Habari poleni na majukumu, naamini humu kuna wataalamu mbalimbali ambao, kimsingi kwa namna moja au nyingine wanaweza nisaidia tatizo langu iko hivi.
Siku kadhaa hivi karibuni nimegundua ktk uume...
Nasumbuliwa na tatizo la kuumwa ns joints za parts kwenye miguu hasa vidole vya miguu joints za mapaja hips now maumivu yanaanza kuelekea kama kwenye uti wa mgongo msaada wenu
Sent using Jamii...
Mwezi June niliwahi kusimulia kisa hapa
Msaada juu ya PEP
Wiki saba zimepita sasa toka nilipopata exposure na pia ni wiki tatu Sasa tangu nimalize dose ya PEP, nimeenda kupima tena nimeambiwa...
Nina binti nilikuwa naye katika mahusiano. Tumekutana kimwili mara kadhaa. Kuna kipindi nilisafiri, katika safari yangu nilikaa miezi mitatu, nilipo rudi home nilikutana naye mara moja ambayo...
Bila kuoteza mda, ni mtoto mwaka na nusu kiumri, wiki ilopita alilazwa kwa ugonjwa, kaandikiwa sindano, nashukuru Mungu ametoka, alimaliza sindano Jumapil ilopita. Lakini mpaka sasa paja...
SWALI
Nimekuwa nikiona watu wengi hasa nikienda sokoni wanapendelea sana kula ndizi kuliko kuliko matunda mengine.
Nini hasa siri iliyomo ndani ya tunda hili?
-----------------------
MAJIBU...
Nyama ya nguruwe ni nyama nzuri kiafya kwa sababu si nyama nyekundu sana na ni rahisi kumeng'enywa.
Nguruwe pia wana magojwa kama homa ya nguruwe, minyoo. Lakini ng'ombe wana magonjwa...
Heshima kwenu wakuu
Mdogo wangu alifanyiwa operesheni mwaka jana mwezi wa kumi, sasa anasema tumbo lake limekuwa likimsumbua tokea mwezi Mei mpaka sasa
na amepewa dawa za minyoo ila hakukuwa na...
Jeh mwanamke akitunga mimba karibu na siku za hedhi jeh atapata hedhi?
Na siku za hatar kwa mwanamke wa mzunguko siku 27-30 jeh siku zake za hatar n zipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
habar wakuu.kama nlivyojieleza mm ni me my age is 23 uzito wangu n 50kg urefu n 168cm nahitaji lishe za kuongeza atleast 7-10 kg sina tatizo lolote na nmeridhika na maisha sina tatizo kabisa na pesa
Kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa.. Wadau msaada siku ya kumpa mimba mwanamke ambae kila tarehe 28 anaingia kwenye siku zakee,, plz
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Vitunguu vinapendekezwa kwa hali ya upumuaji,ikiwa ni pamoja na kikohozi na homa. Endapo vikitumika vikiwa vibichi, ina aminika kuwa nzuri zaidi. Vina flavanoids na compaund za sulfur, ambavyo...
naomba kuuliza swali....kusikia mwilini kama vitu vinachoma choma hivi halafu sometimes kama kuna vitu vinatembea mwilini na pia huwa mwili unawasha..Tatizo linaweza kuwa ni nini?
Wana jamvi, ma professional naomba msaada wenu....kama kichwa kinavyojieleza .
Zipo dalili kama homa ,mchoko,kutapika, tumbo kuuma, na vingine vingi.
Naomba msaada wenu wadau,
Natanguliza shukrani
Habari
Nina rafiki wa kike ambaye aliweka vijiti viwili vya kuzuia mimba mwaka jana,
Sasa juzi amesema hajaziona siku zake na ana wasi wasi kuwa ana ujazito
Je hili suala linawezekana kweli ...
Habar zenu humu.
Mke wangu ana tatizo mm niko mbali nae kutokana na shughuli zangu. Ila tokea usiku wa kuamkia leo damu zinamtoka puani mpaka sasa hv hazijakoma ingawaje wamempeleka hospital...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.