana naona ni zoezi zuri sana kwangu. Tatizo linakuja hapa kila mwanaume ninaekutana...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habarini za mda huu ndugu zangu wana jamii samahani naomba kusaidiwa kujua tarehe ya mama kujifuangua maana tarehe ya mwisho ya mama alipoingia period haikumbuki ila mimi nakumbuka nilikutana naye...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapendanao wakipeana raha hufika kileleni mara utaona dushe la mwanaume linatanuka aĺafu uke unabana, unasikia wazungu wanatoka na kuingia uĺaya na hapo mwanamke humwaga na yeye maji meupe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wandugu nina mzee wangu ana 94 years anasumbuliwa na tatizo moja Kkla siku anaweza kupoteza kumbukumbu na kuishiwa nguvu kabisa kama kwa saa moja au mpaka matatu baada ya hapo, anapata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Tatizo langu ndo hilo kwamba usiku kucha sipati kabisa usingizi, lakini kukishapambazuka ndio nahisi kulala. Sana mida kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi jioni saa 12 nakuwa na usingizi wa...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Back
Top Bottom