Habari waanajamvi mdogo wangu wa kike (23) anasumbuliwa na maumivu upande wa kulia wa ovary ,na anableed mnoo na kubleed huko sio katika zile siku zake za hedhi baada ya kufanyiwa ultra...
Huwa najiuliza, hzi dawa km panadol, antibiotics zote, syrups n.k huwa zinatengenezwa na chemicals ? Km ni chemicals , raw materials zake huwa wana import toka wapi??
Na km ni raw materials huwa...
Uso wangu ni wa mafuta na hua nakua na chunusi. Tangu nipo na miaka na 13 hadi leo am 23,hua zina jaa na kupungua,pia break outs za hapa na pale ila dark spots haziachagi. Recently zimejaa sana...
Je, kuna madhara gani ya kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kama miaka 3/4 kiafya.
Ilihali unaendelea kutekeleza majukumu yako kwa ajili ya kufurahisha maisha baadae, na huna response yoyote ya...
Karibu mtu yeyote anaweza kufundishwa kupitia hypnotherapy kupunguza maumivu. Mapendekezo hutolewa kwa ajili ya kudhibiti mauvi ikiwa yamekuwa makali watu wengi wanaweza mara moja kupata msaada...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limethahadharisha kuwa, kushiriki mapenzi kwa njia ya mdomo kunasababisha ongezeko la ugonjwa wa kisonono ambao kwa sasa umekuwa mgumu kutibika kutokana na bakteria...
REPEATION ON AZUMA FOR HIV and AIDS HEALING.
PROVEMENT...AZUMA is seriously treating and healing HIV and AIDS apart of treating STDs.
AZUMA inatibu na kuponya VVU na UKIMWI nje ya magonjwa ya...
Habari wana jf.
Kwa anaefahamu naomba anijuze kuhusu #GREEN_TEA maana nakutana nayo sehemu nyingi sana.
Na ninaweza kuipata wapi kwa hapa kwetu bongo Viwonder.
Wakuu kama topic inavyojieleza
Siku za hivi karibuni nimekua mtu mwenye msongo sana wa mawazo, nimeugua UTI kali, sana na nilienda kwa mke wangu lakini kutoa unyumba akawa anagoma. Siku hizi hata...
Habarini wanabodi;
Kizazi cha digitali kimekuja na mambo kibao ambayo ni kutokana na uvivu na uzembe,kuna dawa nyingi za kupunguza vitambi na manyama uzembe,zipo za kupakaa,kunywa n.k,Je hizo dawa...
Ndugu wanajukwaa
Nimesoma kwenye gazeti la Mailonline kwamba kuna ugonjwa wa mlipuko umetokea Madagaskar na unaambukizwa kwa njia ya hewa, mate au kamasi na unaua ndani ya masaa 24.
Naomba kama...
Nibinti anaumri wa miaka 16,kihistoria aliwahi kua boshen vile vile ameshaugua fangasi/Bacteria ukeni akatumia dawa tatizo likaonekana kwisha lakini baadae akaanza kuhisi muwasho na maumivu makali...
Wanajamii forum naombeni msaada wenu kwani macho yangu ni mekundu japokuwa situmii pombe wala kuvuta sigara au bangi je dawa gani inaweza kunisaidia kuondoa tatizo hili
Nawasilisha
Sent using...
Naomba msaada wenu Madaktari na Kina Mama mlio na Uzoefu na Hii hali jamani,yani mke wangu Tangu ajifungue alikua ananyonyesha vizuri kabisa maziwa yote mtoto ananyonya bila shida yoyote ile mpaka...
Kwa wenye vitambi tu nipigieni simu mje hapa kinokleini ulizieni nguli, akina wapwa ni free of charge.
=========================
Kitambi ni hali ya kiafya ya mtu mnene ambapo mafuta ya ziada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.