*OFA YA MASSAGE YA MGONGO BURE- DAKIKA 15*
*Happiness Massage Services* inatoa ofa kwa wale wenye matatizo ya mgongo watafanyiwa Massage ya Mgongo *BURE.*
Tafadhali kama una tatizo hilo na...
Za leo.
Husika na kichwa cha habari kama hapo kinavyosema,
Mimi nina zaidi ya miaka mingi Sinywi maziwa ni kinywaji ambacho nimejitahidi kukinywa ila nimeshindwa kabisaaaaa.....nikinywa natapika...
Pamoja na kuwa na ujauzto,mwez wa pili sasa, maziwa yake madoogo. Kama ndo yanachomoza,hamna dalil ya kukua sana. Akilala na mgongo kama unaona madoogo. Ni wa 1992. Je,kuna tatzo hapo?
Wakuu, Kichwa cha habari chahusika. Meno yote (magego) yanauma sana, hadi uso umevimba. Nikiswaki natema damu tupu. Nimeshaenda Hospital lkn Bado, wamenipa hydrogen peroxide. Je ni dawa ipi nitumie?!
Naomba kujua kama kuna madhara yoyote ukifanya mapenz ukiwa na vidonda vya michubuko ya ajali? mana kuna mtu kanambia nkinjunja basi vidonda vitachelewa sana kukauka
Salam zenu wadau.
Kwa wanaoelewa kusoma hichi kipimo. Hapa inaonyesha ni Positive au Negative. kuna mstari wa kufifia upande wa Patient na mwingine unaoonekana upande wa control. Baadhi ya watu...
Nimepimishwa HIV/AIDS kwa lazima aisee.
Kweli huku si Tz
Jamani nipo hospital, kakidonda kamenitoka mdomoni kwa mbaali nikahisi ni homa za usiku.Ss kuja hapa nimepimishwa hadi ngoma hatariiii...
Habari madocta
Nimepewa hiyo dawa baada ya kugundulika nina PID.wakati wa vipimo iligundulika nina ujauzito pia.kuna ndugu yangu kaniambia wajawazito hawaruhusiwi kutumia hiyo sindano.je zina...
Sina shaka mungu ametujalia kuiona ck nyingine tena ambao hamkufanikiwa kusimama na kutembea mola awape wepesi tena naomba kujua kupitia jukwaa hili kwani kuna wataalam na wabobezi wa mambo...
Wana jamii forum naombeni msaada mi nikilala na mwanamke nikitumia mpira/kondom nakuwa napata shida sana wakati kitendo kinaendelea
Huwa najisikia mwili/uboo una banwa sana na ninashindwa...
Salaaam wanabodi. Poleni na kukura kakara za hapa na pale.
Mada: Nipo na mdogi wangu amepata tatizo la uvimbe kwenye ini. Alianza kujisikia kama uzito flani kwenye tumbo na baada ya kuona tatizo...
Samahani wamama na madokta malipo huku Naomba kufahamu mwanamke asiekua na kizazi hua anableed maana rafiki angu alitolewakizazi na hua anapata tone la uchafu kwenye Siku zake anapenda Kujua ni...
Massage ni muhimu katika mwili wa mwanadamu hasa pale unapochukulia kama ni sehemu ya ratiba katika maisha yako yote. Hii inatokana na kuwepo kwa faida mbalimbali baada ya kufanyiwa massage...
Nilikuwa addicted kwenye punyeto baada ya kuacha kuna vitu vinanijia kwenye mawazo na vinaninyima raha.Wakati mwingine nasikia hofu,yananijia mawazo mabaya niki waangalia watu nahisi kama...
1 kumvarisha pete
2 kumkata kabisa govi??
Nahitaji kumtahiri mwanangu ila sijui ni njia gani hasa nzuri na safe
Pia ni umri gani mzuri haswa wa kutahiri???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.