Habari wanajamvi,jaman naombeni msaada wenu nina mdogo wangu ana miaka 24 miaka ya nyuma alikuwa akipata siku zake kama kawaida ilipofika mwaka jana mwezi wa 7 siku zikaanza kwenda hovyo akawa...
Jamani nina wake wawili kila mmoja anaishi nyumbani kwake nyumbani za kawaida sana ila wanazipenda mana ni watu wa dini zaidi , wanapendana saaaaana wao kwa wao tena sana mana nimejaribu...
Nimesikia habari za soda na madhara yake, sasa nimeamua kupunguza soda niwe nakunywa juice. Na juice rahisi kabisa kuipata ni ya Azam (napendelea zaidi ya box, mango). Sasa kuna mtu ananiambia...
Mke wangu anapatwa na tatizo hili mara kwa mara kwa sasa yapata miezi miwili! vipere hivi vinakuwepo nje ya sehemu take ya uke, nitumie njia gani kumaliza tatizo hili?msaada wenu tafadhali.
Wandugu,
Napenda kufahamu kitaalamu juu ya imani au uvumi kuwa mtoto mchanga anapozaliwa lazima mzazi na hasa mama ahakikishe kuwa kitovu cha mtoto huyo kitakapokauka na kudondoka basi kisiguse...
Habari zenu wakuu.
"Mume wangu alifanyiwa upasuaji na kutolewa scrotum(Korodani) alikuwa akipata shida sana pindi anacheka utamuona anacheka mpaka machozi kumbe ndo kilio kinafwatia baada ya...
Habari za asubuhi madoctor wa JF, mm nina tatizo limenianza siku ya tatu sasa, kibofu kinawaka moto, mkojo unanibana kila mara na nikienda kukojoa mkojo unatoka kidogo ukiambatana na maumivu...
Wakuu naimani hamjambo nawanaoumwa poleni
wenye ujuzi watujuze wakuu mimi mkewangu nimjamzito na anamiezi mine4 na hii nimimba yapili tatizo alilo nalo ni kuumwa katika nyonga ya mguu wa kulia...
Habari wadau,
Naomba kuuliza kwa ambae ametumia bidhaa za EDMARK za kupunguza uzito je ilimsaidia kweli ama kama una mtu unaemjua alitumia bidhaa za EDMARK akafanikiwa kupunguza uzito.
Asanteni.
Kucheka hupunguza homoni za mkazo (stress hormones) na kuongeza seli za kinga ya mwili hivyo kuongeza kinga dhidi ya maradhi. Kucheka pia huchochea utokezwaji wa endorphins kemikali inayomfanya...
Usiku wa kuamkia Leo hii nimepata tatizo la kuziba kwa sikio moja la upande wa kushoto baada ya kuamka na kutaka kupenga kamasi lakini cha ajabu sikio likaziba na kutoa maumivu makali sana mpaka...
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MGONJWA WA KISUKARI
[emoji298]usinywe soda ya aina yyte na juisi za viwandani
[emoji298]acha chai ya rangi na kahawa
[emoji298]jishughulishe na mazoezi
[emoji298]ongeza...
Hivi karibuni niliamua kufanya biashara ya Pweza hivyo nikaona ni vyema nifanye utafiti wa kina kabla ya kuanza,hii ni biashara nzuri hapa Dar es salaam na mtaji wake sio mkubwa pia inatoa fursa...
Kwa upande wangu,hapa Tanzania,sijawahi kuziona,ila huwa nawaona specialists wakitoa chanjo mtaan,ndo kusema fursa hii doctors hamuioni? au hamna haja?
Habari zenu? naombeni msaada wenu wapenzi nina tatizo napata shida kupata usingzi ikitokea nikipata ni kwenye saa 7 usiku na nikianza tu kusinzia mavitu yanajirudia kichwani yote nilivyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.