Mke wangu alijifungua tar 6/01/2018 mtoto wa kiume shida amekuwa na changamoto ya kukoswa maziwa ya kutosha kunyonyesha mtoto afanyeje ili kupata maziwa ya kutosha kumnyonyesha mtoto?
Kimsingi ndoto ni hadithi na picha ambazo hutengenezwa na akili zetu wakati tukiwa usingizini. Ndoto zinaweza kukufurahisha, kukuhuzunisha au kukuogopesha. Wataalamu wanadai tunapata ndoto nne...
Wakuu wa Vitengo habarini!
Nina tatizo ambalo silielewi ni miezi miwili sasa napata choo uharo kila ninapo pata haja ila sijioni kama naumwa kabisa.
Najiona niko poa kiafya wala sipati maumivu...
Uume ni sehemu nyeti sana kwa mwanaume na mwanamke pia, nimesikia wadada fulani wakilalamika katika maongezi kuhusiana na namna ambavyo uume mbali mbali zilivyokaa na athari zake wakati wa tendo...
Nini kinasababisha uume kutosimama imara? Yaani unakuta MTU unataka kugegeda unakuta uume upo legelege, nini sababu? Je tatizo linaisha kwa kufanya nini?
Hospitali gani inaweza tibu hili tatizo?
Msaada wenu Dr's humu jamani nimeungua na moto wa gas baada ya kutokea mlipuko wakati napika maeneo niliyoungua ni usoni mpaka sasa nimetumia asali pekee kama tiba ya huduma ya kwanza.
Naombeni...
Njia hii ya kwanza hutumika hata kwa aliye fungwa kizazi, nguvu za kiume , ama kuna mtu au kitu unataka kusahau kabisaa hapo ni wewe na nia yako Allah ndiye mjuzi zaidi.
NJIA YA KWANZA
Chukua...
Kwa mda wa miaka 18, jicho langu la kulia liliugua likaacha kuona,saivi halina mtoto wa jicho,je naweza pona? kulingana na mda ambao nimeshindwa kulitibia kwasababu ya Ukata
Mtindi unaorodheshwa kuwa miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu.
Vikitajwa kwa uchache...
Wakuu, ni siku ya tatu sasa naumwa sana shingo upande mmoja. Hii sijui imetokana na nini? Pengine ni kulala vibaya kwa sababu nimetoka nje ya Dar niko mkoa now so ninalalia kitanda 'kipya'.
Hapa...
Wakuu wa Vitengo habarini!
Nina tatizo ambalo silielewi ni miezi miwili sasa napata choo uharo kila ninapo pata haja ila sijioni kama naumwa kabisa.
Najiona niko poa kiafya wala sipati maumivu...
NENO KUHUSU MAGONJWA YA AKINADADA NA AKINAMAMA
- MAGONJWA YA AKINAMAMA YAMEUCHACHAFYA ULIMWENGU TANGU ZAMANI SANA
*Padri Titus Amigu*
Nadhani tumejipatia muda mrefuna wa kutosha kujadili mada...
Kwema wa wana JF?, bila shaka swali lipo clear na naamini Madoctor kwa ufasaha kabisa.
Baada ya tafiti zangu kutoka kwa wanachama wa Punyeto mashughuli wamenithibitishia kuwa fanya ufanyavyo...
Wapendwa kama kichwa kinavyosema hapo.Kumekua na kauli nyingi juu ya kitendo cha kupiga punyeto na kubaki wakishutumiwa wanaume pekee.Kwanza ningependa tutambue punyeto ni nini.
Punyeto ni...
Habarini wana Jamii
Naswali je ni kawaida kwa mtoto baada ya operation amekaa wiki 2 alikuwa hakoromi ila wiki ya 3 ameanza kukoroma naombeni mawazo yenu.
Tar 30/01/2018, nilienda na mama kijacho wangu ktk zahanati moja ya Serikali kwa lengo la kuanza Kriniki kama nimepatia, na tulienda wote hiyo siku ya kwanza kwakuwa kanuni na taratibu zinataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.