wakuu habari za wakati huu?
Mke wangu ana ujauzito wa wiki ya 38 na siku 2. Anatakiwa kusafiri kati ya Dar na Morogoro. Sababu ya kusafiri ni madai ya kua sitaweza kumtunza atakapo jifungua, ni...
Wakuu mnisaidie,
nimejaribu sana hospital na dawa za hapa na pale. Mwanangu ana miaka miwili. Anajisaidia bila kusema kila baada ya nusu saa, tena kinyesi kidogo sana!
Mwanzoni alikuwa akitaka...
Wasalam wana bodi.
Naomba ushauri, mke wangu analalamika vichomi vimezidi, mwili mzima. Hana amani na kwa kulalamika kwake nahisi vinammaliza. Sijui vinaumaje but i can emargine.
Naomba kujua...
Habari waungwana wa jukwaa hili
Nimeanza kukohoa ni wiki ya nne hii
Mwanzo hali ilikua mbaya sana nilikua nakohoa mpaka nakosa usingizi hususani wakati wa usiku
Nilikua nakohoa sana mpaka koo...
Habari wadau wa jf
nilikuwa naomba kujua kuhusu hii genetic inayoitwa (eve gene) ambayo inasemekana ipo kwa mwanamke mweusi na pia wanasema mwanamke huyu mweusi ndio anaweza kuzaa mtoto mwenye...
Habari wana Jamvi
kutokana na uzoefu wa kupiga nyeto takriban mwaka mmoja sasa nimeamua kujikana mwenyenyeeee kabisa.
Nina kama niezi mitatu sasa tangu niache ponyeto lakini cha kushangaza usiku...
I hope you are doing well and heloing people i need your help last night was chating to my cousi brother and he was diagnosed since 2014 hiv possitive and when am talking with him the speck of his...
Habari za kazi wanajamii nauliza swali na tunahitaji majibu mimi na rafiki yangu tulikuwa tunazungumza kwa mbali kidogo kama umbali wa menza ya kulia chakula basi wakati anaongea nikahisi tembe ya...
Habari za maisha?
Nilimpeleka mke wangu hospitali hivi karibuni. Alikua na vipele vidogo vidogo pembeni na kwa ndani ya sehemu zake za siri. Kabla hatujaenda hospital tuli-google kidogo tunajua...
Jamani kwema?
My wife wangu ana mimba ya mwezi mmoja na robo tatu, sasa tumbo linamkata sana pia anatapika na kichwa kugonga mno, najua kuwa hivi vitu ni vya kawaida kwa miezi mitatu ya mwanzo...
Jamani kwema?
My wife wangu ana mimba ya mwezi mmoja na robo tatu, sasa tumbo linamkata sana pia anatapika na kichwa kugonga mno, najua kuwa hivi vitu ni vya kawaida kwa miezi mitatu ya mwanzo...
Habari zenu wakuu,
Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.
Njia ya kwanza:
Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha...
Nimeona hata baadhi ya vyombo vya habari vikiandika kuwa ARVs ni dawa za kuongeza maisha kwa wenye virusi vya UKIMWI. Hii si sahihi na ni upotoshaji mkubwa. ARVs ni dawa za kutibu UKIMWI na hilo...
Heshima kwenu wakuu, mwaka huu nimepitia mtihani mgumu mno na usioelezeka kirahisi, nilikutana na binti mmoja ambaye baada ya kufahamiana tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi. Ilikuwa tarehe...
wataalamu wa mambo habarini.
mimi binafsi nadhani ukimwa hau ogopeki sana siku hizi. sijui kwanini hauogopeki kama miaka ya zamani kidogo? ......... watu wanauchukulia poa. au kwasababu ya...
Virusi hatari vinavyoweza kusababisha madhara kwa ubongo wa watoto vinaweza kusaidia kwenye matibabu mapya kwa saratani ya ubongo kwa mtu mzima, kwa mujibu wa wanasayansi nchini Marekani.
Hadi...
Habarini ndugu zangu, mnamo mwaka 2009 nikiwa nasoma sekondari, shuleni kulitokea vurugu hali iliyopelekea kuteguka bega. Nilipata tiba hospitali ya morogoro nikawa vizuri, lakini baada ya wiki 2...
Habari zenu mwanangu ana miaka 3 na hii ni mara ya pili nyama za pua zimerudi anakoroma anashindwa kulala vizuri hamu ya kula imepungua na unalia sana pale pumzi akivuta kwa shida.
Akiwa mwaka 1...