Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wana jamvi?nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya hili jambo leo nimeona niliweke jukwaani ili watu waliokutana nalo au wenye uelewa waweze kunipa elimu. Imenitokea mara kadhaa ninapo-kiss na...
2 Reactions
104 Replies
14K Views
Habari Jamii Doctor, Ninasumbuliwa na vidonda vya mdomoni vinakuwa kama viupele halafu baadaye huwa vinaongezeka na kuwa kidonda kikubwa kiasi na kichwa kuuma na tumbo halafu mate huwa machungu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu nimebakiza masaa 71 kujikinga na huu ugonjwa ndomu imepasuka nimegundua baada ya gemu kuisha mwenye kufahamu zinapopatikana hizi dawa anielekeze tafadhali
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Nguvu za kiume ni nini? Huu ni uwezo wa mwanaume kuweza kusimamisha uume wake na kuhimili mda mrefu kwenye tendo la ndoa bila kuchoka kirahisi. Waswahili wanasema ni “uwezo wa gari kupiga starter...
3 Reactions
27 Replies
25K Views
Habari madaktari kama mada tajwa hapo juu nina zaidi ya siku 5 naamka asubuhi uume hausimami tafauti na awali hata kama nina mkojo je hili ni tatizo au ni hali ya kawaida naomba kujuzwa.
0 Reactions
55 Replies
10K Views
Wakuu salamu zenu Wa Tanzania wenzangu kuna ndugu yangu anasumbuliwa sana na skio kuziba.Tumekwenda hospitalini tatizo wanalomwambia ni uchafu(wax material) ktk skio l Umejaa,wakampa dawa inaitwa...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
JE MLO GANI BORA KWA MAMA MJAMZITO? Kipindi cha ujauzito ni kipindi ambacho mama mtarajiwa anatakiwa kupata mlo ulio kamili kwa muda sahihi na kiwango kinachotakiwa. Mlo kamili hutokana na...
0 Reactions
2 Replies
15K Views
.
0 Reactions
12 Replies
808 Views
Hello Gentlemen and Ladies Naombeni msaada wenu please. Wapi nitapata unga wa Udishe please. Msaada wakuu wa nchi.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hamjambo wanajukwaa, Kama tittle inavyojieleza, Natafuta dawa ya kuzuia hisia za mapenzi yaani sitaki kushiriki tendo la ndoa katika maisha yangu yaliyobaki. Je, kuna dawa yoyote naweza kutumia...
3 Reactions
41 Replies
25K Views
Habari za leo ndugu. Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Za usiku wandug mim mwenzen Leo nimeenda zahanati kutkna na kuharisha sana Jana, sasa ktk kupima malaria, mkojo, na choo, majibu Nimeambiwa Nina UTI na malaria ila kias au kiwango gan hapana na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba tuambizanejuu ya hili, kama kuna mtu amewahi tumia dawa hii naomba anifahamishe iko. Vip inasaidia au Laa
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu, Shida yangu kubwa nilizaa mwaka 2015 mtoto akafariki ni opereshen nikaambiwa nitulie mwaka ndo niweze kuzaa tena, sasa kipind hicho sijatumia njia yoyote zaid ya kalenda, sasa wakat...
0 Reactions
4 Replies
986 Views
UPUNGUFU wa nguvu za kiume umekua ni tatizo kubwa sana nchini, kwa wanaume walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka huku na kule katika kutafuta ufumbuzi...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Ze leo ndugu zamgu post kama ivyojieleza, ninamchubuko sehemu moja ambao unanitesa miaka nenda miaka rudi. Hauponi nimehangaika mahospitalini, Pharmacy lakini bado nikipata choo kigumu kidogo...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Kuna dawa ya vidonda vya Tumbo nimeisahau jina ...kidonge chake kipo kma codril ya mafua ila ya chenga. ...naomba msaada wa Jina la hyo dawa tafadhar
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau, Najua humu kuna wajuzi. Mimi ni mnywaji sana wa hivi vinywaji vyenye vilevi (alcohol), lakini leo nilienda kupima sukari na Bp, sukari yangu imeonekana ipo juu na inakaribia kufikia kiwango...
0 Reactions
33 Replies
11K Views
Wakubwa. kuna huyu Manzi alikuwaga rafiki angu enzi zile za tuition Mchikichini. Mwaka huu mwezi wa tisa mwanzoni tulisex. Sasa leo kanicheki ananiambia J leo nilizimia. nikastuka kidogo...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Salaam Wandugu tatizo langu Ni Hili tumbo kunyonga ni kila chakula kilicho pikwa kwa mafuta kama wali Mboga zilizo ungwa.... Wataalamu tatizo Nini Hapo Tiba yake Nini? Asante
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…