Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mke wangu amepimwa amkutwa na uvimbe kwenye Ovary ya kulia dokta anasema inabidi afanyiwe surgery Kwa wale wenye utaalam na hili swala naomba msada wenu hivi hakuna dawa anazoweza kutumia uvimbe...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimepona
0 Reactions
2 Replies
760 Views
Salaam wanabodi, Napenda kuwataarifu juu ya ujio wa madaktari bingwa wa MIFUPA, FIGO, MOYO, SARATANI (CANCER) na MFUMO WA MKOJO kutoka Narayana Health Hospitals-India. Madaktari hawa bingwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Madaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu hivi kawaida ya hedhi,kuvuja hasa huu mwezi Mke wangu imekuja kwa matone matone tu siku ya kwanza kdogo sana ya pili Ndyo kabsa hamna. By mm. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jamvi Ni wazi kuwa Ugonjwa wa dengu Umekuwa hatari na umesababisha vifo vya watu we hapa nchini hasa Dares-salaam na umeendelea kusambaa mikoa ya Tanga ,pwani na zanzibar. Pamoja na...
2 Reactions
26 Replies
16K Views
Habari wana jf doctor. Ninayo furaha kubwa sana kuwajulisha na kuwashukuru wote kwa wawazo yenu nilipoleta tatizo langu la kichwa. Wengi mlinishauri kuwahi hospitalini, nilifanya hivyo lakini...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba msaada maana mwenza wangu analazimisha nimnunulie magic ashevie nywele za ukeni lakini mimi napatwa na wasi wasi nahisi labda anaweza kupata madhara Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
189 Replies
21K Views
Unafahamu fistula huwapata pia wanaume? Madaktari bingwa wa upasuaji wa magonjwa ya njia ya mkojo wamesema ajali, saratani ya kibofu na magonjwa ya njia ya mkojo yamekuwa sababu za kasi ya kukua...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habari za muda huu? Ndugu zangu kuna dada yangu alijifungua miezi miwili na wiki mbili nyuma kwa operation, wiki mbili hivi akiwa ameenda kutafuta huduma ya kupanga uzazi aliomba kwanza...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wakuu heshima yenu....naombeni tafsiri ya majibu yangu baada ya kufanya kipimo cha sperm analysis....ninampango wa kupeleka kwa daktari na shemeji yenu but nataka nijue nini maana ya haya majibu...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Naomba nisaidiwe!kwani nahisi kukauka kwa midomo na tumbo kuuma kwa mbaali upande wa kushoto pamoja na kukosa ladha yachakula chochote nnachokula!!nilienda kupima hospita!mkojo,typhod,malaria n...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
msaada wa mawazo ya kiafya wakuu kuhusu hili.
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari! Kama kichwa cha habari kilivyo, karibuni wataalamu kwa maoni na ushauri. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
23K Views
Nina mke wangu anatatizo naombeni ushauri, mke huyu huwa anamzunguko wa siku 28 (hedhi). Kuna kipindi aliugua kama maupere mwilini, mfano wa surua, akanywa dawa za kienyeji, baada ya kunywa dawa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawashukuru wote mlionipa ushauri kwenye hii post yangu Wanaume mnasababisha tuwe wanene, Mungu anawaona! kusema kweli imekuwa shida kwangu kupungua maana tatizo lipo palepale .Nimeona niache tu...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
za leo. Ni miaka mitano (5) sasa mgongo unaniuma sana tena mno. Wengi waliniambia kwa kua umetoka kujifungua, na nilijifungua kwa njia ya kawaida. kuna miaka mi2 nyuma uliacha sasaiv umeludia...
0 Reactions
18 Replies
14K Views
Wangwana kuna rafiki yangubkaniuliza suali hili:- Mke wake amejiifungua kwa kawaida ila njia ilikia ndogo akaongweza na akashonwa vitango 7. Hadi sasa ni siku ya 20 mwanamke alizuiya damu siku...
2 Reactions
49 Replies
11K Views
Imekuwa ni kawaida kwa kichanga cha wiki tatu kulia sana hasa nyakati za usiku ni kwanin? Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
74 Replies
14K Views
Wakati nasoma sekondari kuna dada alikuwa hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu. AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikuwa...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…