Kifahamu kipindi cha baleghe
kwa wavulana na wasichana.
Ubalehe ni jumla ya mabadiliko ya mwili na ya roho yanayomfanya mtoto kuwa kijana halafu mtu mzima.
Ufafanuzi.
Ingawa kila mtu ni...
Habari wakuu, kuna rafiki yangu sehem za siri anaumwa nisijue kaswende au kisonono na yupo katka hali ya kutoa usahaa kwa mujib yeye anavyosema make alianza kwa kuuma baada akiwa anamaliza...
Habarini za leo wakuu nimepatwa na hivyo vipele takribani mwezi wa pili sasa havikui vipo hivyo hivyo vipo katikati ha kwenye mfereji wa paja na korodani
je huo ni ugongwa gani ....?
Wanawake wajawazito wanaopenda kulala chali wapo kwenye hatari ya kuzaa mtoto mfu (stillbirth), kulingana na wanasayansi.
Katika utafiti uliofanyika nchini Ghana, wanawake wajawazito ambao...
Magonjwa ya moyo na mishipa ya damu (cardiovascular diseases) yamekuwa yakiongezeka kwa kasi katika nchi za Afrika kinyume miaka ya nyuma. Kati ya sababu mojawapo ni mabadiliko katika mitindo ya...
Mwenzenu nina tatizo la kula sana siku hizi hata sijui kwanini mwanaume nakula robo tatu ya kilo mlo mmoja na najikuta napata njaa baada ya mda mfupi .
Kazi zangu ni za kiproffessional ila zina...
Jeni za nguruwe zimeimarishwa kisayansi ili kuweza kusaidia kumaliza ukosefu wa viungo vya mwili katika upandikishaji , watafiti wa Marekani wamesema.
Wanasayansi walioondoa virusi ndani ya jeni...
Streptococcal Necrotizing Fasciitis
Ndugu wana jamvi, mwenye ufahamu na ugomjwa huu hapo juu naomba anifahamishe matibabu yake, kuna ndugu yangu nimembiwa ana ugonjwa huu, alianza kutoka kama...
Ndugu zangu naona thread nyingi za kukandia dada zetu kuhusu harufu sehemu za siri.
Binafsi nawashangaa hawa wakosoaji kwanini wanakuwa wasema hovyo.
Wengi wao nimegundua mapenzi wameyajua sasa...
Wadau poleni kwa mihangaiko
Nikienda moja kwa moja, Nina mdogo wangu wa kiume wa miaka 17 mwanafunzi wa f3 anavidonda sehemu za siri za uume anasema vinapona vina vinarudi tena ubichi vinawasha...
FAIDA ZA JUISI YA UKWAJU
]
Tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana...
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale naamini MUNGU ni mwema kwa kila jambo, HEBU TUHABARISHANE NA TUELIMISHANE KIDOGO KATIKA MASWALA YA LISHE NA VIFO.
Kabla ya yote yale...
High Cholesterol
Cholesterol is a waxy substance that's found in the fats (lipids) in your blood. While your body needs cholesterol to continue building healthy cells, having high cholesterol can...
Clamyidia.
Hii ni katika magonjwa hatari sana
Clamidiya.[emoji116][emoji116][emoji116]
Clamidia ni ugonjwa wa kuambukiza ambao husababishwa na bakteria zinazoitwa na sayansi kama Chlamydia...
Waheshimiwa Leo Naomba mnielekeze Ni njia gani ya kuweza kupata Mtoto na Mtu ambay tayarii Amesha ambukizwa Virus vya UKIMWI..!!? Bila kutumia njia ya KUPANDIKIZWA MBEGU...
Sent using Jamii...
Kwa mtu yoyote mwenye mba na ambaye ametumia dawa nyingi na hakupona nashauri atumie mafuta ya nazi apake kichwani yanaweza kukuponyesha.
Mafuta ya nazi ya kawaida tu...
Habari zenu ndugu wana jamvi kuna ndugu angu amepatwa na hili tatizo la kupata maumivu makali sehemu za mfuko wa korodani kuuma hali inayosababishwa na mirija ya kutoa damu iliyokwisha tumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.