Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Husika na kichwa cha habari hapo juu, Naomba Nesi amabye yupo St. Francis Ifakara anitafute Pm. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ilianza kama sehemu za mwili kuuma tu ilianza kidogo chini ya mgongo juu ya kiuono kidogo yaani maumivu yanayokuja na kuondoka baada ya kudumu kama sekunde 30-45 ivi. Maumivu yakapanda mpaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nina sumbuliwa na mishipa naomba mnijulishe Daktari Bingwa nimweleze tatizo langu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau Habari za leo? Mke wangu alishika ujauzito baada ya siku kama 15 hivi akapata maumivu makali sana ya tumbo chini ni ya kitovu akatokwa na damu kidogo sana. Ikabidi nimpeleke hospitali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anaweza fafanu ugonjwa wa myasthenia gravis
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huduma ya kurekebisha meno naipata wap kwa hapa dar na kwny malipo nitumie kadi yang ya NHIF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mungu apewe sifa zake na utukufu wake. Nianze kwa kusema hv nlkutana na mwanamke kimapenzi kwa mara ya Kwanzaa tulitumia ndom, sku ilyofuata tukatafnana kavu kavu lakini ilivyopita sku nne nkaanza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
MADHARA YA ZINAA KISAYANSI Wengi katika wanadamu wanajaribu kuhoji kwa nini Mwenyezi Mungu anakataza zinaa wakati kuingiliana baina ya mke na mume na kuingiliana baina ya hawara na hawara mambo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Salaam wana taaluma ya afya! Jana nimekua nasumbuliwa na kichwa tangu juzi,Jana jioni nikaenda kupima nkakutwa na malaria 4 .
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu, Nimeenda hospitali juzi kwa kuwa nilihisi maumivu hapa katikati kabisa ya kifua kwa ndani, sio maumivu makali ya kunifanya nisifanye kazi na yanasikika tu kwa kufanya...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Reasons Not To Drink Energy Drinks— Dec 10, 2013The next time you are looking for ways to get energy, think about alternative ways before you buy energy drinks. Consuming excess amount of...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Lisaa limoja lililopita hapa karibu na ofisi yangu kuna kijana alikuwa anakimbizwa akituhumiwa kwamba ni mwizi na raia wakaanza kumshambulia sasa akiwa amezungukwa na raia mimi nikaingia katikati...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
habari jf doctor! Nina tatizo langozi yapata mwezi wa tano tokea lianze, nimekwenda hospitali, nimepima mpaka damu kwa ajili ya HIV nikapewa majibu, nikaambiwa sina HIV, isipokuwa nimeliweka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
[emoji815]Please forward:[emoji815] "Dr. Guruprasad Reddy B V, OSH STATE MEDICAL UNIVERSITY MOSCOW, RUSSIA[emoji614][emoji613] Encouraged each person receiving this newsletter to forward it to...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Jamani habari za jpili hii, wakuu heshima yenu. Naomba utofauti kati ya mbegu nzito ,au nyepesi. Kuna muda zinatoka nzito ,Muda mwingine zinatoka nyepesi. Nzuri zipi au utofauti haupo?
0 Reactions
18 Replies
21K Views
Kama mada inavyojieleza,Moyo hudunda Mara 60-100 kwa dakika na hiki ni kiashiria tosha moyo wako una nguvu za kutosha sasa kwenye dushelele inabidi isimame Mara ngapi kwa siku kuanzia unapoamka...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Ndugu zanguni Habari zenu! Napenda kulisemea ili swalq la nguvu za kiume kuonekana ni janga lkn ktk matangazo ya baadhi ya wadau wqnasemq tatizo hili linaweza kutibika kwa mchanganyiko Wa lishe...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habarini wana JF, Kichwa cha uzi kinajieleza, Mimi nina mpenzi wangu tunapendana sana ila anatatizo moja tu tukishaanza kufanya mapenzi nikikaribia kojoa analalamika anaungua na anachomoa gafla...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Kama vile mguu, mkono mara nyingi sana nimeshashuudia mtu anavunjika, anapelekwa kuugwa mwezi mmoja utasikia madaktari waliunga vibaya nini huwapata madactari? kuweni makini na kazi yenu basi
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom