Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ni matumaini yangu muwa wazima wa afya.moja kwa moja naingia kwenye mada.Ilikuwa juzi tuilitoka kumwona dr.kwa mambo ya kupima uzazi ikaja kubainika nina tatizo kubwa la low sperm kiasi cha...
2 Reactions
148 Replies
21K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limethahadharisha kuwa, kushiriki mapenzi kwa njia ya mdomo kunasababisha ongezeko la ugonjwa wa kisonono ambao kwa sasa umekuwa mgumu kutibika kutokana na bakteria...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Uvimbe kooni husababishwa na mambo mengi na mara nyingi huwa haisababishi shida kubwa sana.Ukifungana mapua, makamasi hupitia kooni na hivyo basi kusababisha uvimbe.Baridi kavu inaweza pia kufanya...
1 Reactions
10 Replies
47K Views
Salaaam sanaa wana JF awaliyayote napenda kumshukuru mungu kwa kutujalia afya na uzima Niliwahi kuleta mada ya mtu wangu wakaribu aliwahi kwenda Hospital kupima hiv kipimo cha kwanza hambacho...
1 Reactions
32 Replies
12K Views
Wakuu ma Dr na wataalam naombeni msaada katika hili. Ndani ya kipndi kama cha miaka 6 ivi nimekuwa niku sumbuliwa sana na ndoto mbaya za usiku. Tatizo lilianza nikiwa A-level arusha. Nikiwa nime...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari! Ndg mimi nimesumbuliwa na mafua sana nilikuwa na mafua makali nikatumia dawa top plus yakapungua lakini nikashangaa badaa ya siku kadhaa nikawa natoa makamasi mazito kwenye pua la kushoto...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ninamafua yasiyopona ndugu zangu nahitaji msaada wa maoni na ushauri, pua zangu hazijawahi kukaa huru bila kuziba takriban mwaka na nusu sasa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau, Hivi inawezekana binti akashika ujauzito siku ya kwanza ya kutoka bikra yake?? Nawaza kwa sauti na msongo wa mawazo pia.
1 Reactions
29 Replies
13K Views
Msaada tafadhali kwa anayejua ni asilimia ngapi ya kina mama wajawazito hufariki na je ni asilimia ngap ya watoto hufariki baada ya kuzaliwa hadi kufikia umri wa miaka mitano? Ipi ni idadi kubwa?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wa dawa ya uhakika jamani....naamini nina UTI sugu kwa maana kila ninapokuwa Faragha na wife baada ya muda anahisi kuwashwa na akipina anapatikana na UTI. Kuna wakati mimi napata burning...
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Habari wapendwa katika bwana, Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja Tatizo langu ni tumbo kujaa hewa na kupelekea moyo kwenda kasi na wakati mwingine pumzi inabana hasa baada ya kula , yaani...
4 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari zenu ni matumaini yangu muwazima wa afya, pia poleni kwa mihangaiko ya maisha ya kila siku Niende kwenye mada. Kuna jambo huwa linanishangaza sana, ikitokea mtu amekula sumu (bahati mbaya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Ndugu wana jf, kuna ishu hi ya female genital mutilation imekuwa ikikemewa sana na mataifa ya magharibi kuwa ni tamaduni ambazo hazina umuhimu na ni zakukemewa. Kwa mtizamo wangu naona hii ishu...
2 Reactions
60 Replies
10K Views
Jana mida ya sa nane mchana maji yaliniingia sikioni. Mpaka sasa sikio moja la kulia limeziba. Naombeni msaada nifanye nini ili maji yatoke nirudi kwenye hali angu ya kawaida?
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wadau habari zenu mke wangu ana mtoto wa mwaka mmoja na miezi minne (miezi 16), tena alijifungua kwa operesheni na sasa amepata tena ujauzito. Nisaidieni *Je, kuna madhara yoyote anayoweza...
2 Reactions
52 Replies
12K Views
USHAURI MUHIMU UKIWA UKO PEKE YAKO NJIANI NA UMEPATWA NA SHAMBULIA LA MOYO (HEART ATTACK) CHUKUWA TAHADHARI. Chukulia ni muda wa saa 1:25 usiku unarudi nyumbani peke yako, baada ya kazi ngumu...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
Tumekuwa Tukisia Kuwa Wanawake Hukoma Kupata PERIODS au HEDHI Zao Wakiwa Na Miaka Kati Ya 48 Hadi 53. Sasa Na Mimi Pia Naomba Kuuliza; Je, Hivi Huwa Kuna UKOMO MAALUM Wa UUME Wa Mwanaume Kuacha...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mtu akila sumu (poisoning by mouth) anahitaji kufanyiwa huduma ya kwanza haraka sana. Sumu iliyoingia tumboni inaweza ikapunguzwa nguvu kwa kunywa maziwa Fresh au maji mengi. Halafu mgonjwa...
2 Reactions
9 Replies
17K Views
Naomba msaada mimi nina tatizo nikipiga bao la kwanza nachelewa kuamsha tena isia na nikiamsha uwezo unakuwa mdogo sijui nitumie dawa gani
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Za mapumziko ya wikendi. Tangu niingie humu ni mengi Nimejifunza na hata kupitia maswali mengi ya watu tofauti kuhusu maisha. Namimi leo ninaomba kufahamamishwa juu ya tatzo hili la...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Back
Top Bottom