Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

50 year old woman presented at the Gyne clinic due to failure to conceive after one year of unprotected sexual intercourse. She was married one year go. Her husband is 34 years old, recently...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Naamini humu kuna madaktari wazuri tu. Kuna swala linanishangaza tena sana, yaani inakuaje mtu kazaliwa mbantu kabisa "mweusi asili" na baada ya miaka kadhaa( takr. 35)...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa anayefahamu ilipo rabininsia memorial hospital naomba anielekeze kutokea ubungo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza kiukweli nimechanganyikiwa.Mtoto wa dada yangu kijana wa miaka 16 anakojoa damu.Mwili unabadilika rangi na kuwa mweupe,macho meupe hospitalini wamekosa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
What are blood thinners? Blood thinners prevent blood clots, which can stop blood flow to the heart. Learn about how they work, who should take them, side effects, and natural remedies. Blood...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Wadau kwanza poleni na majukumu yote ya kupigania maisha, naombeni kufunguliwa macho juu ya tatizo tajwa kunakijana (mtoto wa sister ni darasa la 7 sasahivi) nimemkuta na hii dhahama na kwa mujibu...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu bila shaka hamjambo, naomba kujua hivi dawa ya misoprostol isipofanya kazi baada ya kuitumia, ni muda gani unatakiwa kupita ndio urudie kumeza? wife kameza haijafanya kazi , ujauzito ni wa...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Naombeni kujua ,kinachomfanya mwanamke mjamzito kuwa wa moto kupita kiasi,kuwa na nyege kuliko kawaida yake? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
4K Views
habari za mchana niende moja kwa moja kama nilivyoeleza hapo juu, leo ni siku ya tatu kijana wangu hapati usingizi na amekuwa mlizi tofauti na siku za nyuma, huku mtoto ni wa kiume na sasa ana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habar wa ndugu, jaman naombeni ushauri nina maumivu sehem ya uume yan kwenye shina kulia hiv ambay yameanza juz nikiwa mazoez, lkn ch ajabu leo nimemwaga shahawa zenye mchanganyiko n damu na Sent...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana jamvi! Nimeleta mrejesho wa wa chakula tiba tuliopewa na ndugu yetu Julius Mahenya. Nimekunywa dawa na leo jioni ndio nitamaliza dozi ila kwa hakika mabadiliko yapo makubwa,mruko wa...
8 Reactions
116 Replies
73K Views
Mimi ni kijana Mwenye umri wa miaka 25 nnasumbuliwa na tatizo LA kupoteza hamu ya kufanya mapenzi pia Kama nikifanya Mara moja siwezi kurudia kabisa tendo ni miaka mitatu nimehangaika lakin...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu. Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia. Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea...
2 Reactions
139 Replies
17K Views
Viongozi salaam! Kama heading ilivyo. Naomba kujua sababu za mtoto kutokugeuka akiwa tumboni kwa mama wakati wa ujauzito. Inasemekana mtoto hugeuka kuanzia miezi sita ya ujauzito. Tatizo la...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Mtu anaye harisha, mwenye macho mekundu na anakojoa mkojo wa njano, anakuwa anaumwa nini?? Msaada wenu Jaman mweny kujua.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Fahamu tatizo la Apendex.(kidole tumbo). Kidole tumbo au Apendeksi hupatikana katika utumbo mkubwa, urefu wake ni kama kidole cha mwisho cha mkono, Sehemu hii hupitisha myeyuko wa chakula na...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
usiku nikilala ikatokea nimeshtuka jicho langu moja linatoa machozi mengi nikifuta yanaongezeka zaidi na haliumi lakin naona tu machozi yanamiminika kwa muda mpaka nikisinzia linaacha. na hii hali...
0 Reactions
4 Replies
879 Views
..
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Nina miaka sita sasa tangu ni balehe nakushuhudia chunusi kwa mara ya kwanza kwenye uso wangu lakini chunusi hazina dalili ya kutoka nitumie dawa gani au sabuni gani msaada tafathali Sent using...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninashanga nimeipataje typhoid: Tangu nije hapa Dar mwaka 2005 mpaka leo huwa nakunywa maji ya chupa tu, hata kupigia mswaki na kunawa uso ni maji ya chupa tu. Sasa leo nimefika hospitali...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom